Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

sikuwa na uhakika na hili, inaonekana ameamua kuwa low profile.. maana alipambana aende zake akashitakiwe unyamwezini kuliko kuingia kwenye 18 za marehemu.. maana angekuwa ngome mpaka sasa kama wenzake au angekula za uso 30yrs kama mwenzie Yanga Omar wa Tanga.

Ila Unga unaleta jeuri sana.
Shkuba hakupambana akafungwe marekani Bali alikuwa most wanted by FBI marekani,

Jamaa alitajwa mara nyingi Sana kwenye kesi za watu waliokamatwa na madawa MAREKANI.

FBI walimfata sababu jamaa alikuwa na kesi kule..

alipomaliza kifungo marekani ilibidi arudishwe tena tanzania aje akutane na kesi yake ya LINDI..

Nadhani analindwa na kiongozi mmoja mkubwa visiwani..
Yupo huru kwa sasa,,Kuna sehem kajichimbia Ila hayupo jela.
 
Back
Top Bottom