Share nasi: Ulijisikiaje siku mpenzi wako unayempenda aliposema mimi na wewe basi?

Kwa wale ambao tumebahatika kuona uchi wa mwanamke zaidi ya mmoja, tunao uzoefu wa kumwaga na kumwagwa. Ukimwagwa unapata maumivu makali sana na kama kichwa chako hakina shock absorber na hauna mpango B utateseka sana. Hali kadhalika ukimwaga mtu, unaweza ukapata furaha mwanzo lakini kama huyo uliyemwaga alikua ni for real, maumivu makali utayapata baadae, tena pale unapojaribu kumrudia ikashindikana. Nasaha yangu ni kwamba usivunje mahusiano, acha muda uyauvunje, kuna wakati unaotokea mnaachana na mtu bila ata ya kusema neno lolote na kila mtu anafurahia.
Salute
 
Kwa wale ambao tumebahatika kuona uchi wa mwanamke zaidi ya mmoja, tunao uzoefu wa kumwaga na kumwagwa. Ukimwagwa unapata maumivu makali sana na kama kichwa chako hakina shock absorber na hauna mpango B utateseka sana. Hali kadhalika ukimwaga mtu, unaweza ukapata furaha mwanzo lakini kama huyo uliyemwaga alikua ni for real, maumivu makali utayapata baadae, tena pale unapojaribu kumrudia ikashindikana. Nasaha yangu ni kwamba usivunje mahusiano, acha muda uyauvunje, kuna wakati unaotokea mnaachana na mtu bila ata ya kusema neno lolote na kila mtu anafurahia.

Umemaliza kila kitu...
 
Mmmh sijui nishapoteza network hapa ....sizani kapeace ....maana acha tu
Utulize moyo wako usimuonyeshe kumuhitaji sana, ni situation mbaya usione hapa nakupa utani wa hapa na pale Halafu usikute na yy yupo anabembeleza kwingine
Siku ingine usipende kuzamisha miguu miwili uwe unaweka mmoja coz ni rahisi kutoka tatizo la mguu mmoja huwezo furahia mapenzi to the maximum
 
Ah
Utulize moyo wako usimuonyeshe kumuhitaji sana, ni situation mbaya usione hapa nakupa utani wa hapa na pale Halafu usikute na yy yupo anabembeleza kwingine
Siku ingine usipende kuzamisha miguu miwili uwe unaweka mmoja coz ni rahisi kutoka tatizo la mguu mmoja huwezo furahia mapenzi to the maximum
Asante kwa ushauri wako ...nahisi utanisaidia na nimejifunza kitu kapeace ...ubarikiwe
 
Aaaaahhhh ni noma ila inatakiwa kusoma alama za nyakati tu ukiwa anaanza kuzingua anza kutengeneza mazingira ya kuishi pekee yako bila yeye mfano mim nilipooona anaanza kuzingua nikatengeneza huo utaratibu niliosema na kweli ndani ya ijumamos akasema kanichoka na hataki tuendelee nikasema ok you may go yani kwa kifupi huwez kulazimisha mapenz hata cku moja utajiumiza tu kama hataki jiandae kisaikolojia
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom