Share holding structure ya MIC aka tiGO

Albedo

JF-Expert Member
Feb 24, 2008
5,559
1,452
Jamani nataka kufahamu share holding structure ya MIC au tiGO na Je ina comform na sheria yetu ya Mawasiliano yaani 35% lazima wawe ni local share holders?
 
Vodacom na Zain mapato yanapungua nini na mmeanza kutafuta mchawi. Punguzeni gharama za mawasiliano acheni longolongo.
 
Vodacom na Zain mapato yanapungua nini na mmeanza kutafuta mchawi. Punguzeni gharama za mawasiliano acheni longolongo.

Kaka/Dada mimi siko Vodacom wala Zain labda kama wewe uko tiGO, nimeuliza hivi kwa sababu Sheria ya nchi inasema shareholdings ni lazima ziwe atleast 35% local! Changia hoja kama huna lakusema kaa kimya au kuwa Msomaji
 
Nenda BRELA pale jengo la Ushirika 4th floor mtaa wa Lumumba.,mbona hizo Memorandum na Articles of Association ni Public Documents.,nenda tu kalipie ku-peruse file na maswali yako mengi yatapata majibu ya uhakika kuliko unayoweza kupata hapa jamvini..cha muhimu ujue Company registrarion number ya hao tiGO tu.
 
Mkuu Ndege ya Uchumi

Nadhani taarifa hii ni sahihi: (kutoka wikipedia)

In February 2006, after buying out its minority shareholders, the Luxemburg-based pan-African mobile operator Millicom International Cellular announced to take a full control of three of its African-based Mobile operators including MIC Tanzania limited.
In Tanzania a USD 1.332 million deal enables Millicom to acquire the remaining 16% stake it did not already own after the cellco's minority shareholders agreed to cancel their call option on the business. Since then Millicom is the full controller of the company.

Initailly Serikali ilikuwa na mkono kupitia shirika la Posta na Simu, lakini baada ya kutenganisha hilo shirika ule ubia "ukafa kifo cha asilia" - sijui ni kifisadi au la? lakini as of now tiGO inamilikiwa asilimia mia na "mwekezaji"
 
Du! Waheshimiwa sheria itaanza kutekelezwa miaka mitatu ijayo... haya endeleeni kujadili!
 
Mkuu Ndege ya Uchumi

Nadhani taarifa hii ni sahihi: (kutoka wikipedia)




Initailly Serikali ilikuwa na mkono kupitia shirika la Posta na Simu, lakini baada ya kutenganisha hilo shirika ule ubia "ukafa kifo cha asilia" - sijui ni kifisadi au la? lakini as of now tiGO inamilikiwa asilimia mia na "mwekezaji"

Asante sana Baba Enock maana nakumbuka local share holders wa Voda walitaka kuuza share zao zote lakini Serikali kupitia TCRA ikakataa kwa maana wangekuwa wanavunja sheria hiyo sasa nikaona niulizie kulikoni tiGO mwekezaji amefanikiwa kuruka hiki kiunzi ambacho vodacom kiliwashinda. But asante kwa kunipa mwanga.
 
Mkuu Kasheshe sijampata vizuri,

Kwa maana:-
TCRA became operational on 1 st November, 2003 and has effectively taken over the functions of the two defunct commissions.

Na

MIC alinunua share zote in February 2006.

Kwa hiyo nadhani ni kuna utaratibu ulikwepeshwa au ulirukwa au ulifanyika otherwise!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom