Weka hapa clip iliyosema 28. Utoto katika majeraha ya binadamu hauvumiliwi hata kidogo.Zilimpata 16 na zikaja kuondokewa zaidi ya 28 mwilini mwake kule Nairobi kama mnakumbuka mlisema hivyo.
Uongo unahitaji kumbukumbu fasaha sana, haya mwenye akili nyingi hadi kushindwa idadi mbili tofauti hongera kwa kuwa na kichwa ombwe
ZAMANI, Tulikuwaga na UJINGA mmoja hivi wa kusema " SAA YANGU NDIO IKO SAHIHI INAENDA SAWA NA RADIO" Bila kujua kuwa kule kwenye radio ni mtu ana saa kama yako anaangalia hahahaaaa.
UJINGA MWINGINE ni huu wa kuja humu na HOJA za GOOGLE.
Hivi unadhani hivyo vitu huko GOOGLE vimewekwa na YESU?? CIA wafeli critical mission wakuwekee wewe google? wanakuwekea upuuzi wanaojua hauna effect kwao..Vinginevyo uwe ni umbea tu wa vyombo vya habari.
Hahusiki kwa sababu mjeruhiwa mwenyewe kama Principal witness anasema hahusiki huyo dereva kwa nini wewe ukatae mpaka kufa kama vile wewe ndio mpangaji Wa njama hizo and you have got evidence to prove what you are saying?Hizo hazinisumbui,ukisema walinzi na waliotoa camera wanahusika siwez kataa,lkn ukisema dereva hausiki ntakataa hadi kufa.
Pale unapoamua kubishana na reliable sources kwa sababu ya rangi ya chama, stupid ,jinga kabisa.ZAMANI, Tulikuwaga na UJINGA mmoja hivi wa kusema " SAA YANGU NDIO IKO SAHIHI INAENDA SAWA NA RADIO" Bila kujua kuwa kule kwenye radio ni mtu ana saa kama yako anaangalia hahahaaaa.
UJINGA MWINGINE ni huu wa kuja humu na HOJA za GOOGLE.
Hivi unadhani hivyo vitu huko GOOGLE vimewekwa na YESU?? CIA wafeli critical mission wakuwekee wewe google? wanakuwekea upuuzi wanaojua hauna effect kwao..Vinginevyo uwe ni umbea tu wa vyombo vya habari.
Nilikuwa nakuheshimu kama GT ila sasa nakupuuza.Angekuwa hausiki angekwenda kuhojiwa, madawa aliyopewa Lissu kusinzia ili afanyiwe hayo, risasi zinapiga kushoto anaumia kulia, kiti cha lissu kinalazwa alale dereva hapati hata jeraha,
Camera zinatolewa kwa uchunguzi watu wanadhani ni serikali imezitoa kuficha ukweli,
Suala la Lissu Mbowe anahusika sana sema hamuelewi n.a. Lissu ni mjanja mno anawasiliana na Magufuli ili akipona ndo amwage cheche, mpaka sasa Mbowe hajatulia anatapa tapa kupoteza ushahid wote , lakin Sami ya Mtu ni nzito sana haimwagiki tu,
Leo hii waliopaswa kulipwa ujira wa kazi hiyo wananyongwa tu kupoteza ushahidi, kuna mengi watu wanajua ila wanaogopaga tu kutoa ushahidi,
Britannica
hupendi kabisa kupata habari hasi,utaishije duniani bila changamoto kamanda?yaani kila asiekubaliana nawe kafeliHii umefeli sana mkuu .
Kumbe tatizo ni kuona huo ujinga wako wa zamani unadhani wote ni wajinga wa hivyo. ww baki na ujinga wako lakini hili la Lissu wala hatuhitaji mifano yoyote maana hii issue iko wazi tu. Unaweza kukesha hapa na kutoa mifano na utetezi wako upendavyo kwani ni haki yako. Lakini kwa hili la Lissu hatupepesi macho.
Angekuwa hausiki angekwenda kuhojiwa, madawa aliyopewa Lissu kusinzia ili afanyiwe hayo, risasi zinapiga kushoto anaumia kulia, kiti cha lissu kinalazwa alale dereva hapati hata jeraha,
Camera zinatolewa kwa uchunguzi watu wanadhani ni serikali imezitoa kuficha ukweli,
Suala la Lissu Mbowe anahusika sana sema hamuelewi n.a. Lissu ni mjanja mno anawasiliana na Magufuli ili akipona ndo amwage cheche, mpaka sasa Mbowe hajatulia anatapa tapa kupoteza ushahid wote , lakin Sami ya Mtu ni nzito sana haimwagiki tu,
Leo hii waliopaswa kulipwa ujira wa kazi hiyo wananyongwa tu kupoteza ushahidi, kuna mengi watu wanajua ila wanaogopaga tu kutoa ushahidi,
Britannica
Pale unapoamua kubishana na reliable sources kwa sababu ya rangi ya chama, stupid ,jinga kabisa.
Punguza jazba kaka huenda umekereka ila jaribu kuvumilia na kupotezea (Puuza tu)Kumbe mayala punga du
Padri aliyeuliwa Zanzibar mbona walikuja CIA,FBI na Scotland yard..kwa nini kwa Lissu isiwe hivyoNdo tatizo Kubwa sana la BAVICHA au akili njaa. Kila siku mnasema kuna uimra. And sad to say, you are doing the same. His questions are logical, toka dar unafuatiliwa upo Tu. Please BAVICHA sina chama But reasoning yenu huwa inanibore sana. Nakereka Kwa kuwa maisha yangu napenda yaongozwe na logic that’s why nilimpendaga sana dr Slaa. Hitimisho lake sijaafikiana naye kuwa tunahitaji wa Chunguza Wa nje kwenye nchi huru. Lakini ni hoja yake sipaswi kumdharau. Wake up and be reasonable and consistent in your way of living and thinking. Only the spoon knows the pot’s sorrows and every bed has lice.
Hata kama wangemuhoji huko Nairobi au Ubeligiji angesema hayo hayo ambayo amekuwa akiyasema kwenye social media na vyombo vingine vya habari kila mara ambayo hayana msaada wo wote wa kuwanasa hao assailant wake.Kumbuka wangekuwa na nia wasingeshindwa kwenda kuwahoji hospitalI ya Nairobi.
Kuna mambo mengi baada na kabla ya tukio yaliyopelekea mshukiwa wa kwanza ikiwa system mkuu....Pole sana Kaka yangu Kitasnia na Kamarada ( Comrade ) Ndugu Pascal Mayalla kwani sijapitia ' pages ' zote ile kwa nilizozipitia niweza Kugundua tatizo Kubwa lililopo katika Kizazi cha Watanzania kwa sasa. Watu wanaongozwa na ' mihemko ' ya Kisiasa pasipo kuangalia Uhalisia wa jambo na hata hao wanaolilazimisha ili liaminike hivyo ukisikiliza tu ' arguments ' zao haraka sana utakubaliana ule Utafiti kuwa Elimu nzima ya Tanzania kwa miaka ya hivi karibuni ipo katika ICU.
Pole pia kwa Kushambuliwa Wewe kama Wewe kimaelezo na baadhi ya Wachangiaji wetu wale wale ambao Mimi siku hizi nawaita ' Wachangiaji Oya Oya ' ambao Wao kufauta mkumbo na kuamini Upuuzi ndiyo jadi yao huku wakiaminishana huko katika Vijiwe vyao.
Nilishasema katika Uzi mmoja ambao niliwahi Kuuandika hapa hapa Jamvini na leo tena narudia lile lile tena nikiwa najiamini kabisa kwani huhitaji kuwa na Elimu kubwa sana kuweza kujua mchezo mzima ulivyo na nini kinaendelea. Nitakataa mpaka siku ya mwisho kama Tundu Lissu alishambuliwa na Watu wa ' System ' wa Serikalini ( Idara Nyeti ) kama ambavyo humu mitaani na uswahil tunavyoaminishana.
Hapa wala tusidanganyane kama kweli ' System ' ingekuwa inamtaka na imemdhamiria Tundu Lissu sidhani hata kama angeweza na kuthubutu kuwakwepa au kushindana nao. System zote au nyingi zilizoko duniani huwa hazitumii na haziwezi kutumia ile mbinu ya Kipumbavu iliyotumika kule Dodoma. Hivi Tundu Lissu ana ' ubavu ' kweli wa kukwepa ' assassination trap ' kama ' Wanamume ' wamemdhamiria kweli?
Yaani kwa jinsi leo hii ' Teknolojia ' za masuala ya Kijasusi zilivyokuwa na mbinu mpya zilizopo ambazo hata hazihitaji nguvu Kubwa kutumika inawezekana kweli ' System ' ikatuma Watu vile halafu Watu ambao ni ' highly trained and qualified ' kabisa wakarusha risasi 38 halafu bado Mtu awe hai? Jamani hebu muda mwingine tuweke hizi Chuki zetu za Kisiasa pembeni na tujikite zaidi katika Uhalisia wa jambo husika.
Sina ufahamu kihivyo wa masuala haya ( nikimaanisha Kitaaluma na Kiutendaji wake ) kama walivyo wengine ila kwa maarifa machache sana niliyonayo ni kwamba sehemu yoyote ile na hasa kwa tukio zima ambalo limemtokea Mtani wangu wa Kinyiramba Mheshimiwa Mbunge Tundu Lissu kamwe hata kama liwe limekuwa ' coordinated ' na ' anonymous Fellas ' ila kwa 99% lazima pia kutakuwa na Watu wa karibu na Mlengwa / Mhusika wametumika katika kulifanikisha. Mifano ya hii iko mingi sana karibia Watu wengi ambao walikuwa ' assassinated ' ilikuja kugundulika baadae kwamba hata Watu wao wa karibu nao walihusika either directly or indirectly sasa nashangaa kwa hili la Tundu Lissu Watu wake wa karibu ama Kifamilia au Kichama wakigusiwa tu katika kutengeneza mtiririko mzima wa Kiushahidi na Kiuhalisia Watu wenye Mahaba na Siasa za ' Oya Oya ' wanaanza Kuhamaki, Kununa na Kukasirika huku wakidhani kwamba kila ama anayewapinga au anayelihoji hili Kiudadisi kabisa basi ni ' Pro Government ' na ni ' Anti Opposition '. Siasa za Kitanzania zimetufikisha pabaya mno ambapo hazitaki kuruhusu ' Fact Finding ' badala yake zimejikita katika ' rumors ' na ' double standards ' pekee.
Nina uhakika kabisa tena wa 100% kwamba hili jambo au Sakata la Tundu Lissu likifuatiliwa Kitaalam kama siyo Kiuweledi kabisa huenda kuna Watu wataficha Nyuso zao kwa aibu na hawatokuja Kuamini kile ambacho Kimejulikana na si ajabu kuna Watu wanaweza hata wakachinjana hasa kwa hasira za Kupotezeana muda na Kufitiana wao kwa wao. Ni suala la muda tu najua kadri siku zinavyoenda mbele ipo siku ukweli wa haki utajulikana na labda nimwombe tu Tundu Lissu kwamba siku ambayo labda atakuja Kuujua ukweli wa Yeye leo hii Kupewa Kilema kile asisite tena kuandika Waraka wake kutuomba radhi Sisi ambao tumefululiza Kutukanwa juu ya hili sakata lake.
Siku zote nasema na nitasema kwamba Wahenga waliposema KIKULACHO KI NGUONI MWAKO wala hawakukosea!
Akhsanteni na nawatakieni pia uchangiaji mwema wa huu Uzi wa Kaka yangu Mpendwa Kitasnia na Amani itawale Kwenu.
Paskali Mayala, katika hili na kwa mujibu wa yale unayoyaita maswali juu ya dereva wa Lissu huna hoja yoyote kwani maswali yako yote ni irrelevant. Hata hivyo bandiko la MH Lissu limegusia mengi hasa hali ya ulinzi kwenye makazi yao siku ya tukio, ongelea hilo kwani ndo la maana zaidi, Pia, vitake vyombo vya mabavu vifanye uchunguzi na kumhoji mtu yoyote vitakayedhani atasaidia kupata taarifa muhimu kuhusiana na tukio hili baya. Otherwise, umefeli broHili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.
Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.
Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
Huko nyuma niliisha wahi kuzungumza haya kuhusu dereva wa Lissu.
- Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
- The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
- Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
- Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
- Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
- Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
- Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
- Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
- Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
- Maswali yataendelea
Mpaka sasa the situation ya shambulio la Lissu as it is, limefanywa na watu wasiojulikana. Serikali yetu imeshindwa kuwabaini, lakini sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kama nilivyosema hapa.
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.
Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums
Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.
Pole.
P.
Rejea
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums
Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?! - JamiiForums
Tundu Lissu: Polisi wa Tanzania hawana mamlaka ya kunihoji nikiwa Kenya au kwingineko nje ya mipaka ya Tanzania - JamiiForums
P.