Shangazi anataka nimwoe mwanae(Binamu Yangu) Nifanyeje???!!!!

Eng. Smasher

JF-Expert Member
Nov 13, 2010
745
23
Mambo vipi familia nzima ya JF!!! Leo nina furaha kwanza coz of mwonekano mpya!
Story ipo hivi,Kuna Best yangu wa karibu kaniomba nimpe msaada wa mawazo nikaona si vibaya nikiwashriksha Great Thinkers!

Rafiki yangu amelelewa na wajomba zake coz Mama yake hayupo duniani na alikuwa hamjui Baba,siku za hivi karibuni alikutana na Dingi yake na kutambulishwa kwa ndugu wengine upande wa Baba ili wajuane mmojawapo alikuwa ni Aunt yake aliyekuwa na Binti anayesoma form4!

Jamaa akachukua contact za binamu na kuwa wanachat,binamu akatoa ahadi ya kumtembelea jamaa hostel(anasoma chuo),baada ya muda wakaanzisha mahusiano ya kimapenzi na binamu,wakati wapo mwanzo wa mahusiano Binti akaugua ugonjwa wa ajabu akawa anapandwa na mapepo wakati huo Aunt yupo kwenye business zake,home yupo Binamu na house gal! Ikabidi jamaa awe anaenda kumpa huduma zote coz sumtymz Binti alikuwa anazima akiwa katoka kuoga inabidi jamaa amvalishe nguo zote ingawa alikuwa hajawahi kula tunda la kati!

Siku zmepita Binti kapewa tiba na maombi ingawa hayupo safi kivile binti kaanzisha maada kwa Mama yake anampenda sana rafiki yangu(Binamu) na asiporuhusiwa kuolewa nae watajutia maamuzi atakayochukua,Mama alifikri ni ugonjwa kumbe binti alimaanisha na akataka kujirusha mtoni!!

Vikao vimekaa ndugu wa Baba yake jamaa wameafiki na Wa Mama yake jamaa wamegoma!!
Pls naombeni mawazo yenu afanye nini na Binti yupo more than serious na anasema wameshadu nae once??!!!
 
dah paragraf kakangu
stor nzur bt mtihan kusoma
ongeza font na uweke paragraf na kanuni zote za IMLA uzizingatie....
 
hapo vipi maana kwa kulalamika mtoto na hilo pozi la kukonyeza balaa!! Pls nipe comment zako!! Hapo nimefupisha story!

dah paragraf kakangu
stor nzur bt mtihan kusoma
ongeza font na uweke paragraf na kanuni zote za IMLA uzizingatie....
 
Mambo vipi familia nzima ya JF!!! Leo nina furaha kwanza coz of mwonekano mpya!
Story ipo hivi,Kuna Best yangu wa karibu kaniomba nimpe msaada wa mawazo nikaona si vibaya nikiwashriksha Great Thinkers!
Rafiki yangu amelelewa na wajomba zake coz Mama yake hayupo duniani na alikuwa hamjui Baba,siku za hivi karibuni alikutana na Dingi yake na kutambulishwa kwa ndugu wengine upande wa Baba ili wajuane mmojawapo alikuwa ni Aunt yake aliyekuwa na Binti anayesoma form4! Jamaa akachukua contact za binamu na kuwa wanachat,binamu akatoa ahadi ya kumtembelea jamaa hostel(anasoma chuo),baada ya muda wakaanzisha mahusiano ya kimapenzi na binamu,wakati wapo mwanzo wa mahusiano Binti akaugua ugonjwa wa ajabu akawa anapandwa na mapepo wakati huo Aunt yupo kwenye business zake,home yupo Binamu na house gal! Ikabidi jamaa awe anaenda kumpa huduma zote coz sumtymz Binti alikuwa anazima akiwa katoka kuoga inabidi jamaa amvalishe nguo zote ingawa alikuwa hajawahi kula tunda la kati!
Siku zmepita Binti kapewa tiba na maombi ingawa hayupo safi kivile binti kaanzisha maada kwa Mama yake anampenda sana rafiki yangu(Binamu) na asiporuhusiwa kuolewa nae watajutia maamuzi atakayochukua,Mama alifikri ni ugonjwa kumbe binti alimaanisha na akataka kujirusha mtoni!! Vikao vimekaa ndugu wa Baba yake jamaa wameafiki na Wa Mama yake jamaa wamegoma!!
Pls naombeni mawazo yenu afanye nini na Binti yupo more than serious na anasema wameshadu nae once??!!!

Eng. Smasher-----Shangazi anataka nimwoe mwanae(Binamu Yangu) Nifanyeje???!!!!

no comments
 
Mambo vipi familia nzima ya JF!!! Leo nina furaha kwanza coz of mwonekano mpya!
Story ipo hivi,Kuna Best yangu wa karibu kaniomba nimpe msaada wa mawazo nikaona si vibaya nikiwashriksha Great Thinkers!

Rafiki yangu amelelewa na wajomba zake coz Mama yake hayupo duniani na alikuwa hamjui Baba,siku za hivi karibuni alikutana na Dingi yake na kutambulishwa kwa ndugu wengine upande wa Baba ili wajuane mmojawapo alikuwa ni Aunt yake aliyekuwa na Binti anayesoma form4!

Jamaa akachukua contact za binamu na kuwa wanachat,binamu akatoa ahadi ya kumtembelea jamaa hostel(anasoma chuo),baada ya muda wakaanzisha mahusiano ya kimapenzi na binamu,wakati wapo mwanzo wa mahusiano Binti akaugua ugonjwa wa ajabu akawa anapandwa na mapepo wakati huo Aunt yupo kwenye business zake,home yupo Binamu na house gal! Ikabidi jamaa awe anaenda kumpa huduma zote coz sumtymz Binti alikuwa anazima akiwa katoka kuoga inabidi jamaa amvalishe nguo zote ingawa alikuwa hajawahi kula tunda la kati!

Siku zmepita Binti kapewa tiba na maombi ingawa hayupo safi kivile binti kaanzisha maada kwa Mama yake anampenda sana rafiki yangu(Binamu) na asiporuhusiwa kuolewa nae watajutia maamuzi atakayochukua,Mama alifikri ni ugonjwa kumbe binti alimaanisha na akataka kujirusha mtoni!!

Vikao vimekaa ndugu wa Baba yake jamaa wameafiki na Wa Mama yake jamaa wamegoma!!
Pls naombeni mawazo yenu afanye nini na Binti yupo more than serious na anasema wameshadu nae once??!!!

Afadhali nimefurahi sana umebadili avatar duuhhh. Nimefurahi sana maana ilikuwa inaniboa ile mbaya. Nitarudi kuchangia
 
Mkuu kuna njia nyingi za kulitazama jambo hili. From religious point of view kuna conflicting points about ndoa za mabinamu. Katika bible, kuna vifungu vingi vinavyoonyesha ndoa za mabinamu. Mfano ni ndoa ya Yakobo na Leah/ Raheli, ndoa ya Isaka na Rebeka etc. Ila katika ukristo wa leo ndoa za aina hii haziruhusiwi. Mfano mzuri ni wakatoliki ambao hawaruhusu kufunga ndoa kwa ndugu wa aina yoyote.

Kwa upande wa waislam, ndoa za mabinamu zinaruhusiwa na hii ni very common tradition katika nchi za kiarabu.

Kwa upande wa kibayolojia, ndoa za ndugu haziruhusiwi kabisa kwani zinasababisha tatizo linaitwa inbreeding(i.e., reproduction from the mating of two genetically related parents, which can increase the chances of offspring being affected by recessive or deleterious traits). Tatizo hili husababisha decreased fitness kwa watu wa jamii husikana na hii kwa kitaalamu inaitwa 'inbreeding depression'.
Mambo vipi familia nzima ya JF!!! Leo nina furaha kwanza coz of mwonekano mpya!
Story ipo hivi,Kuna Best yangu wa karibu kaniomba nimpe msaada wa mawazo nikaona si vibaya nikiwashriksha Great Thinkers!
Rafiki yangu amelelewa na wajomba zake coz Mama yake hayupo duniani na alikuwa hamjui Baba,siku za hivi karibuni alikutana na Dingi yake na kutambulishwa kwa ndugu wengine upande wa Baba ili wajuane mmojawapo alikuwa ni Aunt yake aliyekuwa na Binti anayesoma form4! Jamaa akachukua contact za binamu na kuwa wanachat,binamu akatoa ahadi ya kumtembelea jamaa hostel(anasoma chuo),baada ya muda wakaanzisha mahusiano ya kimapenzi na binamu,wakati wapo mwanzo wa mahusiano Binti akaugua ugonjwa wa ajabu akawa anapandwa na mapepo wakati huo Aunt yupo kwenye business zake,home yupo Binamu na house gal! Ikabidi jamaa awe anaenda kumpa huduma zote coz sumtymz Binti alikuwa anazima akiwa katoka kuoga inabidi jamaa amvalishe nguo zote ingawa alikuwa hajawahi kula tunda la kati!
Siku zmepita Binti kapewa tiba na maombi ingawa hayupo safi kivile binti kaanzisha maada kwa Mama yake anampenda sana rafiki yangu(Binamu) na asiporuhusiwa kuolewa nae watajutia maamuzi atakayochukua,Mama alifikri ni ugonjwa kumbe binti alimaanisha na akataka kujirusha mtoni!! Vikao vimekaa ndugu wa Baba yake jamaa wameafiki na Wa Mama yake jamaa wamegoma!!
Pls naombeni mawazo yenu afanye nini na Binti yupo more than serious na anasema wameshadu nae once??!!!
 
Una Mambo mtoto wewe nani kakwambia mimi ni mwana FASIHI andishi? Mimi ni Engineer na Kiswahili nilipata C ili niende A-level.
Pls can u b my ticha??

Na leo nakutel tena kwenye thread yako weka hata nukta na koma basi ujue mie nimeshindwa kumalizia kusoma ndo maana nimekosa comment??? Imeniumiza kweli kichwa
 
Thanks kaka kwa kunidadavulia ntafikisha ujumbe!

Mkuu kuna njia nyingi za kulitazama jambo hili. From religious point of view kuna conflicting points about ndoa za mabinamu. Katika bible, kuna vifungu vingi vinavyoonyesha ndoa za mabinamu. Mfano ni ndoa ya Yakobo na Leah/ Raheli, ndoa ya Isaka na Rebeka etc. Ila katika ukristo wa leo ndoa za aina hii haziruhusiwi. Mfano mzuri ni wakatoliki ambao hawaruhusu kufunga ndoa kwa ndugu wa aina yoyote.

Kwa upande wa waislam, ndoa za mabinamu zinaruhusiwa na hii ni very common tradition katika nchi za kiarabu.

Kwa upande wa kibayolojia, ndoa za ndugu haziruhusiwi kabisa kwani zinasababisha tatizo linaitwa inbreeding(i.e., reproduction from the mating of two genetically related parents, which can increase the chances of offspring being affected by recessive or deleterious traits). Tatizo hili husababisha decreased fitness kwa watu wa jamii husikana na hii kwa kitaalamu inaitwa 'inbreeding depression'.
 
sivizuri nakama wanakushinikiza nipe no ya binamu nitakutatulia tatizo utakuwa free
 
mwambie asilazimishwe yeye ndiye mwenye maamuzi na kabla ajaamua ni vema kufukiri mara mbili, anampenda??? na kama anampenda wataweza kuishi kama mume na mke?? maandiko (kutokana na dini yake) yanasemaje kuhusu hilo???
 
M0BONA sioni tatizo mpwa? kapewa mke na yeye hataki, ala, mzima kweli huyo? mbona hao sio ndugu zako kabisa? ok kama yuko vizuri chukua, ntakusaidia baadhi ya majukumu
 
Mwambie akamate kichwa hichwa faster Ila wasiwasi wangu huko kuanguka isije kuwa ugonjwa wa kudumu!
 
I don't see the problem, yeye alishaonyesha hisia za mapenzi kwa huyo binti sasa sioni ajabu ya kuhalalisha huo uhusiano wao. Upande wa mama inabidi wakubali kuwa mapenzi ni popote na kijana ni mtu mzima kuchukua maamuzi
 
Waowane tu......hamna tatizo hapo...........unless aseme yeye alikuwa anania ya kumchezea tu huyo mtoto tokea mwanzo na hana mapenzi nae.
 
Back
Top Bottom