Wernery G Kapinga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 372
- 119
Heloooo.....! Kwa wakazi wa Makambako au Njombe, nahitaji kununua Shamba walao Ekari Moja kwa 700,000/= TSh.
Vigezo;
Walao liwe jirani na chanzo Cha maji halafu lisiwe mbali Sana na makazi ya watu. Yaani Kuwepo na uhakika wa Usafiri.
Mawasiliano; 0621538913
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Vigezo;
Walao liwe jirani na chanzo Cha maji halafu lisiwe mbali Sana na makazi ya watu. Yaani Kuwepo na uhakika wa Usafiri.
Mawasiliano; 0621538913
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app