Shares za Acacia Mining PLC zapanda ghafla

chakii

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
19,680
22,685
...

635ab0ab6e73b06417630664bbfe8b97.jpg
 
Hicho ndicho kilichomfanya Lawson kuja moja kwa moja mpaka Dsm
Lengo lilikuwa ku-stebolaizi hisa zao katika masoko makubwa ya hisa ya LSE,NYSE nk
The deal is done!!Walionisoma kwenye uzi wangu wa Dr Williamson wa Mwadui na De Beers wataelewa.

Mwaka 1952,Herry Oppenheimer alipanda ndege mpaka Mwadui Shinyanga,aliporudi tu South Africa,soko la Almasi kule London likaimarika.

Hawa ndio Wayahudi,wanaoamini madini yote ya dunia,ni mali ya babu yao Solomon katika "concept" ya "Machimbo ya Solomoni"

Waliacha mbegu yao Afrika,baada ya Malkia ya Sheba toka Ethiopia,kuzaa na Mfalme Solomon kila alipokuwa anakwenda kuhiji Yerusalem
 
Vitu vingine vina nasaba na spiritually realm
Sio rahisi kuvielewa ukiwa upo deep in shallow
 
Kwa mtu yeyote makini, mfuatiliaji wa masuala ya biashara za kimataifa,hili lilitarajiwa.Ila kwa wasomi wa mitandao ya udaku limekuwa jambo la kustaajabisha.Hawa jamaa wako smart sanaaaa!!! wanajua kipi cha kufanya,wakati gani,kwa mbinu ipi etc.So far tusiweke matarajio makubwa sana kuwa tumewashika.Kibao kinaweza kubadilika wakati wowote.Uwezekano wa kufikishana mahakama za mbele , huko tutarajie magumu mengi.Tujifunze katika mmea wa "mwanzi" jua,mvua,upepo etc upo imara.
 
Usikute tayari tumeanza kulipa faini.
Anasema Rutashubanyuma

Mikutano karibu yote ya chadema ina wasifu wa jazba, hoja za nguvu na kufoka kunakopita kiasi na hivyo kuwafanya wafuasi wao kuonyesha nia ya kujichukulia sheria mkononi na haya kama hatutaelezana mapema nionavyo uhuru wa wengineo ambao hawaafiki misimamo ya cdm uko njia panda.....

CDM wanapatwa na taswira hii ya kuuandaa umma kuvunja amani ni kwa sababu zifuatazo:-


1) HAWAJIAMINI/ INSECURE!


Viongozi wengi wa cdm ni makapi ya ccm na hivyo kujiona ni bidhaa choka na hivyo kutafuta mbinu mpya ya kujirudish a ulingoni kama hii ya jazba, hasira, kufoka na kudai hata yale ambayo hawastahili.

2) VISASI/ VENGEANCE.

kawaida ya makapi ni kuwinda mwanya wa malipizi na huo mwanya usipopatikana kwa haraka basi "hasira za mkizi" hutawala kama tunavyoona sasa kwenye mihadhara yao.

3) UTAPELI WA KISIASA/ POLITICAL HYPOCRISY

Unapoona vinara wao bungeni wanakuja na khoja binafsi ambazo zimekithiri kwa kukiri hatua za serikali katika kutatua kero kama ile ya maji ya Dar kwenye khoja ya Mnyika lakini bado wanadai nayo ni khoja binafsi kwa vile mkakati wa serikali umepungua bilioni mia! Basi ujue taifa limeingiliwa na matapeli wa kisiasa ambao kwa raia wasiojua lolote wanafikiri cdm ndiyo mkombozi kumbe khoja tajwa hazina ufumbuzi ila malalamiko yasiyo na kichwa wala miguu........

Mnyika alipaswa kutathmini mkakati wa serikali na kubaini mianya ya wizi na ubadhirifu ambayo ni lukuki na hivyo kutoa ushauri wa kuiziba.............................hilo hakufanya sasa purukshani za cdm kupeleka khoja tajwa kwa wananchi kama siyo ulimbukeni ni nini?

4) USHAWISHI FINYU \ LIMITED PERSUASIVE POWER!

Ukifuatilia manung'uniko mengi ya CDM bungeni yanatokana na madai potofu kuwa wao wako wachache kama vile ukubwa wa pua ndiyo wingi wa makamasi badala ya kujikita katika kuajiri wataalamu wawasaidie katika kujenga khoja zenye mashiko na kubuni mikakati endelevu. Unapoona cdm wanatafuna ruzuku badala ya kuwekeza kwenye utalaamu jiulize ni masilahi ya nani ambayo wanayapigania? Wabunge wote bila ya kujali vyama vyao wanalengo la kuona nchi inasonga mbele na cdm kudhani ni wao tu nao ni kukosa dira ya kisiasa.

Wakati umefika tukawaelimisha cdm kuwa wabunge waachie nafasi ndani ya chama ili wazame kwenye shughuli ya kuibana serikali badala ya utaratibu uliopo wa kujirundikia madaraka ndani ya serikali na ndani ya chama.

pia watendaji ndani ya chama wawe wataalamu badala ya sasa upayukaji kwenye mihadhara sasa ndiyo sifa ya kukwaa madaraka chamani.


5) KUWADHARAU WAPIGAKURA/ UNDERESTIMATING AND ABUSING VOTERS!

CDM ni magwiji wa kutengua sauti ya wapigakura lakini wakifika majukwaani huwahadaa kuwa kuna kitu kiitwacho "people's power"...........huu ni uzandiki usiyo na kifani.

tatizo la uongozi wa CDM ni kuwaona wapigakura ni mbumbumbu na wao ndiyo wajuaji na kwa kufanya hivyo wamewadharau na ni wale tu ambao kweli ni mambumbumbu wataendelea kufuata hilo giza nene ndani ya kivuli cha CDM.



6) KWELI MWAMBA NGOMA HUVUTIA KWAKE/ TWISTED SELF EVALUATION!

CDM kamwe hawako tayari kukemea maovu ndani ya CDM lakini ni magwiji wa kuinyoshea vidole serikali ya CCM! Huu ni unafiki haswa pale ambapo jazba, ukelele, mayowe, ndulu, na kupayuka kwatumika kufukia mashimo ya mapungufu ndani ya CDM na wajanja hawa kujipatia mtaji wa kuonekana wao ni swafi huko wananuka na ufisadi mashabiki wao humezwa na hilo wimbi la kitapeli na hatari yake ni kuwa viashiria vya kukosekana amani vimeanza kushamiri kama sasa tunasikia hata spika Anne Makinda anapigiwa simu na watu wasiojulikana na kutukanwa matusi ya nguoni.

Ni juzijuzi tu CDM kwenye mikutano yao Dar waligawa namba za simu za wabunge wa CCM kwa mashabiki wao bila ya hata ya kuomba kibali cha wabunge tajwa. Unapopewa namba ya simu na mtu ujue hiyo ni dhamana na wala siyo kuitumia dhamana hiyo utakavyo na hata kuhatarisha maisha ya mwenzio ili wewe upate mkate wako wa kisiasa.

Ni vyema polisi wakakamata viongozi wote wa cdm waliokuwa wanagawa namba za simu za wabunge wa ccm kwa wanachama wao na kuwafungulia kesi za kuchochea uvunjikaji wa amani na matumizi mabaya ya dhamana ya simu walizopewa.........Ikiwa na pamoja ya wale wote ambao itabainika namba zao tajwa zilitumika kuwakashifu wabunge wa CCM ambao wanatumia haki yao kidemokrasia kuyatekeleza yale ambayo wanaona yanatija kwa taifa............

7) MAJEMADARI WA LAWAMA LAKINI HAWANA MAJIBU YA KERO/ GRUMBLING WITHOUT ALTERNATIVES!

Ukihudhuira mikutano mingi ya CDM utakuta ni malalamiko dhidi ya serikali ya CCM lakini hata siku moja hawatoi ufumbuzi wa kero husika na kudhani kama wakifanikiwa kuing'oa CCM basi shida zetu nazo zitakuwa zimefikia ukingoni jambo ambalo ni udanganyifu mkubwa. Kenya walikuwa wakidai upinzani "YOTE YAWEZEKANA BILA MOI" lakini miaka 10 tangu Moi atoke madarakani tunaona ulikuwa ni utapeli wa kimataifa kabisa!!! ........................tatizo siyo mtu bali mfumo wa kuendesha nchi...........................acheni CDM kutupotosha juu ya hili.

8)............nitaendelea wakati mwingine...............
 
Sasa unafikiria kilicho mleta Prof John L Thornton ni nini? Ndio hivyo tena tumeshaliwa basi tu atutaki kuliona hilo
 
Hicho ndicho kilichomfanya Lawson kuja moja kwa moja mpaka Dsm
Lengo lilikuwa ku-stebolaizi hisa zao katika masoko makubwa ya hisa ya LSE,NYSE nk
The deal is done!!Walionisoma kwenye uzi wangu wa Dr Williamson wa Mwadui na De Beers wataelewa.

Mwaka 1952,Herry Oppenheimer alipanda ndege mpaka Mwadui Shinyanga,aliporudi tu South Africa,soko la Almasi kule London likaimarika.

Hawa ndio Wayahudi,wanaoamini madini yote ya dunia,ni mali ya babu yao Solomon katika "concept" ya "Machimbo ya Solomoni"

Waliacha mbegu yao Afrika,baada ya Malkia ya Sheba toka Ethiopia,kuzaa na Mfalme Solomon kila alipokuwa anakwenda kuhiji Yerusalem

Nilisema hili katika thread nyingine. Mission accomplished. Na bado, Mzungu simuabudu ila mjanja
 
Back
Top Bottom