Sharobaro the milionea!!

Mawenzi

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
1,251
345
Wana JF,

Hebu tuongelee kidogo kuhusu hawa vijana wanaochipukia ktk utajiri/umaarufu, typical example: Sharobaro.

Hawa vijana (wake kwa waume) kwa kweli wanahitaji watu wa kuwa kama parents/guardians/mentors/counsellors/advisors ili utajiri na umaarufu usiwaangamize mapema. Wengi wao wanakuwa na elimu ndogo sana na pia hutoka kwenye familia maskini. Kwa hiyo utajiri/umaarufu wa ujanani unawazuzua sana kiasi kwamba tabia zao zinakuwa hatarishi sana kwao.

Wakipata vijisenti haraka haraka na wakajua kiingereza cha "English Course" basi wanajiona wamemaliza kila kitu!! Wanaparamia na kubadilisha kila kukicha wamama, wanajiremba kupindukia, wanaanza kununua magari ya bei mbaya kabla hata ya kuwa na kibanda!! Na wanapenda kuendesha magari wenyewe tena kwa mbwembwe nyingi ili watu wawaone kuwa wanajua ku-drive! Hawataki kuajiri madereva!!

Wanakuwa na watu wanaowaita Meneja. Lkn hawa watu inaelekea kazi zao ni kuwasifia, kuwaandalia maonyesho, kuwatongozea, n.k., lakini siyo kuwakanya kwani wanaogopa kuwaudhi na kukosa umeneja!

Kwa mfano Sharobaro: Inaelekea katoka katika family maskini maana ameishia la saba tu. Hakukuwa na mtu kumwendeleza. Kwa bahati nzuri akaja Dar na kipaji chake kikamwokoa. Lkn bahati mbaya inaelekea alikosa mtu/watu wa ku-monitor tabia yake. Akawa anaishi peke yake. Akawa anafanya apendalo. Mfano mzuri wa hili ni ule uamzi wake wa ghafla kuanza safari ya Tanga saa 11 jioni akiwa peke yake huku akiwa na Sh. 6 million!! Drving kwenye highway, tena usiku, kunahitaji professional drivers, of which he was not!! Kwa nini hakuomba msaada wa kusindikizwa na mmoja wa marafiki zake??

Hatujui, au sijui, huenda pia alikuwa na kiroba kwenye gari!! Ila linalojulikana ni kuwa alikuwa anatuma na kupokea sms!! Na pia lililo wazi ni kwamba hakufunga mkanda!!

Sharo alikuwa anajitahidi kuishi kama jina lake lilivyo!

Tatizo lilopo ni kwamba ukitaka kujitolea kwa nia njema kabisa kuwa kama parent/guardian/mentor/counsellor/advisor watu watasema huyu jamaa anataka kumuibia hela kijana wa watu!!

Duh! Sasa nini kifanyike ili kuokoa hawa vijana talented? Ikumbukwe kwamba Diamond naye alipata ajali hivi karibuni!!


Nawasilisha!
 
Umeongea ukweli kabisa. Hata alipofariki kanumba pia kuna watu walitoa ushauri unaofanana na huu wako lkn ukapita km ulivyo. Tatizo watz hatushaulik, hata rais wetu kikwete (japo sikumchagua) hafuati ushauri wa wataalamu walioajiriwa kwa ajili yake kwa kodi za watz.kikwete ni msomi muislamu kutoka bagamoyo. Itakuwa kwa sharo milionea adiyesoma kutoka pale tanga?
 
Wana JF,

Hebu tuongelee kidogo kuhusu hawa vijana wanaochipukia ktk utajiri/umaarufu, typical example: Sharobaro.

Hawa vijana (wake kwa waume) kwa kweli wanahitaji watu wa kuwa kama parents/guardians/mentors/counsellors/advisors ili utajiri na umaarufu usiwaangamize mapema. Wengi wao wanakuwa na elimu ndogo sana na pia hutoka kwenye familia maskini. Kwa hiyo utajiri/umaarufu wa ujanani unawazuzua sana kiasi kwamba tabia zao zinakuwa hatarishi sana kwao.

Wakipata vijisenti haraka haraka na wakajua kiingereza cha "English Course" basi wanajiona wamemaliza kila kitu!! Wanaparamia na kubadilisha kila kukicha wamama, wanajiremba kupindukia, wanaanza kununua magari ya bei mbaya kabla hata ya kuwa na kibanda!! Na wanapenda kuendesha magari wenyewe tena kwa mbwembwe nyingi ili watu wawaone kuwa wanajua ku-drive! Hawataki kuajiri madereva!!

Wanakuwa na watu wanaowaita Meneja. Lkn hawa watu inaelekea kazi zao ni kuwasifia, kuwaandalia maonyesho, kuwatongozea, n.k., lakini siyo kuwakanya kwani wanaogopa kuwaudhi na kukosa umeneja!

Kwa mfano Sharobaro: Inaelekea katoka katika family maskini maana ameishia la saba tu. Hakukuwa na mtu kumwendeleza. Kwa bahati nzuri akaja Dar na kipaji chake kikamwokoa. Lkn bahati mbaya inaelekea alikosa mtu/watu wa ku-monitor tabia yake. Akawa anaishi peke yake. Akawa anafanya apendalo. Mfano mzuri wa hili ni ule uamzi wake wa ghafla kuanza safari ya Tanga saa 11 jioni akiwa peke yake huku akiwa na Sh. 6 million!! Drving kwenye highway, tena usiku, kunahitaji professional drivers, of which he was not!! Kwa nini hakuomba msaada wa kusindikizwa na mmoja wa marafiki zake??

Hatujui, au sijui, huenda pia alikuwa na kiroba kwenye gari!! Ila linalojulikana ni kuwa alikuwa anatuma na kupokea sms!! Na pia lililo wazi ni kwamba hakufunga mkanda!!

Sharo alikuwa anajitahidi kuishi kama jina lake lilivyo!

Tatizo lilopo ni kwamba ukitaka kujitolea kwa nia njema kabisa kuwa kama parent/guardian/mentor/counsellor/advisor watu watasema huyu jamaa anataka kumuibia hela kijana wa watu!!

Duh! Sasa nini kifanyike ili kuokoa hawa vijana talented? Ikumbukwe kwamba Diamond naye alipata ajali hivi karibuni!!


Nawasilisha!
kwa hiyo wewe umeishia hapo ...huna cha kushauri wala nini?
 
Assumptions nyiiiingi.

Wengine washaamua kuwa na maisha mafupi na matamu, wewe unafikiri kila mtu anataka kuzeeka.

Do You.
 
nina uhakika kutembea na tsh6m,angekua walau na nyumba ya maana ya kufikia kijijini. unakuta kapanga sinza kodi laki6
 
Ahsante kwa maelezo yako mazuri. Kwa vile watz ni wabishi na hawashauriki wacha vijana wateketea ili wapate maneno ya kuongea kwenye misiba ya watu maarufu
 
Back
Top Bottom