dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,188
- 2,219
- Thread starter
- #1,721
Poa mkuu ngoja nimtafuteKuna yule mdau wa 10m, mcheki myajenge
Poa mkuu ngoja nimtafuteKuna yule mdau wa 10m, mcheki myajenge
Sema kazi kuisubr ndg na uhitaji nao umepamba motoSi kuna fidia? Subiri ulipwe fidia
Ndo zingeuzwa milioni 3 tuIla hizi ni heka kumi (10) mkuu
Na bado. Utakuja kuligawa bure Hilo shambaNimepunguza bei wadau
DuhNa bado. Utakuja kuligawa bure Hilo shamba
Duh! OK sawa mkuu na asante kwa maoni yakoNdo zingeuzwa milioni 3 tu
Mi nimesaidia kukalikuleti tu pendekezo la Extrovert la acre moja kwa laki 3😄Duh! OK sawa mkuu na asante kwa maoni yako
Kwahiyo wewe unauza hiyo 290 milioni afu yeye aje kulipwa fidia bei gani?Sema kazi kuisubr ndg na uhitaji nao umepamba moto
Hii inabidi kufuatilia mamlaka husika..maana fidia inategemeana na bei ya soko ya wakati huoKwahiyo wewe unauza hiyo 290 milioni afu yeye aje kulipwa fidia bei gani?
Kwann alie mkuu? Hebu fafanuaFursa Japo Atalia Mtu Sasa Hivi
Mkuu eneo lipo bagamoyo mjini na pia ni maeneo ya jirani na bahari inapojengwa bandari..kwahyo thamani ya maeneo haya ni kubwa..ila ukitaka kujua zaidi ni rahis fika ofc za wizara ya ardhi bagamoyo na uliza bei elekezi ya kiwanja/shamba maeneo hayoserikali wanaweza kukupa sh 40 hadi 50 million
Serikali wakija kuthaminisha watakupa 10000 kwa sq meter..Siunajua eneo lako halina kitu chenye thamaniMkuu eneo lipo bagamoyo mjini na pia ni maeneo ya jirani ma bahari inapojengwa bandari..kwahyo thamani ya maeneo haya ni kubwa..ila ukitaka kujua zaidi ni rahis fika ofc za wizara bagamoyo na uliza bei elekezi ya kiwanja/shamba maeneo hayo
Thamani ni kubwa ila sio kwa 290M... Uza atleast 30M ita make senseMkuu eneo lipo bagamoyo mjini na pia ni maeneo ya jirani na bahari inapojengwa bandari..kwahyo thamani ya maeneo haya ni kubwa..ila ukitaka kujua zaidi ni rahis fika ofc za wizara ya ardhi bagamoyo na uliza bei elekezi ya kiwanja/shamba maeneo hayo
Mkuu maeneo haya Serikali imesema watu wasijenge makazi maana ni eneo la mradi ndio maana unaona liko mjini ila hakuna nyumba.Thamani ni kubwa ila sio kwa 290M... Uza atleast 30M ita make sense