Wakuu zangu,
Jamani mbona naona watu mkifukuza mwizi wa nguo zenu mkiwa uchi?.. yaani hata sielewi kabisa Wadanganyika tumerogwa na nani?.. ndio maana niliuliza kwa nini sisi masikini mkashindwa kujibu! Wajanja wote waliingia mitini.. Kwa sababu hata sisi wenyewe hajujui..ndio haya....
Kwanza kabisa swala la Loliondo ni zito sana kama lingezungumzwa kwa staha lakini nimesoma mada nyingi humu na hoja zake zimejengwa kwa UDINI zaidi wala sio swala la rangi au kutetea maslahi ya Taifa..Hii ni akili mbovu kabisa na pengine naweza sema kuwa moja ya Umaskini wetu kwa sababu tumepokea dini hizi na tukawa watumwa wa imani hizi badala ya kuelewa mwongozo wa dini hizi na tukaacha mila na tamaduni zetu.
Wakuu zangu ikiwa swala ni ardhi, ardhi yetu INAUZWA.... hili ndilo somo kubwa na kwa mapana yake. Ni upumbavu mkubwa kukubali uwekezaji kutoka Ulaya lakini siii kutoa Arabuni kwa sababu ya mtazamo wa kidini au maendeleo ya watu na nchi hizo. Kuuza nchi yetu kwa wageni hakuna ongezeko la Elimu wala Utaalam, tutauza kwa fedha, na uroho wa fedha.. hivyo haijalishi kama ni mwarabu au mzungu anayekuja wekeza. Tatizo libakie tunakereka na KUUZWA kwa ardhi yetu.
Binafsi sikufurahia kuuzwa kwa mbuga zetu na nimewahi kulizungumzia hili toka zamani. Athari zake niliziandika wazi nje kabisa ya kumtazam mnunuzi kaa ni mtoto wa mfalme au ana undungu na Rostam.. Hata kama angeuziwa mzungu bado ningepinga kuuzwa kwa mbuga hiyo.
Tatizo kubwa la uuzaji wa mbuga zetu ni kwamba sasa hivi Ulaya na nchi zote zilizoendelea wanafungua Zoo za wanyama wetu kiasi kwamba zinapunguza pato la nchi yetu ktk Utalii. Na kibaya zaidi hawa wawekeshaji wamekuwa Walanguzi middlemen ktk biashara mabyo sisi wenyewe tungeweza kuifanya na kwa pato kubwa zaidi kwani hawa wawekeshaji ndio wao supplier wakubwa wa wanyama wetu ktk hizo Zoo. Ni ujinga mkubwa kuuza mbuga yetu kwa thamani ambayo mauzo ya Tembo wawili tu wanaweza kulipia kodi ya mwaka. na kutokana na NDOVYO TULIVYO tumeshindwa kuuza sisi wenyewe wanyama wetu tunawapa walanguzi.
Ndivyo tunavyofanya kwa mazao yetu iwe karafuu, kahawa, Pamba korosho na kadhalika.. Tunauza malighafi zetu kwa bei mchekea wakati mali hiyo hiyo ingewezekana kabisa kusafirishwa kwa consumer ikiwa finished product at the right price...
ndugu zangu, Wadanganyika wenzangu mweee acheni hizi habari za JK Muislaam na sijui Mkapa Mkristu haziwezi kutujenga hata kidogo..kumbuka tu kila unapoandika kuzungumzia dini nyingine unaipoteza hekima na pengine uumini wako. Unakuwa mtunzi wa Biblia au Kuran kwani maneno yote mnayozungumza hapa hayakuandikwa ndani ya vitabu hivyo..
Jamani mbona naona watu mkifukuza mwizi wa nguo zenu mkiwa uchi?.. yaani hata sielewi kabisa Wadanganyika tumerogwa na nani?.. ndio maana niliuliza kwa nini sisi masikini mkashindwa kujibu! Wajanja wote waliingia mitini.. Kwa sababu hata sisi wenyewe hajujui..ndio haya....
Kwanza kabisa swala la Loliondo ni zito sana kama lingezungumzwa kwa staha lakini nimesoma mada nyingi humu na hoja zake zimejengwa kwa UDINI zaidi wala sio swala la rangi au kutetea maslahi ya Taifa..Hii ni akili mbovu kabisa na pengine naweza sema kuwa moja ya Umaskini wetu kwa sababu tumepokea dini hizi na tukawa watumwa wa imani hizi badala ya kuelewa mwongozo wa dini hizi na tukaacha mila na tamaduni zetu.
Wakuu zangu ikiwa swala ni ardhi, ardhi yetu INAUZWA.... hili ndilo somo kubwa na kwa mapana yake. Ni upumbavu mkubwa kukubali uwekezaji kutoka Ulaya lakini siii kutoa Arabuni kwa sababu ya mtazamo wa kidini au maendeleo ya watu na nchi hizo. Kuuza nchi yetu kwa wageni hakuna ongezeko la Elimu wala Utaalam, tutauza kwa fedha, na uroho wa fedha.. hivyo haijalishi kama ni mwarabu au mzungu anayekuja wekeza. Tatizo libakie tunakereka na KUUZWA kwa ardhi yetu.
Binafsi sikufurahia kuuzwa kwa mbuga zetu na nimewahi kulizungumzia hili toka zamani. Athari zake niliziandika wazi nje kabisa ya kumtazam mnunuzi kaa ni mtoto wa mfalme au ana undungu na Rostam.. Hata kama angeuziwa mzungu bado ningepinga kuuzwa kwa mbuga hiyo.
Tatizo kubwa la uuzaji wa mbuga zetu ni kwamba sasa hivi Ulaya na nchi zote zilizoendelea wanafungua Zoo za wanyama wetu kiasi kwamba zinapunguza pato la nchi yetu ktk Utalii. Na kibaya zaidi hawa wawekeshaji wamekuwa Walanguzi middlemen ktk biashara mabyo sisi wenyewe tungeweza kuifanya na kwa pato kubwa zaidi kwani hawa wawekeshaji ndio wao supplier wakubwa wa wanyama wetu ktk hizo Zoo. Ni ujinga mkubwa kuuza mbuga yetu kwa thamani ambayo mauzo ya Tembo wawili tu wanaweza kulipia kodi ya mwaka. na kutokana na NDOVYO TULIVYO tumeshindwa kuuza sisi wenyewe wanyama wetu tunawapa walanguzi.
Ndivyo tunavyofanya kwa mazao yetu iwe karafuu, kahawa, Pamba korosho na kadhalika.. Tunauza malighafi zetu kwa bei mchekea wakati mali hiyo hiyo ingewezekana kabisa kusafirishwa kwa consumer ikiwa finished product at the right price...
ndugu zangu, Wadanganyika wenzangu mweee acheni hizi habari za JK Muislaam na sijui Mkapa Mkristu haziwezi kutujenga hata kidogo..kumbuka tu kila unapoandika kuzungumzia dini nyingine unaipoteza hekima na pengine uumini wako. Unakuwa mtunzi wa Biblia au Kuran kwani maneno yote mnayozungumza hapa hayakuandikwa ndani ya vitabu hivyo..