Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,012
Basi sawa.....Msije tu wiki ijayo mkatuambia kumbe kilichokamatwa sio Heroin bali Unga wa Dengu bibie alikuwa anataka kumpikia mumewe visheti !!
Basi sawa.....Msije tu wiki ijayo mkatuambia kumbe kilichokamatwa sio Heroin bali Unga wa Dengu bibie alikuwa anataka kumpikia mumewe visheti !!
Mrangi uliona hili. YametimiaIla msala wanao maana kutoka sahv ngumu
Na jela maisha watapata tabu sna mpaka azoeee kazi wanayo
Ova
hahahaha weshu mbona make upRole model apelekewe makeup 💄
Lock up weshuhahahaha weshu mbona make up
😀😀😀😀😀😀😀😀....Msije tu wiki ijayo mkatuambia kumbe kilichokamatwa sio Heroin bali Unga wa Dengu bibie alikuwa anataka kumpikia mumewe visheti !!
Ilikuwa wakati wa Rais hatari wa wala ngada. Magu alimanisha. Mungu ampumzishe kwa Amani.
Mamlaka ya Kupambana na Kuzuia Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA) imemkamata mfanyabiashara, Abdul Nsembo maarufu Abdukandida na mkewe, Shamim Mwasha kwa tuhuma ya kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroin.
Wanandoa hao wanadaiwa kukutwa na dawa hizo zenye uzito wa zaidi ya gramu 400 nyumbani kwao Mbezi Beach, jijini Dar es Salaam.
Kamishna wa operesheni wa DCEA, Luteni Kanali Fredrick Milanzi amelieleza Mwananchi kuwa, watuhumiwa hao walikamatwa Mei Mosi mwaka huu.
Amesema kukamatwa kwa Nsebo na mkewe kumekuja baada ya kukamatwa kwa mtandao mkubwa wa dawa hizo hivi karibuni.
Amesema maofisa wa DCEA baada ya kupata taarifa walienda nyumbani kwa watuhumiwa hao na kufanya upekuzi na kubaini mfuko ukiwa na dawa hizo za kulevya na nyingine zilikutwa katika siti ya nyuma ya gari.
"Tulifanya upekuzi kuanzia saa 8:00 usiku hadi saa 1:00 asubuhi na tulizibaini dawa hizo zikiwa zimefichwa na matokeo ya awali kutoka kwa Mkemia Mkuu wa Serikali yameonyesha ni dawa za kulevya aina ya heroin.”
“Vitu vingine tulivyomkuta navyo ni simu tano, kadi za benki, hati ya kusafiria pamoja na nyaraka mbalimbali ambavyo vyote tumevichukua,” amesema Luteni Kanali Milanzi
Amesema watuhumiwa hao wana mtandao mkubwa wa kimataifa na kwamba wana majina ya watu wanaoshirikiana nao kutoka nchi mbalimbali ikiwamo Brazil.
Amesema wawili hao bado wanashikiliwa na upelelezi ukikamilika watafikishwa mahakamani.
Hawa hawajaachiwa to date?
Ilikuwa wakati wa Rais hatari wa wala ngada. Magu alimanisha. Mungu ampumzishe kwa Amani.
Doing Life.
Double Standard.
Mtoto wa Liyumba alivunja rekodi ya kukamatwa na magunia ya sembe ila kashatoka ila Shamim amekamatwa na nusu kilo wamempa maisha.
Mtoto wa Liyumba akamatwa na madawa ya kulevya yenye thaman ya Bil 9 Tsh
Source:ATN -UCHAMBUZI WA MAGAZETI by Kelvin Motto Nzowa asema hii haijawahi kutokea katika historia,ni kilo 209www.jamiiforums.com
Mtoto wa Lyiuma alikuwa punda tu wa Shikuba na inawezekana hata alichomeshwa tu maana hizo dili kupigwa bwege mtozeni kawaida sana ili ufanikishe mambo ya watu.
Sasa mbona skuba mwenyewe alifungwa miaka 7 tu? Unajua aliyekamatwa na ngozi ndiye aliyeiba ng'ombe? Mtoto wa Liyumba na Skuba washatoka jela inagwa walikamata na mizigo ya hatari 209Kg,why mwenye 0.5Kg afungwe maisha?
Sasa mbona skuba mwenyewe alifungwa miaka 7 tu? Unajua aliyekamatwa na ngozi ndiye aliyeiba ng'ombe? Mtoto wa Liyumba na Skuba washatoka jela inagwa walikamata na mizigo ya hatari 209Kg,why mwenye 0.5Kg afungwe maisha?
Shikuba yuko jela USA, alikuwa na kimeo kingine huko sina uhakika kama katoka au la, ila kijana wake Tikotiko alitumikia akatoka.
Issue ya Abdul na huyu dada ni tofauti kidogo na Shikuba, Abdul aliingia kwenye mikono ya serikali wakati ambao serikali iliamua kudeal na wauza unga ili kuitokomeza biashara, lengo ilikuwa kumtarget na kumtia nyavuni haijalishi ana mzigo au hana maana habari zake tayari Serikali ilikuwa nazo kama ilivyokuwa kwa Chonji wa Magomeni naye, alitaitiwa baada ya awamu ya nne kumchoka na matukio yake, mamlaka ziamua kumlalia kinomanoma haijalishi ana mzigo au hana ni order ilitoka na ndio mpaka leo Chonji yuko mahabusu hajahukumiwa bado nafikiri.
Kwa Sheria ipi?Waachiwe tu.
Ila bado bwana wake othman yuko ndaniDoing Life.
Double Standard.
Mtoto wa Liyumba alivunja rekodi ya kukamatwa na magunia ya sembe ila kashatoka ila Shamim amekamatwa na nusu kilo wamempa maisha.
Mtoto wa Liyumba akamatwa na madawa ya kulevya yenye thaman ya Bil 9 Tsh
Source:ATN -UCHAMBUZI WA MAGAZETI by Kelvin Motto Nzowa asema hii haijawahi kutokea katika historia,ni kilo 209www.jamiiforums.com