Shami Chakrabarti shadow Attorney General of the UK

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,268
1108485


Shami Chakrabarti anaweza kuwa waziri mkuu wa siku za usoni kupitia chama cha Labour.

Alizaliwa 1969 katika mji wa Harrow. Wazazi wake wote wawili wanatoka Bengali India.

Alisoma sheria London School of Economics. Ana mtoto mmoja wa kiume.
 
Mhindi awe PM UK? Nakataa kabisa Best si kwa ubaguzi unavyozidi kushamiri nchi hiyo miaka hii ya karibuni.

Shami Chakrabarti anaweza kuwa waziri mkuu wa siku za usoni kupitia chama cha Labour.

Alizaliwa 1969 Latifa mji wa Harrow. Wazazi wake wote wawili wanatoka Bengali India.

Alisoma sheria London School of Economics. Ana mtoto mmoja wa kiume.
 
Mhindi awe PM UK? Nakataa kabisa Best si kwa ubaguzi unavyozidi kushamiri nchi hiyo miaka hii ya karibuni.

Waziri wa mambo ya ndani Sajid Javid alijitutumua miezi ya karibuni kutafuta umaarufu lakini amepigwa za chinichini na za uso na sasa amekaa kimya.

Angalia wagombea wa sasa wanaotaka kuziba nafasi ya Theresa May.
 
Naam Mkuu wote ni wabaguzi wa hali ya juu kwa ujuha wao utadhani adui wa kwanza wa UK ni Wahamiaji na adui anayefuata ni EU.

Waziri wa mambo ya ndani Sajid Javid alijitutumua miezi ya karibuni kutafuta umaarufu lakini amepigwa za chinichini na za uso na sasa amekaa kimya.

Angalia wagombea wa sasa wanaotaka kuziba nafasi ya Theresa May.
 
Wakati mwingine wanajihisi na wao ni weupe eti.......

Tangu enzi hizo mhindi ni mshirika wa mzungu mkoloni.

Lakini ukitaka kufahamu jinsi hawa jamaa walivyozishika nchi kama Uingereza na Canada angalia madawati ya uhamiaji na ya ya kule ofisi za uhamiaji na ndani huko kwenye maofisi ya manispaa ndiko walikojazana humo.

Kwenye biashara nyingi kubwakubwa wao ndo wenye kushika usukani.
 
Wazungu wanashika hatamu sasa, Uliberali Ulaya, Amerika na Asia umeminywa vya kutosha wameibuka Nationalists Dunia ndo unaenda hivyo.
Waziri wa mambo ya ndani Sajid Javid alijitutumua miezi ya karibuni kutafuta umaarufu lakini amepigwa za chinichini na za uso na sasa amekaa kimya.

Angalia wagombea wa sasa wanaotaka kuziba nafasi ya Theresa May.
 
Wazungu wanashika hatamu sasa, Uliberali Ulaya, Amerika na Asia umeminywa vya kutosha wameibuka Nationalists Dunia ndo unaenda hivyo.

Kwa nchi kama Uingereza, Italia Hungury na kwingine wazo la utaifa linawashinda kwani bado watu kama Emmanuel Macron na Angela Markel wao wana mawazo tofauti.
 
Markel anaondoka na ndiye aliyekuwa Champion wa kupinga utaifa, Macron hana nguvu sana pale France, Naiona German ikiingia katika siasa za mlengo mkali wa kupinga wageni, Tatizo linalowatatiza ni je wakipinga Cheap labour watapatijana wapi? Hata USA ndo kinachowaumiza
Kwa nchi kama Uingereza, Italia Hungury na kwingine wazo la utaifa linawashinda kwani bado watu kama Emmanuel Macron na Angela Markel wao wana mawazo tofauti.
 
Ni kweli hii nimeiona. ...
Nawanafanya madudu mengi sana kusaidiana.
Ila akatokea mweusi wanamchomea haraka sana.
Tangu enzi hizo mhindi ni mshirika wa mzungu mkoloni.

Lakini ukitaka kufahamu jinsi hawa jamaa walivyozishika nchi kama Uingereza na Canada angalia madawati ya uhamiaji na ya ya kule ofisi za uhamiaji na ndani huko kwenye maofisi ya manispaa ndiko walikojazana humo.

Kwenye biashara nyingi kubwakubwa wao ndo wenye kushika usukani.
 
Shami Chakrabarti anaweza kuwa waziri mkuu wa siku za usoni kupitia chama cha Labour.

Alizaliwa 1969 Latifa mji wa Harrow. Wazazi wake wote wawili wanatoka Bengali India.

Alisoma sheria London School of Economics. Ana mtoto mmoja wa kiume.

Shami haiwezekani kuwa waziri mkuu wa Uingereza kwa utaratibu wa kawaida na huyu, alizimwa miaka kadhaa ilopita kwa kuongoza kupinga sheria za kupambana na ugaidi au "anti-terror laws" kupitia kikundi alichoongoza kilichojulikana kwa jina la Liberty.

Kama unavyofahamu magaidi wengi walotokea Uingereza ni wa asili ya asia hivyo kujikolezea moto wa chuki kutoka kwa wazungu.

Ukiishafikia daraja fulani la umaarufu kwenye nchi hizi za wazungu basi huwa wanaanza kukutafutia makosa na madoa uliyowahi kuwa nayo huko nyuma ili kukuzima kabisa kama tufanyavyo kwa mshumaa yaani unapuliza tu.

Hivyo Shami Chakrabarti, Sajid Javid na yule dada mrembo Prit Patel wote wamekumbwa na dhahama za wazima mishumaa.

Mrembo Prit Patel alizaliwa Uganda na akaja kuwa waziri wa maendeleo ya kimataifa kwa muda mfupi kabla ya kuondolewa na Theresa May baada ya kugundulika alikuwa akifanya mikutano ya siri na maofisa wa serikali ya Israeli.

Wazima mishumaa wakakomalia hiyo na akaondolewa kupitia sababu ya kukiuka maadili ya uwaziri.

Usicheze na wazungu khasa wale waitwao "hard core".
 
Naamini kinachowashinda waafrika wengi ni maadili. Wanashawishika haraka, hawana maamuzi, inferiority complex n.k.
 
Shami haiwezekani kuwa waziri mkuu wa Uingereza kwa utaratibu wa kawaida na huyu, alizimwa miaka kadhaa ilopita kwa kuongoza kupinga sheria za kupambana na ugaidi au "anti-terror laws" kupitia kikundi alichoongoza kilichojulikana kwa jina la Liberty.

Kama unavyofahamu magaidi wengi walotokea Uingereza ni wa asili ya asia hivyo kujikolezea moto wa chuki kutoka kwa wazungu.

Ukiishafikia daraja fulani la umaarufu kwenye nchi hizi za wazungu basi huwa wanaanza kukutafutia makosa na madoa uliyowahi kuwa nayo huko nyuma ili kukuzima kabisa kama tufanyavyo kwa mshumaa yaani unapuliza tu.

Hivyo Shami Chakrabarti, Sajid Javid na yule dada mrembo Prit Patel wote wamekumbwa na dhahama za wazima mishumaa.

Mrembo Prit Patel alizaliwa Uganda na akaja kuwa waziri wa maendeleo ya kimataifa kwa muda mfupi kabla ya kuondolewa na Theresa May baada ya kugundulika alikuwa akifanya mikutano ya siri na maofisa wa serikali ya Israeli.

Wazima mishumaa wakakomalia hiyo na akaondolewa kupitia sababu ya kukiuka maadili ya uwaziri.

Usicheze na wazungu khasa wale waitwao "hard core".
Ugaidi unatengenezwa na kufadhiliwa na wazungu ili wauze vifaa vya kivita na kuwachonganisha wale wale wasio wazungu wapigane wao kwa wao
 
Back
Top Bottom