Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 20,116
- 49,632
SaluteKwa wale ambao tumebahatika kuona uchi wa mwanamke zaidi ya mmoja, tunao uzoefu wa kumwaga na kumwagwa. Ukimwagwa unapata maumivu makali sana na kama kichwa chako hakina shock absorber na hauna mpango B utateseka sana. Hali kadhalika ukimwaga mtu, unaweza ukapata furaha mwanzo lakini kama huyo uliyemwaga alikua ni for real, maumivu makali utayapata baadae, tena pale unapojaribu kumrudia ikashindikana. Nasaha yangu ni kwamba usivunje mahusiano, acha muda uyauvunje, kuna wakati unaotokea mnaachana na mtu bila ata ya kusema neno lolote na kila mtu anafurahia.