Shamba la ukubwa wa ekari
200 linauzwa lipo mugumu serengeti linapakana na hifadh ya
serengeti.eneo hilo inafaa kwa ujenzi wa hotel ya kitalii shule napia
hata kwa kulima pia
Hahaha looh hifadhi inauzwa huku
hahaha looh hifadhi inauzwa huku
hivi magufuli hahusiki na kulinda wanyama?
Linauzwa kwa bei gani? Je lina document gani za umiliki? Wanyama wanaingia katika eneo? Kuna mito au mabwawa ndani yake?
Shamba lina document zote eka moja milion 6,zimebaki eka 62,