Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
baada ya kusoma maoni ya waziri kiongozi mstaafu wa SMZ na waziri ktk serikali ya muungano kwa sasa ndugu shamsi vuai nahodha akichangia kwenye ukusanywaji wa maoni kwa ajili ya katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano kwenye ukumbi wa wakilishi huko zanzibar.
amesema yy anataka muundo uendelee hivi hivi, ila mabunge yawe matatu. kuwe na bunge la Tanganyika na zanzibar na pawepo na bunge dogo la Muungano. kutokana na mawazo haya ya Mh shamsi, hii si sawa na kuwa na serikali tatu au ule wa mkataba? jee hili bunge la muungano litawajibika kwa serikali ipi ikiwa zitakuwa mbili ? na hili la sasa litakua la Tanganyika tuseme, jee litasimamiwa na serikali ipi ?
kwa kweli nimeshindwa kumuelewa Mh wetu, hebu tutafakari kwa pamoja juu ya mchango wake huu, na nnaomba kuelekezwa ili nimwelewe japo mkuu wa tume warioba hakumuuliza maswali ya kutosha ili aeleze vyema huu muundo wake na utendaje wake kazi
amesema yy anataka muundo uendelee hivi hivi, ila mabunge yawe matatu. kuwe na bunge la Tanganyika na zanzibar na pawepo na bunge dogo la Muungano. kutokana na mawazo haya ya Mh shamsi, hii si sawa na kuwa na serikali tatu au ule wa mkataba? jee hili bunge la muungano litawajibika kwa serikali ipi ikiwa zitakuwa mbili ? na hili la sasa litakua la Tanganyika tuseme, jee litasimamiwa na serikali ipi ?
kwa kweli nimeshindwa kumuelewa Mh wetu, hebu tutafakari kwa pamoja juu ya mchango wake huu, na nnaomba kuelekezwa ili nimwelewe japo mkuu wa tume warioba hakumuuliza maswali ya kutosha ili aeleze vyema huu muundo wake na utendaje wake kazi