FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,059
- 40,723
Umekosa cha kupost sio?
Inaitwa sapraizi,bibi nae akaamua kuwasapraizi, akaona "ebo kumbe inamwagika,acha niimwage tu yote"Hahaha
Mi.ninge mtia mkwenzi mc kwa kuita watu wasio jua wafungue shampein
Hajafanya makusudiHuyo Bibi aliokua akiimwaga chini kafanya makusudi kabisa...hahahaaa
Hahhaaa.na ndio dawa yao bibi ka wakomeshaInaitwa sapraizi,bibi nae akaamua kuwasapraizi, akaona "abo kumbe inamwagika,acha niimwage tu yote"
Burdaaaaaniii.......................hata sisi huku tumeburudika......very innovative kwa kweli.......Sukuma syle.......si kila kitu tufanye kama wazungu...........sichoki kuiangalia......ahahaaaaMimi sijaona udhalilishaji hapo kwanza hiyo ni siku ya furaha kunatakiwa kuwepo na vituko vya kufurahisha visivyo udhi!!ubunifu mzuri sana
Mc aliwakoma wsukuma.
Si ndio maana kaamua kuimwaga kabisa wasimletee ujinga.