IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Mimi sio mfwatiliaji sana wa radio na tv,kwa mujibu wa tcra wasafi media kuna watu wanashare zao.
Kosa kubwa wanafanya ni kumuacha Diamond Platnumz kama moja ya mmiliki ana chukua nafasi kubwa kuitwawala radio,tv na digital platform.
Kama unafwatilia wasafi media utagundua viongozi wengi, kama sio wote ni watu wa karibu wa diamond platnumz.
Media inacover sana matukio ya familia na wasanii wa wasafi..
Mashabiki wengi wa wasafi huwezi kuwatenganisha na diamond na watu wake..
Shida itakuja siku diamond akiamua kujitoa media itashuka.
Ni kitu kibaya sana kuendesha taasisi huku inakuwa dominated na mtu1 Siku akidondoka kila kitu kitadondoka..
Mfano mnajionea mawingu media.
Ni vema wawe makini wajenge taasisi imara isiyotegemea nguvu ya mtu1.
Siku inakuja haina jina shareholders watajuta wachukue hatua mapema.
Kosa kubwa wanafanya ni kumuacha Diamond Platnumz kama moja ya mmiliki ana chukua nafasi kubwa kuitwawala radio,tv na digital platform.
Kama unafwatilia wasafi media utagundua viongozi wengi, kama sio wote ni watu wa karibu wa diamond platnumz.
Media inacover sana matukio ya familia na wasanii wa wasafi..
Mashabiki wengi wa wasafi huwezi kuwatenganisha na diamond na watu wake..
Shida itakuja siku diamond akiamua kujitoa media itashuka.
Ni kitu kibaya sana kuendesha taasisi huku inakuwa dominated na mtu1 Siku akidondoka kila kitu kitadondoka..
Mfano mnajionea mawingu media.
Ni vema wawe makini wajenge taasisi imara isiyotegemea nguvu ya mtu1.
Siku inakuja haina jina shareholders watajuta wachukue hatua mapema.