kedekede
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 5,292
- 7,640
Ni samaki fresh aliyeoza akawa hafai ukiwa, akatiwa chumvi nyingi na kukaushwa kisha baada ya kukauka anafaa tena kuliwa na anakuwa anafaa tena Sana. Huwa ana pungent or irritating odour and smell.Ng'onda ni nini?