bluetooth23
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 348
- 324
Hapo kuna Brooklyn boy Jigga Hova Jay-Z mwanamuziki na mjasiriamali kutoka New York Marekani. Ni tajiri aliyevuna pesa kwny Music na Biashara kibao, aliwah kuwa Ofisa mkuu wa Def Jam, pia ni mmoja wa wamiliki wa timu ya kikapu ya New Jersey Nets, lebo ya Roc Nation na studio ya Roc-A-Fella records pia anahusishwa kuwa anataka kuinunua na kuwa mmiliki kamili wa Club ya mpira ya Arsenal ya EPL ya East London Uingereza na ni mmoja wa wamiliki wa ukumbi maarufu wa starehe ujulikanao kama Club Radio City uliopo Manhattan NY Marekani. Mwingne ni tajiri Brian Williams a.k.a Birdman the Stunnaman kutoka Downtown New Orleans, anamiliki studio ya Cash Money na anamiliki lebo kubwa ya YMCMB yenye wakali kibao akiwemo kichaa Lil Weezy, Tyga, Drake etc. Pia jamaa ni mfanyabiashara mkubwa na ni agent wa magari kutoka GM General Motors kampun iliyokuwa inatengeneza gar za Hummer kabla hawajauza brand kwa kampun ya China, pia anamiliki migodi ya madini nje ya jiji la Oklahoma USA.