Shamba lenye ukubwa wa hekari 2 lililopo Bunju B linauzwa milioni 28.Shamba lipo karibu na wahanga wa mafuriko na ni kati ya dakika 10-15 kutoka zilipo nyumba za wahanga,shamba ni tambarare na linafaa kujenga nyumba.Udalali unaruhusiwa na bei pia ni makubaliano.