Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,042
- 20,404
Naomba kuuliza wake kwa waume humu, kuolewa kunamaanisha mwanamke kujitoa ufahamu na kuhama au kubadili familia na ukoo?
Maehemu Shamsa Kombo aliacha usia akazikwe huko mwitongo kwa mume wake? Au ndio mila za kisiasa kujiita Mrs abeche ndio umeukataa ukoo na kwenu? Au ni yatima au kwao hakuna makaburi ya familia?
Wanawake hebu mtathmini hili jambo, linahitaji tafakuri ya kina. Sio feminist au Mbeijing ila hili jambo la kukimbizwa kuzikwa mwitongo kwa mume halafu anakuacha huko siku hiyo ya mapishi anarudi tauni kula pilau sio kabisa.
Najua huyu sio wa kwanza wala wa mwisho ila ni muda wa kuanza mabadiliko kuhusu utaratibu huu. Kila mtu azikiwe kwao!
RIP Shamsa Kombo na wanawake waliozikwa kwenye makaburi ya familia za waume zao!
unajitekenya na kucheka mwenyewe!
Wewe unajua kwa wakwe zako ni huko porini na mume wako kwao ni nyumba za udongo na ni warina asali hawana akazi ya kudumu ndio maana unaaka kuzikwa kwenu lakini unatumia gia ya wote watake hivyo, ume nooo