Shamba linauzwa Kingorwila

TechTino

Member
Oct 16, 2016
71
25
LIPO SHAMBA LENYE HEKALI 100 LINAUZA KWA SH 25 PIA YAPO MASHAMBA MENGINE AMBAYO YANAUZWA HATA KWA HEKALI 1(0744990530) UMBALI NI KM 15 KUTOKA MJINI
b2c1f73f23a3ab75e0a0850422499c54.jpg
b631edc50074e7b3ca3de0e2611ace38.jpg
e755d16debd75f0bd9902426e7525cdc.jpg
IMG_20170610_114758.jpg
 
hii tabia ya kuwauzia watu mashamba kipindi cha kiangazi hatari sana sasa sehemu mkondo wa maji lakin mtu anauziwa wale wa kihonda kwa bwana jela najua tabu mnayoipata atakuja mtu ana kwambia nina eneo mbuyuni nauza milion 5 we ukaona umepata ngoja msimu wa mvua utalia sana tuwe wawazi madalali na wauzaji wengi wana nunu sehemu siyo sahihi kwa uroo wa kujenga
 
hii tabia ya kuwauzia watu mashamba kipindi cha kiangazi hatari sana sasa sehemu mkondo wa maji lakin mtu anauziwa wale wa kihonda kwa bwana jela najua tabu mnayoipata atakuja mtu ana kwambia nina eneo mbuyuni nauza milion 5 we ukaona umepata ngoja msimu wa mvua utalia sana tuwe wawazi madalali na wauzaji wengi wana nunu sehemu siyo sahihi kwa uroo wa kujenga
kaka kama unahitaji unaweza kuja liona mwenyewe na huo ni mto ,pia kuna umbali ambao mtu na shamba lazima uzingatiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom