lordchimkwese
JF-Expert Member
- Nov 16, 2015
- 1,914
- 3,343
Kodi 0 yani mzigo unaingia after tax
Tatizo hela yake tamu sana. Imagine unaingiza zaidi ya million 100 kila mwaka, unadhani utawaza tena kuwa na biashara ya kuchonga miwa ama kuuza juice? Mwenzio kilaini tu hakosi laki 3 ya kuchezea kila siku!