Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,919
- 14,800
Hii inatokea sana huko Uganda kwenye kabila la Banyankole
Bwana harusi kabla hajamuoa Bibi Harusi anapimwa urijali wake na shangazi yake Bibi Harusi, akikutwa yupo rijali yaani yupo njema anapewa ruhusa ya kuoa biharusi π
Sasa swali linakuja, kama Shangazi yupo vizuri kwenye Mauno, bwana harusi hatorudi tena Kwa shangazi? ππππ
Na je Biharusi anapimwa na nani Hali yake?!
Wabanyankole huko Uhanda wametisher kuliko Corona ππππππππ
Bwana harusi kabla hajamuoa Bibi Harusi anapimwa urijali wake na shangazi yake Bibi Harusi, akikutwa yupo rijali yaani yupo njema anapewa ruhusa ya kuoa biharusi π
Sasa swali linakuja, kama Shangazi yupo vizuri kwenye Mauno, bwana harusi hatorudi tena Kwa shangazi? ππππ
Na je Biharusi anapimwa na nani Hali yake?!
Wabanyankole huko Uhanda wametisher kuliko Corona ππππππππ