Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,743
- 14,667
- Thread starter
- #201
Uuuuwiii🏃🏃🏃🏃Uganda naona mnanivuta mdogomdogo kuonja ladha za mashazi haahhaah
Sent using Jamii Forums mobile app
Uuuuwiii🏃🏃🏃🏃Uganda naona mnanivuta mdogomdogo kuonja ladha za mashazi haahhaah
Sent using Jamii Forums mobile app
Shangazi anapenda kuzionjaAnae, tena anasimamia mila mbayaa🏃🏃
Karibu kwetu ugandaJust imagine lile kabila ambalo kaka mkubwa ndiye huanza kuonja bibi arusi na mimi ndiyo first born kaka mkubwa. Walete walete!
NajaKaribu kwetu uganda
Wazee WA familia wanayo katiba ya matumizi ya shangaziJe unaruhusiwa kuchagua ni shangazi yupi kati ya wote?
Na mumewe shangazi anakuwa wapi?
Na kama wewe ndio shangazi pekee wa mabinti saba kuna stimulus package yeyote unapewa?
Na kwakuwa at some point bibi harusi nae atakuwa shangazi, je nae atatumika kama kipimio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Waleleeeeeeeh kule mambo pambeeeeee yaan mbna "umeniweza" kwa sauti ya Jux.Hahahaha karibu kwa website yangu usome hadithi
Unasema Stori gan tena?!😂😂😂Waleleeeeeeeh kule mambo pambeeeeee yaan mbna "umeniweza" kwa sauti ya Jux.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona ee, Uganda wameamua kujilipua Tu maskini ilimradi maisha yaende🚶🚶Na mume wa shangazi anakubali hilo?
Huko sio mahali pa kwenda kuoa, maana ipo siku mkeo atakuwa shangazi wa mtu mwingine na mkeo ataishia kupigwa miti kimasihara.
Kwan hao mashangazi wanakua hawajaolewa au?. Na kama wameolewa waume wanakua na hali gani wake zao wakiliwa kwenye majaribioHii inatokea sana huko Uganda kwenye kabila la Banyankole
Bwana harusi kabla hajamuoa Bibi Harusi anapimwa urijali wake na shangazi yake Bibi Harusi, akikutwa yupo rijali yaani yupo njema anapewa ruhusa ya kuoa biharusi 🙈
Sasa swali linakuja, kama Shangazi yupo vizuri kwenye Mauno, bwana harusi hatorudi tena Kwa shangazi? 😂😂😂😂
Na je Biharusi anapimwa na nani Hali yake?!
Wabanyankole huko Uhanda wametisher kuliko Corona 🙈🏃🏃🏃🏃😂😂😂
View attachment 1444480
AiseeKwan hao mashangazi wanakua hawajaolewa au?. Na kama wameolewa waume wanakua na hali gani wake zao wakiliwa kwenye majaribio
Ukute shangazi ni mmoja alafu ana ndugu kibao wa kiume na wengi wamezaa watoto wa kiume, ataliwa mpaka akome kuwa shangazi na mme wake atajuta kumuoa
Limao na asali😂😂😂
Bibi pia yupo🚶🚶Shangazi hatoshi kabisa, hapo waongeze na dada mtu, binamu , mamdogo na jirani mmoja mwenye matako makubwa si unajua shahidi mmoja lazima awepo.😆😆😆
Ucjal Yaaan weee mam kubwa umejua kuniua kabisaaaa, lockdown angu inamalizikia kweny channel ako, stak stress mieeee full burudaaan.Limao na asali
Ukimaliza ingia ya MTU chake, ijumaa naimalizia
Mkoa wa Mara, kabila lil linapenda kupiga wake zao
Asante🙏Ucjal Yaaan weee mam kubwa umejua kuniua kabisaaaa, lockdown angu inamalizikia kweny channel ako, stak stress mieeee full burudaaan.
Sent using Jamii Forums mobile app