JICHO LA 3
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 356
- 62
Mambo mengine bwana sasa wewe shangazi yako unamwambia akuthaminishie mke
inamaana ulitaka majibu mawili mzuri au mbaya ndo hivo sasa kakwambia kama bundi......unamlaumu nini
kwani wewe lengo lako ninini baadaya kuthaminishiwa mke kwaufupi hauna uhakika naye au vipi
bs anti yako huo ndo mtazamo wake aliouona.
inamaana ulitaka majibu mawili mzuri au mbaya ndo hivo sasa kakwambia kama bundi......unamlaumu nini
kwani wewe lengo lako ninini baadaya kuthaminishiwa mke kwaufupi hauna uhakika naye au vipi
bs anti yako huo ndo mtazamo wake aliouona.