Kabisa mkuu. JF imeingiliwa.Mie nafahamu wazi, kuna watu wengi humu JF hawajawahi fungua Champagne...
Acheni kudhalilisha wazazi na vitu sio vya maana.
Kabisa mkuu. JF imeingiliwa.Mie nafahamu wazi, kuna watu wengi humu JF hawajawahi fungua Champagne...
Acheni kudhalilisha wazazi na vitu sio vya maana.
ahahaaa yaani ni hatareHuyo Bibi aliokua akiimwaga chini kafanya makusudi kabisa...hahahaaa
Ni kukariri mkuu, ukimuuliza mtu shampaign ina maana gani kwenye harusi sijui atakupa jibu gani.kwanza kwenye harusi za wazungu sizionagi sijui ushamba huu unatokea wapi?
ahaaaaa kweli nimeipenda sana wengi wataigaHa ha haaa, ila wamefanya poa sana maana wameleta utofauti na harusi zingine!!
Jamaa wameanzisha then maji yatafuata mkumbo.ahaaaaa kweli nimeipenda sana wengi wataiga
ubunifu mzuriJamaa wameanzisha then maji yatafuata mkumbo.
Ingawa ukweli utabaki kuwa hawakuwa wamedhamiria kuufanya ubunifu huu.ubunifu mzuri
hata me sijawahi kufunguaMie nafahamu wazi, kuna watu wengi humu JF hawajawahi fungua Champagne...
Acheni kudhalilisha wazazi na vitu sio vya maana.
Hahahaa jiwe limepigwa kunako unajua kazi ya bandama weweLimbukeni na washamba ni hao waliowapa hilo zoezi la kufungua Shampenya. Wazee wa watu hawana habari na wamejiachia kwa nafasi, sioni cha ajabu hapo. Asilimia kubwa ya Wazandiki mnaowacheka hao wazee huku wazazi wenu hawawezi hata kufungua chupa ya chai.
Kwanza huku kwetu Africa vinywaji vyetu vya asili ni togwa, ulanzi, mbege nk. Ila ushamba ndo umetufanya tusahau vyetu na kuiga vya wazungu....!Limbukeni na washamba ni hao waliowapa hilo zoezi la kufungua Shampenya. Wazee wa watu hawana habari na wamejiachia kwa nafasi, sioni cha ajabu hapo. Asilimia kubwa ya Wazandiki mnaowacheka hao wazee huku wazazi wenu hawawezi hata kufungua chupa ya chai.