SHAMBA LINAUZWA ''Golden Opportunity""

Kitomai

JF-Expert Member
May 21, 2009
1,060
281

Shamba lenye ukubwa wa ekari kumi (10) linauzwa. Shamba hilo lipo katika kijiji cha Kerege Matumbi kijiji cha pili toka Bunju, kuelekea njia iendayo katika kijiji cha kilemela. Ni kilomita moja toka katika barabara ya lami iendayo majao makuu ya wilaya ya Bagamoyo. Ni karibu na kituo cha uwekezaji cha EPZA kunakoanza kujengwa viwanda sasa. Kuna barabara nzuri na bomba la maji ya Dawasco limepita jirani. Lina mimea michache na miti ya asili kama vile Mipingo n.k Shamba hili limegawanywa katika maeneo madogomadogo kadiri ya mahitaji ya mtu. Barabara za kuingilia kila eneo kwa gari zipo. Bei kuanzia 2mil kwa mita 20 kwa 20 mpaka 7mil kwa eka moja. Kwa anayehitaji eneo lote au sehemu ya shamba hilo awasiliane name kupitia aliyekupa maelekezo.
0717114409/0755312233/0784225000
 

Attachments

  • IMG_0362.JPG
    IMG_0362.JPG
    73.8 KB · Views: 61
  • IMG_0363.JPG
    IMG_0363.JPG
    59 KB · Views: 61
  • IMG_0366.JPG
    IMG_0366.JPG
    76 KB · Views: 57
  • IMG_0367.JPG
    IMG_0367.JPG
    62.5 KB · Views: 53
  • IMG_0361.JPG
    IMG_0361.JPG
    84.4 KB · Views: 56
Sasa mambo ya shamba na hizo 20 x 20 zao wapi na wapi?
Be specific, shamba au viwanja?
Vimepimwa?
Havina udhulumishi?
 
Ondoa shaka. Havina tatizo. Hata hivyo usitoe pesa mpaka uridhike. kuna jamaa wamesoma haya matangazo wamepiga simu ya appointment wakavione jiunge nao.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom