Vodacom na Zain mapato yanapungua nini na mmeanza kutafuta mchawi. Punguzeni gharama za mawasiliano acheni longolongo.
Vodacom na Zain mapato yanapungua nini na mmeanza kutafuta mchawi. Punguzeni gharama za mawasiliano acheni longolongo.
In February 2006, after buying out its minority shareholders, the Luxemburg-based pan-African mobile operator Millicom International Cellular announced to take a full control of three of its African-based Mobile operators including MIC Tanzania limited.
In Tanzania a USD 1.332 million deal enables Millicom to acquire the remaining 16% stake it did not already own after the cellco's minority shareholders agreed to cancel their call option on the business. Since then Millicom is the full controller of the company.
Mkuu Ndege ya Uchumi
Nadhani taarifa hii ni sahihi: (kutoka wikipedia)
Initailly Serikali ilikuwa na mkono kupitia shirika la Posta na Simu, lakini baada ya kutenganisha hilo shirika ule ubia "ukafa kifo cha asilia" - sijui ni kifisadi au la? lakini as of now tiGO inamilikiwa asilimia mia na "mwekezaji"
TCRA became operational on 1 st November, 2003 and has effectively taken over the functions of the two defunct commissions.
MIC alinunua share zote in February 2006.