Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
Mambo vipi familia nzima ya JF!!! Leo nina furaha kwanza coz of mwonekano mpya!
Story ipo hivi,Kuna Best yangu wa karibu kaniomba nimpe msaada wa mawazo nikaona si vibaya nikiwashriksha Great Thinkers!
Rafiki yangu amelelewa na wajomba zake coz Mama yake hayupo duniani na alikuwa hamjui Baba,siku za hivi karibuni alikutana na Dingi yake na kutambulishwa kwa ndugu wengine upande wa Baba ili wajuane mmojawapo alikuwa ni Aunt yake aliyekuwa na Binti anayesoma form4!
Jamaa akachukua contact za binamu na kuwa wanachat,binamu akatoa ahadi ya kumtembelea jamaa hostel(anasoma chuo),baada ya muda wakaanzisha mahusiano ya kimapenzi na binamu,wakati wapo mwanzo wa mahusiano Binti akaugua ugonjwa wa ajabu akawa anapandwa na mapepo wakati huo Aunt yupo kwenye business zake,home yupo Binamu na house gal! Ikabidi jamaa awe anaenda kumpa huduma zote coz sumtymz Binti alikuwa anazima akiwa katoka kuoga inabidi jamaa amvalishe nguo zote ingawa alikuwa hajawahi kula tunda la kati!
Siku zmepita Binti kapewa tiba na maombi ingawa hayupo safi kivile binti kaanzisha maada kwa Mama yake anampenda sana rafiki yangu(Binamu) na asiporuhusiwa kuolewa nae watajutia maamuzi atakayochukua,Mama alifikri ni ugonjwa kumbe binti alimaanisha na akataka kujirusha mtoni!!
Vikao vimekaa ndugu wa Baba yake jamaa wameafiki na Wa Mama yake jamaa wamegoma!!
Pls naombeni mawazo yenu afanye nini na Binti yupo more than serious na anasema wameshadu nae once??!!!
Story ipo hivi,Kuna Best yangu wa karibu kaniomba nimpe msaada wa mawazo nikaona si vibaya nikiwashriksha Great Thinkers!
Rafiki yangu amelelewa na wajomba zake coz Mama yake hayupo duniani na alikuwa hamjui Baba,siku za hivi karibuni alikutana na Dingi yake na kutambulishwa kwa ndugu wengine upande wa Baba ili wajuane mmojawapo alikuwa ni Aunt yake aliyekuwa na Binti anayesoma form4!
Jamaa akachukua contact za binamu na kuwa wanachat,binamu akatoa ahadi ya kumtembelea jamaa hostel(anasoma chuo),baada ya muda wakaanzisha mahusiano ya kimapenzi na binamu,wakati wapo mwanzo wa mahusiano Binti akaugua ugonjwa wa ajabu akawa anapandwa na mapepo wakati huo Aunt yupo kwenye business zake,home yupo Binamu na house gal! Ikabidi jamaa awe anaenda kumpa huduma zote coz sumtymz Binti alikuwa anazima akiwa katoka kuoga inabidi jamaa amvalishe nguo zote ingawa alikuwa hajawahi kula tunda la kati!
Siku zmepita Binti kapewa tiba na maombi ingawa hayupo safi kivile binti kaanzisha maada kwa Mama yake anampenda sana rafiki yangu(Binamu) na asiporuhusiwa kuolewa nae watajutia maamuzi atakayochukua,Mama alifikri ni ugonjwa kumbe binti alimaanisha na akataka kujirusha mtoni!!
Vikao vimekaa ndugu wa Baba yake jamaa wameafiki na Wa Mama yake jamaa wamegoma!!
Pls naombeni mawazo yenu afanye nini na Binti yupo more than serious na anasema wameshadu nae once??!!!