Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,021
- 26,335
Sure kabisaSi alifata mihela akamuacha chokambaya
Hapo kuna la kujifunza
Ova
Wanawake acheni tamaa
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Sure kabisaSi alifata mihela akamuacha chokambaya
Hapo kuna la kujifunza
Ova
Epuka hiyo pressure...pressure hizo zamani ziliwafanya vijana kumeza sana unga wasafirishe wengi walikufa wengine kufungwa,wako wengine mpaka leo utumboAseh, inasikitisha sana, mimi simlaumu sana bwn Nsembo, maana wakati mwingine presha ya maisha ukiwa na moyo mwepesi inakufanya uingie hata ktk shughuli haramu ili ufanikiwe maisha bora.
Mungu awape ustahimilivu, wakibahatika kunusurika ktk rufaa basi waachane na madawa ya kulevya maana yanaleta athari kubwa sana kwa vijana.
El Chapo yupo jela!Sure kabisa
Pablo Escobar alikuwa ana make mshiko balaa kwa hio biashara
Ila maisha yake yalikuwa Kama digidigi roho mkononi ,kusalitiana .
Na akaishia pabaya
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Hahahah naona msg sent mkuu
Inamaana malaika hawana free willTulidhike na tukipatacho kwa kweli, keep eyes and Hands to yourself. Ukikodolea Mafanikio ya watu utaishia kubaya bure....Uhuru ni kitu cha thamani sa maishani. Ndio Maana malaika wanatamani Free will tuliyonayo wanadamu
Hahahahahah falaaa Sana weweHahahaha walite zao kwani halikuwa halijui hilo kuwa ana watoto na hii kazi kuna siku unaweza dakwa? Hamna kapunguza hukumu hapo.
Mzeya unataka kuanzisha prison break...nina namba ya aliyekuwa tunnel engineer wa de guzman hapa...leta tenda hiyo mzee tufanye kazi ya kumkomboa mrembo.
Ni Mwanadamu pekee ameumbwa na free will. Malaika ni kama weak Artificial Intelligence ambayo inakua assigned kwa task fulani. Lakini Mwanadamu ni kama strong artificial intelligence ambayo hua much bigger kwenye task zake haipo custom assigned to do something.
Miaka 7, acha uduanz unajua maafa walosababisha katika jamii au ww ndo wale bendera fuata upepo
Acha tabia ya kuwa mwepesi wa kutukana. Jitahidi kudhibiti mihemko.Miaka 7, acha uduanz unajua maafa walosababisha katika jamii au ww ndo wale bendera fuata upepo
Hahahahahah watu hawajui tu jinsi inavyokeraUsiombe uwe na ndugu teja
Vidhahabu vyetu na simu vinakombwa daily
Falaaa SanaNa kweli naona mtoto anaweza jidhulu.. alafu tukapoteza chombo.. acha tuweke mapesaa ipigwe tunnel moja matata... .. na ni rahisi tufanyw mchakato wa kupata ramani ya pale ya mfumo wa maji taka. Tunapitia humo humo
sasa kiongozi wa malaika anaongozaje ikiwa wote wapo under control!!!?Ni Mwanadamu pekee ameumbwa na free will. Malaika ni kama weak Artificial Intelligence ambayo inakua assigned kwa task fulani. Lakini Mwanadamu ni kama strong artificial intelligence ambayo hua much bigger kwenye task zake haipo custom assigned to do something.
Nikekujibu??
Sii mnamsompeka ndani tuu kwisha kazi yake....tatizo la society yetu jambo baya likifanywa na ndungu tunaliacha lipite tuu
Na watoto walioharibiwa na hiyo biashara yao walelewe na nani.Jamani watoto wao, Kheri Shamim angetoka awalee watoto.
Why mahaka iwe na ufikirio wakati yeye hakuwa na huo ufikirio alipokuwa anakura maraha ya dunia while watoto wa wengine wanateseka?Inahuzunisha vijana wadogo kupata kifungo cha maisha huku wakiacha watoto wadogo bila wazazi,pia madawa ya kulevya yana madhara makubwa sana kwa nguvu kazi ya taifa.
Ingependeza mahakama ya mafisadi ipitie upya uhusika wa shamim kwenye huo uuzaji wa madawa naona kama ameingia mkenge kwa mgongo wa mumewe,aachiwe huru akalee watoto.
Mbele ya bwanajela ,nyampala ,na kiherehere hio jeuri yake itaondoka tuHuyo Jamaa jeuri imemponza wacha akamalizie life lupango shenzy kabisa yaani alikuwa ni mjeuri.
TichaaaaaVibubu challenge hahaha!kwa mwezi wanaweka million 10!wenzao haya 50k hatufikishi
Atatoroka tuu...wee ngoja utasikiaEl Chapo yupo jela!
Mboni mhita au mboni masimbaHakuna aliyefika hata 13 yrs may be walozaa before kuona wao!halafu huu msala ungekua wa mboni huu!Shamim kaiba bwana kumbe anauingia moto