Tumeisha wavuta bangiNa leo sheria imependekezwa, bangi iwe kosa la JINAI
Ukishikwa nayo unafungwa maishaTumeisha wavuta bangi
Hukumu ni kubwa sana, kwa huyu mke wangempunguzia kidogo.Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi (Mahakama ya Mafisadi), imewahukumu kifungo cha maisha Mafanyabiashara Abdu Nsembo na Mkewe Shamim Mwasha baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kujihusisha na dawa za Kulevya aina ya Heroin .
Tuna wabunge wapuuzi sana wakina babu tale na mwana fa kuna yule wa kawe vituko tuHizo zinamalizwa polisi kiuungwana...ikienda mahakamani ni habari nyingine, hapo labda ushahidi usijitosheleze, kwahiyo bado huruma ya polisi inahusika...ila wakiamua kukukomalia, nyundo nyingi zitakuhusu...ila kiukweli kumfunga mtu miaka mingi kwa kesi ya bangi ni uonevu..hiyo sheria iangaliwe upya
Du tamaa mbele mauti nyuma. Je wana watoto? Sipati picha watoto wao watajisikiaje. Hata hivyo, kama kweli walisafirisha hii kitu wanastahili maana wanaumiza wengine kwa tamaa yao ya utajiri.Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi (Mahakama ya Mafisadi), imewahukumu kifungo cha maisha Mafanyabiashara Abdu Nsembo na Mkewe Shamim Mwasha baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kujihusisha na dawa za Kulevya aina ya Heroin .
Matajiri wengi walianza kwa kuuza karanga kariakoo, wengine walikuwa wabeba mizigo, shamim was right.nani anaendeleza shule ya kuweka laki moja kwa siku kwenye vibubu? Tumekosa mwalimu kabisa
Na polisi wakikuchomekea bangi umekwisha!Tumeisha wavuta bangi
Ndio maana na yeye anauza karanga. Ili aje kuwa tajiri siku za mbelenimatajiri wengi walianza kwa kuuza karanga kariakoo, wengine walikuwa wabeba mizigo, shamim was right.
Witnessj upo?Appeal vip bado?
🤔🤔🤔🤔Duuuh labda angehukumiwa hv ss kingepungua kidogo
Kama unawaona wanachomaka kwenye appeal!Appeal vip bado?
Mpendwa umesahau juzi hapo Lindi wale wamefungwa 20 km sijakosea Shamim maisha🤔🤔🤔🤔
Wewe hauijui hii nchi vizuri yaani uko gizani.Watu kama hawa ilipaswa Serikali iwaahidi adhabu kidogo kwa makubaliano ya hawa kuutaja mtandao wao woooote kuanzia huko nje na humu ndani. Kuwatupa ndani maisha bila kuwakamua information za kutosha haitoshi.