Shame upon you Chadema - Mhariri wa gazeti la serikali huyo

Hahahaha,damu ya nyerere hata watoto wake hawana,siku hizi kama kina makongoro wanakula balaa!
wewe unafikili chama gani hata maelngo hakina, ndugu zako hawafaidi hata wewe usifaidi rushwa na wizi, BASI UJUE WEWE HUFAI AKILI HUNA KABISAA KAMA UNADHANI HUU NI USHABIKI WA SIMBA NA YANGA UMEPOTEA, UKIWA CCM LAZIMA UKAE KWA MALENGO. ukizubaa wachache tunafaidi bwana.
 
kama unabisha muulize MASHA mladi wa vitambulisho ulikuwa si mchezo mpaka leo anaulilia uleee. CHADEMA BWANA imeharibu mengi saana.
 
Poleni mliofiwa,lakini tuliobaki tuwe na tahadhari sana na viongozi wa kisiasa.Wao wako tayari kututumia kwa namna yoyote ile ili wapate umaarufu na mslahi yao.Sasa hivi familia za wafiwa zimebaki na majonzi,lakini viongozi wa Chadema wataendelea kupeta na kufaidi mamilioni ya pesa za serikali na chama chao (Slaa mill 12 Mbowe,Lema.Ndesamburo zaidi ya mill 8 kwa mwezi)

Hali kadhalika wakajifanya watu wa mbele na kuuza sura katika magazeti ili waonekane watu wema chamsingi roho hailipiki ila cha kufanya mukawalipe fidia ndugu na jamaa waliokuwa wanawategemea.

Wito kwa wanajamii tuamke tusiwe muhanga kwa ajili ya wanasisa Mbumbu kwa maslahi yao. Na ikiwezekana Itungwe sheria Chama Kinachopelekea mafa kifufutwe Jamani si wote wanatanzania ni waelewa vyombo vya habari vitusaidie sisi wananchi msiwabebe wanasiasa

mmmmmhhhh........more than a crap...!
 
Ninashangazwa sana jinsi wananchi wengine wanavyotumia uchama katika kuficha ukweli wa mambo. Nimuhimu tukatanguliza uzalendo mbele badala ya kuweka imani ya chama katika kuzungumzia swala la mauaji ya kinyama yaliyotokea Arusha. Unapozungumzia uongozi wa juu wa CHADEMA ndio ulio hamasisha mashabiki kwenda kuuawa na polisi hiyo haina mantiki kabisa. Unatakiwa kutambua kwamba wanachama na wapenzi wa CHADEMA wamewachagua viongozi wao ili kuwawakilisha mawazo yao. Naamini kwamba hakuna mwanachama au shabiki aliyelazimishwa kwenda kuundamana, wote walikuwa kwenye maandamano hakuna aliyekuwa chini ya umri wa miaka 18, wote ni watu wazima na waliandamana kwa matakwa yao wenyewe kutoka na uchungu na uzalendo, hawakupenda kuvumilia kuona jinsi serikali ya CCM inavyotumia jeshi la polisi kubaka demokrasia ya watanzania. Kama ni swala la kuchochea basi hata Chief Mkwawa aliwachochoe wahehe kufa kijinga kwenye vita vya majimaji wakati wa kudai uhuru enzi za utawala wa wazungu. Kuhusu kwenda Mt Meru hoja yako haina msingi, wewe ulitegemea viongozi wa CHADEMA kitaifa wafikie hoteli gani? Kwani mwenyekiti wa CCM Taifa akija huwa unafikia Mianzini Guest House? Naomba tutoe hoja za msingi na sio kutoa hoja za kishabiki kutokana na imani za vyama tunavyotoka. Maandamano ni haki ya msingi ya kila mwananchi kuwakilisha madai yake. Sawala la kuandamana kwenda kituo cha polisi ilikuwa kwenda kupaza sauti zao kudai demokrasia inayo bakwa na baadhi ya watu wenye uelewa finyu kama wewe mwenyewe. Kwa maana hiyo basi hata mauaji ya Soweto yalishinikizwa na viongozi wa NAC kwa ajili ya kujinufaisha kisiasa. Swali la kujiuliza, je hakukuwa na mbinu nyingine ya kuwazuia zaidi ya kutumia risasi za moto? Je gari la maji ya kuwasha lilikuwa wapi? mabomu ya machozi nayo yalikuwa wapi? na kama yote hayo yalishindikana kwanini wasitumie risasi za mpira? Nashindwa kuelewa inakuwaje jeshi la polisi lishindwe kuwadhibiti waandamanaji wasiokuwa na silaha yoyote? je wangekuwa na mawe, fimbo, mapanga, mishale, marungu na mikuki ingekuwaje????????? Kwa mantiki hii inaonyesha basi wangetumia vifaru vya jeshi kuwateketeza !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Tupende tusipende, kwa kitendo hiki inaonyesha jinsi serikali iliyoko madarakani inavyochukia upinzani.Kitendo hiki nakifananisha na kampeni ya kuzuia malaria kwa kutumia SMG kuulia mbu. Hii ni aibu kwa taifa na kizalendo ilipaswa mkuu wa polisi wa mkoa wa Arusha awajibishwe haraka sana, na kwa kuwa mpaka sasa hivi hilo alijafanyika basi IGP mwenyewe awajibike kwa hili.

Hii ndio Tanzania kisiwa cha Amani.:Cry:
 
Poleni mliofiwa,lakini tuliobaki tuwe na tahadhari sana na viongozi wa kisiasa.Wao wako tayari kututumia kwa namna yoyote ile ili wapate umaarufu na mslahi yao.Sasa hivi familia za wafiwa zimebaki na majonzi,lakini viongozi wa Chadema wataendelea kupeta na kufaidi mamilioni ya pesa za serikali na chama chao (Slaa mill 12 Mbowe,Lema.Ndesamburo zaidi ya mill 8 kwa mwezi)

Hali kadhalika wakajifanya watu wa mbele na kuuza sura katika magazeti ili waonekane watu wema chamsingi roho hailipiki ila cha kufanya mukawalipe fidia ndugu na jamaa waliokuwa wanawategemea.

Wito kwa wanajamii tuamke tusiwe muhanga kwa ajili ya wanasisa Mbumbu kwa maslahi yao. Na ikiwezekana Itungwe sheria Chama Kinachopelekea mafa kifufutwe Jamani si wote wanatanzania ni waelewa vyombo vya habari vitusaidie sisi wananchi msiwabebe wanasiasa

hatudanganyiki,mapambano daima mpaka kieleweke,ufisadi wako hautazuia mabadiliko.
 
Ninashangazwa sana jinsi wananchi wengine wanavyotumia uchama katika kuficha ukweli wa mambo. Nimuhimu tukatanguliza uzalendo mbele badala ya kuweka imani ya chama katika kuzungumzia swala la mauaji ya kinyama yaliyotokea Arusha. Unapozungumzia uongozi wa juu wa CHADEMA ndio ulio hamasisha mashabiki kwenda kuuawa na polisi hiyo haina mantiki kabisa. Unatakiwa kutambua kwamba wanachama na wapenzi wa CHADEMA wamewachagua viongozi wao ili kuwawakilisha mawazo yao. Naamini kwamba hakuna mwanachama au shabiki aliyelazimishwa kwenda kuundamana, wote walikuwa kwenye maandamano hakuna aliyekuwa chini ya umri wa miaka 18, wote ni watu wazima na waliandamana kwa matakwa yao wenyewe kutoka na uchungu na uzalendo, hawakupenda kuvumilia kuona jinsi serikali ya CCM inavyotumia jeshi la polisi kubaka demokrasia ya watanzania. Kama ni swala la kuchochea basi hata Chief Mkwawa aliwachochoe wahehe kufa kijinga kwenye vita vya majimaji wakati wa kudai uhuru enzi za utawala wa wazungu. Kuhusu kwenda Mt Meru hoja yako haina msingi, wewe ulitegemea viongozi wa CHADEMA kitaifa wafikie hoteli gani? Kwani mwenyekiti wa CCM Taifa akija huwa unafikia Mianzini Guest House? Naomba tutoe hoja za msingi na sio kutoa hoja za kishabiki kutokana na imani za vyama tunavyotoka. Maandamano ni haki ya msingi ya kila mwananchi kuwakilisha madai yake. Sawala la kuandamana kwenda kituo cha polisi ilikuwa kwenda kupaza sauti zao kudai demokrasia inayo bakwa na baadhi ya watu wenye uelewa finyu kama wewe mwenyewe. Kwa maana hiyo basi hata mauaji ya Soweto yalishinikizwa na viongozi wa NAC kwa ajili ya kujinufaisha kisiasa. Swali la kujiuliza, je hakukuwa na mbinu nyingine ya kuwazuia zaidi ya kutumia risasi za moto? Je gari la maji ya kuwasha lilikuwa wapi? mabomu ya machozi nayo yalikuwa wapi? na kama yote hayo yalishindikana kwanini wasitumie risasi za mpira? Nashindwa kuelewa inakuwaje jeshi la polisi lishindwe kuwadhibiti waandamanaji wasiokuwa na silaha yoyote? je wangekuwa na mawe, fimbo, mapanga, mishale, marungu na mikuki ingekuwaje????????? Kwa mantiki hii inaonyesha basi wangetumia vifaru vya jeshi kuwateketeza !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Tupende tusipende, kwa kitendo hiki inaonyesha jinsi serikali iliyoko madarakani inavyochukia upinzani.Kitendo hiki nakifananisha na kampeni ya kuzuia malaria kwa kutumia SMG kuulia mbu. Hii ni aibu kwa taifa na kizalendo ilipaswa mkuu wa polisi wa mkoa wa Arusha awajibishwe haraka sana, na kwa kuwa mpaka sasa hivi hilo alijafanyika basi IGP mwenyewe awajibike kwa hili.

Hii ndio Tanzania kisiwa cha Amani.:Cry:

Napiga picha ukiandika sms kwenye simu kama kuna mtu ataisoma!
 
Hapa sidhani kama tatizo ni kuwa ccm au cdm au cuf, hapa tatizo ni watu kupelekwa kama makondoo kwaajili ya manufaa ya wanasiasa.
Hivi wewe na akili yako unaambiwa na polisi hakuna kuandamana, na madhara ya kupinga amri ya polisi unayajua. lakini kwakuwa mbowe kasema twendeni tu tuandamane hawawezi kutufanya kitu hawa, nawewe unaunga mkumbo tu, likitokea la kutokea mnaanza kulia lia.
Kama unaakili angalia jinsi walivyotumia nafasi ya mazishi kinafiki.
Hata kama wanania kiasi gani kuikomboa kama wanavyoita wao lakini wasituingize kwenye machafuko yasiyo na msingi.
Upuuzi ulioje kuona watu wamelishwa ujinga wakashiba kuwa kupingana na serikali kwa kufanya watakavyo ndio demokrasia, huwezi kuwaambia watu wakavamie kituo cha polisi ukategemea patakuwa salama.
itikadi ya kipumbavu kuwa mapinduzi duniani kote lazima damu imwagike ndio mnataka kutuletea na sisi huo upuuzi, never.
Haijalishi umeichoka kiasi gani ccm sheria na taratibu lazima zichukue mkonndo wake.
Hakuna kitu kibaya kama kuwaaminisha watu kuwa watawala waliopo hawawezi kutawala na wanatakiwa kuondoka kwa gharama yoyote hata kama ni uhai wa watu, na huku ndiko cdm wanakotupeleka.
Inasikitisha kuona watu wameshiba huu ujinga hadi kupost vitu vya ajabu kama tuue polisi, nchi nzima tuingie mtaani, in short tupuuze utawala wa sheria na tufanye matakwa ya slaa ilimradi aingie ikulu.
Demokrasia inagharama zake na hii ni mojawapo, nisanduku la kura tu ndio linapaswa kumpeleka dr slaa ikulu, hata kama umemchoka kiasi gani subiri miaka mitano ijayo.
Vinginevyo watu wataendelea kufa kwa upuuzi wa cdm kuwajaza ujinga watu watakao pingana na utawala wa sheria.
Tunaongelea ushabiki wa kisiasa lakini Mungu anajua katika hili la arusha cdm wamelipika kwa kiasi gani
 
Kishongo-Ni matongotongo kwa huk kwetu.Ukifatilia utakuta ni mgambo wa Green gard(Ccm).NYAMBAFU WEWE....
 
Hapa tatizo ni watu kupelekwa kama makondoo kwaajili ya manufaa ya wanasiasa.
Hivi wewe na akili yako unaambiwa na polisi hakuna kuandamana, na madhara ya kupinga amri ya polisi unayajua. lakini kwakuwa mbowe kasema twendeni tu tuandamane hawawezi kutufanya kitu hawa, nawewe unaunga mkumbo tu, likitokea la kutokea mnaanza kulia lia.
Kama unaakili angalia jinsi walivyotumia nafasi ya mazishi kinafiki.
Hata kama wanania kiasi gani kuikomboa kama wanavyoita wao lakini wasituingize kwenye machafuko yasiyo na msingi.
Upuuzi ulioje kuona watu wamelishwa ujinga wakashiba kuwa kupingana na serikali kwa kufanya watakavyo ndio demokrasia, huwezi kuwaambia watu wakavamie kituo cha polisi ukategemea patakuwa salama.
itikadi ya kipumbavu kuwa mapinduzi duniani kote lazima damu imwagike ndio mnataka kutuletea na sisi huo upuuzi, never.
Haijalishi umeichoka kiasi gani ccm sheria na taratibu lazima zichukue mkonndo wake.
Hakuna kitu kibaya kama kuwaaminisha watu kuwa watawala waliopo hawawezi kutawala na wanatakiwa kuondoka kwa gharama yoyote hata kama ni uhai wa watu, na huku ndiko cdm wanakotupeleka.
Inasikitisha kuona watu wameshiba huu ujinga hadi kupost vitu vya ajabu kama tuue polisi, nchi nzima tuingie mtaani, in short tupuuze utawala wa sheria na tufanye matakwa ya slaa ilimradi aingie ikulu.
Demokrasia inagharama zake na hii ni mojawapo, nisanduku la kura tu ndio linapaswa kumpeleka dr slaa ikulu, hata kama umemchoka kiasi gani subiri miaka mitano ijayo.
Vinginevyo watu wataendelea kufa kwa upuuzi wa cdm kuwajaza ujinga watu watakao pingana na utawala wa sheria.
Tunaongelea ushabiki wa kisiasa lakini Mungu anajua katika hili la arusha cdm wamelipika kwa kiasi gani
 
Inaonesha jinsi gani mlivyo wabinafsi pia hamjui hata maana ya ukombozi ni nini? endeleeni kwani siku itafika mtayakimbia hayo magari na Nyumba za kifisadi. Tanzania yetu ya leo imefika pa baya na inahitaji watu wakuikomboa kwa namna yoyote ile hata kama kwa kupoteza maisha kwa faida ya kizazi kijacho ambacho miaka hamsini bado maskini wa kutupwa.
 
Vinginevyo watu wataendelea kufa kwa upuuzi wa cdm kuwajaza ujinga watu watakao pingana na utawala wa sheria.
Tunaongelea ushabiki wa kisiasa lakini Mungu anajua katika hili la arusha cdm wamelipika kwa kiasi gani

nasema hivii... wewe ndio utakua wa kwanza kufa kama unavyo wakejeli watanzania...wewe ni nani..? mungu hashirikiani na nyinyi wenye akili zenye ncha kali na siasa za ukorokoroni... lazima wewe ni agent wa kuhubiri chuki.... hate preacher

watu kama nyinyi mmeanza kuwa wengi mna hofia kumalizika kwa maisha ya unyonyaji wa watanzania wasio na sauti.... sas wakati umefika ... kaa tayari.... hofu yako ni kubwa sana juu ya sauti ya umma.. na ulishuhudia siku ya mazishi na ndio maana unalaumu CDM...
 
Nyie vipi? Katika historia ya nchi nyingi ni sehemu chache mapinduzi yalipofanyika bila damu kidogo au nyingi kumwagika. Damu ni kitu cha thamani. Ndio maana hadi leo kuna siku ya kuwaenzi mashujaa. Ili uweze kupata mazao zaidi lazima mbegu uliyonayo ukubali kuizika, ioze na baadae itoe mmea utakaokupa nafaka zaidi. Hata kama kifo kingetokea kwangu, bado ningehisi mie shujaa huko ambako ningeenda. ILi ujue kuwa damu ni ukombozi, ona baada ya hao pakashume unaowatetea kuwa wameua, siku ya mazishi waliwaangalia tu na hakuna aliyemgusa mwananchi na hakuna fujo iliyotoke. Hii ninkwa sababu damu ilkuwa imemwagika. Hivyo ndugu yangu KICHE, KICHE, fikiri kwanza. Wewe nimeona ni muoga kama nini. Ukiendela hivi na uoga wako iko siku mijamaa mijanja kama CCM itamchukua mkeo na kum - do ukiwa unaona kisa wewe hutaki fujo. Hakikisha mkeo/mpenzio/mchumbao haoni hii contribition uliyoifanya hapa maana hawapendi men cowards kama wewe.
 
Poleni mliofiwa,lakini tuliobaki tuwe na tahadhari sana na viongozi wa kisiasa.Wao wako tayari kututumia kwa namna yoyote ile ili wapate umaarufu na mslahi yao.Sasa hivi familia za wafiwa zimebaki na majonzi,lakini viongozi wa Chadema wataendelea kupeta na kufaidi mamilioni ya pesa za serikali na chama chao (Slaa mill 12 Mbowe,Lema.Ndesamburo zaidi ya mill 8 kwa mwezi)

Hali kadhalika wakajifanya watu wa mbele na kuuza sura katika magazeti ili waonekane watu wema chamsingi roho hailipiki ila cha kufanya mukawalipe fidia ndugu na jamaa waliokuwa wanawategemea.

Wito kwa wanajamii tuamke tusiwe muhanga kwa ajili ya wanasisa Mbumbu kwa maslahi yao. Na ikiwezekana Itungwe sheria Chama Kinachopelekea mafa kifufutwe Jamani si wote wanatanzania ni waelewa vyombo vya habari vitusaidie sisi wananchi msiwabebe wanasiasa

unatuharibia lugha yetu adhimu,kajifunze lugha kwanza alafu uje kumwaga upupu wako...
 
Mimi sio muoga bali najaribu kuangalia mile kadhaa mbele yangu, huo unaouita ukombozi kuna nchi ziliufanya matokeo yake hadi leo hawajui tena amani ikoje.
Amini unavyo amin
 
bila south africa watu wake kujitoa mhanga,mpaka leo mkaburu angekuwa anatawala
kwahiyo shushhh..... sasa kama haujaandamana utapata wapi haki yako?
 
Mimi sio muoga bali najaribu kuangalia mile kadhaa mbele yangu, huo unaouita ukombozi kuna nchi ziliufanya matokeo yake hadi leo hawajui tena amani ikoje.
Amini unavyo amin
ni heri kufa kishujaa ukitetea haki za maskini kuliko kuishi kimaskini ukilamba miguu ya mafisadi!hata Marekani walipigana acha uoga mtoto wa kiume!
 
Kuna busara zaidi kwenye kukaa kimya zaidi ya kuongea. Ungekuwa hata unajua sera za Chadema ingekuwa afadhali
 
Mimi sio muoga bali najaribu kuangalia mile kadhaa mbele yangu, huo unaouita ukombozi kuna nchi ziliufanya matokeo yake hadi leo hawajui tena amani ikoje.
Amini unavyo amin

paulss hofu uliyonayo ..... inaweza ikawa sio ya kuhofia machafuko ..lakini ni hofu ya mwisho wa uzalimu.... je future yake itakuwaje kama watawala watabadilika?.... hofu ya kwamba wananchi wakikombolewa na kila mtanzania akapata haki na wale kama nyinyi wenye kulihujumu na kufanya ufisadi ndio utakua mwisho wenu.... na kitakachobaki ni fedhea... kumbuka kwamba... kila chenye mwanzo kina mwisho... hata empires zilizojizatiti kwa himaya kubwa na ngome kubwa ziliishia kwenye ukabidhi wa mdaraka kwa wazalendo... angalia mobutu seseseko.. na wengine wengi..... usisahau... usiache mbachao kwa mmsala upitao....mapandikizi yanayopita na upepo wa mabadiliko mpo wengi
 
Back
Top Bottom