Shamba Lililopimwa Lipo Bagamoyo

Chebbyy

Member
May 21, 2017
19
6
Shamba lililopimwa lipo bagamoyo, ukivuka daraja linalotenganisha bunju na bagamoyo upande wa kushoto uelekeo wa bagamoyo, umbali ni kilometa 7 kutoka bagamoyo road kwenda shambani yaani kutokea baobab sekondari hadi shambani.
Shamba lenyewe lipo kata ya saangani sehemu inaitwa kidimu, shamba lina jumla ya hekari 8 zilizopimwa zote, na linauzwa kwa hekari.
Hekari 1 bei 10 million maongezi yapo kidogo.

9108e85f6711937d6299639d40ad3a86.jpg

4a15f72ee4a11f439a31e4d2cb394c69.jpg

feab53f4eae0f18e009c95fdb53be05e.jpg

fef6bbb9754bc313b9d0e53449623070.jpg

43e6eac3b73a061483a6a5fbf2e999f6.jpg

7f825eb29f4aa88bffa9ace4654e3925.jpg

27228023ea8a38a1012eb2ba7adf26a8.jpg

459e3d1d99cad6a8971259470a04e73b.jpg
 
umenena vema, nilikuwa naangalia bei natamani hapo ki heka kimoja tu nisaidie
 
Kaka mbona kama kuna plan/michoro isiyoendana na shamba hilo yenye kuonyesha kuwa shamba lina plan za matumizi mengine tayari?
hilo na mimi limenipa mawazo kweli. Kwa eneo ulilotaja nadhani kama utafikia 3m tuwasiliane
 
kuna huduma gani za kijamii maeneo hayo,,,,umeme na maji vipoo,,,nataka hapo heka moja,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom