CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
SHAMSIA AZIZ MTAMBA ALIVYOSEPA NA KIJIJI MTWARA VIJIJINI
Mgombea Ubunge Jimbo la Mtwara Vijijini Mhe. Shamsia Aziz Mtamba ameimamisha Mtwara Vijijini kwa kukusanya wananchi wa Jimbo hilo waliokuja kumsikiliza Mbunge huyo ambaye anasubiri kuapishwa.
Pia, Mhe Shamsia amemuombea kura mgombea urais wa Tanzania Prof. Ibrahim Haruna Lipumba ili aweze kushinda kiti cha Urais
#MtwaraVijijiniNiShamsiaMtamba
#MtwaraVijijiniNiCUF
#ChaguaShamsiaChaguaProf.Lipumba