Monica ana roho jamaniShamimu ananiuma sana ..wale watoto jamani...wanakua bila mama🥱
Shit hole kweli kweli 🤣🤣🤣.Ajabu kabisa,,
Mtu anakamatwa na kidhibiti lakini bado ushahidi haujakamilika.
Africa a shit hole
Monica ana roho jamani
Anapambana nao bado
Mungu ambariki sana
Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app
Shkuba hakupambana akafungwe marekani Bali alikuwa most wanted by FBI marekani,sikuwa na uhakika na hili, inaonekana ameamua kuwa low profile.. maana alipambana aende zake akashitakiwe unyamwezini kuliko kuingia kwenye 18 za marehemu.. maana angekuwa ngome mpaka sasa kama wenzake au angekula za uso 30yrs kama mwenzie Yanga Omar wa Tanga.
Ila Unga unaleta jeuri sana.
Kabisa.Shit hole kweli kweli .
Mtu anaua kwa risasi live unaambiwa uchunguzi unafanyika.
Kabisa aise..ana roho ya kipekee...soo painfulMonica ana roho jamani
Anapambana nao bado
Mungu ambariki sana
Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app
Hakuna msafi mkuu....tusimnyoshee vidole sana...amejifunzaBiashara waliyokuwa wanajihusisha nayo imeharibu pia mamia ya watoto wa watu
Wewe mbona hukununua mkuu...😉Na yeye kawaharibu familia kibao kwa kuwauzia bwimbwi wazazi wao
Sikulijiua duka lao mkuuWewe mbona hukununua mkuu...😉