Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 91
Jamani leo nafurahia kutimiza post 200 kwenye michango mbalimbali ninayochangia ndani ya jamvi. Najua kuna wengi wana post maelfu lakini hawajafanya jambo kama hili, naamini hii ya kwangu itachukuliwa kama utashi wangu binafsi husiomuathiri mtu yeyote. Tafadhali tufurahi kwa pamoja ikiwa ni pamoja na kupeana ushauri nini cha kufanya ili kuendelea kuwa na michango yenye tija kwa mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla.