Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,921
kumbe na chuo alimsomesha?Mshkaji sio pesa alkua hana bali alkua nazo kiasi pia shamim naeza sema ndio almfanya Jamaa asipasue mbuga sana za pesa ila shamim angekumbuka fadhila kuanzia kutunzwa na jamaa kupelekwa chuo hata ile ofisi yake pale sinza enzi zile ila ndo hvyo namuonea Iman Sana mwanae wa kwanza japo naamini yupo mikono salama sana tena sana ila ndo hvyo