Plot4Sale Shamba la Korosho (Ekari 13) linauzwa-Manyoni

noel oga

JF-Expert Member
Oct 20, 2015
263
204
Ndugu zangu habari, mimi nipo mbele yenu leo kuliuza shamba zuri la mikorosho lililopo wilaya ya Manyoni lenye ukubwa wa ekari 13.

Shamba hili lipo katika mradi mkubwa sana wa korosho hapa manyoni ambapo wageni mbalimbali wa kitaifa akiwepo mama yetu Makamu mkuu wa rais mama Samia Suluhu Hassan aliwahi kutembelea mradi huu wa korosho na kujionea uzur wa mashamb haya hapa manyoni.

Shamba hili lina miche yake kama picha inavyojieleza hapo chini ni shamba zuri ambalo hutojutia masmuzi yako. Mwingine atajiuliza ikiwa shamba hili ni zuri basi kwanini niliuze. Naomba kusema matatizo hayabishi hodi ili yafunguliwe bali huingia kama yalivyo.

Bei ya shamb hili ni sawa na bure mtu yeyote anayejua utajiri wa korosho bas hatoona shida kunikabidhi mil.17 kwa roho moja nimuachie shamb hili zuri lenye miche bora na mizuri kwa kubeba korosho.

Basi ikiwa uko tayari tafadhar nipigie kwa namba hizi 0766-205600.
 
Ndugu zangu habari,mimi nipo mbele yenu leo kuliuza shamba zuri la mikorosho lililopo wilaya ya manyoni lenye ukubwa wa ekari 13.

Shamba hili lipo katika mradi mkubwa sana wa korosho hapa Manyoni ambapo wageni mbalimbali wa kitaifa akiwepo mama yetu Makamu mkuu wa rais mama Samia Suluhu Hassan aliwahi kutembelea mradi huu wa korosho na kujionea uzur wa mashamba haya hapa Manyoni.

Shamba hili lina miche yake kama picha inavyojieleza hapo chini ni shamba zuri ambalo hutojutia maamuzi yako.

Mwingine atajiuliza ikiwa shamba hili ni zuri basi kwanini niliuze.Naomba kusema matatizo hayabishi hodi ili yafunguliwe bali huingia kama yalivyo.

Bei ya shamb hili ni sawa na bure mtu yeyote anayejua utajiri wa korosho bas hatoona shida kunikabidhi mil.17 kwa roho moja nimuachie shamb hili zuri lenye miche bora na mizuri kwa kubeba korodho.

Basi ikiwa uko tayari tafadhali nipigie kwa namba hizi
0766-205600

IMG_6679.jpg

IMG_6678.jpg

IMG_6681.jpg

IMG_6680.jpg
 
Kwamimi ambaye ni mgeni na hilo zao ,je waweza nipa mrejesho wa kipato cha mwaka unachoweza kukipata mtu kutokana na ukubwa huo wa shamba endapo soko lake likiwa either zuri au vice versa yake ! nisaidie tu nipate picha ili nimshirikishe rafiki yangu kesho mkuu
Ndugu zangu habari,mimi nipo mbele yenu leo kuliuza shamba zuri la mikorosho lililopo wilaya ya manyoni lenye ukubwa wa ekari 13...
 
Kuna umbali gani kutoka barabara kuu?

Hili shamba lipo umbali wa km 5 kutoka barabara kuu ya mwanza lakin pia tayar kuna miundo mbinu ikiwepo barabara nzuri zilizoandaliwa na halmashauri kupitisha lories wakati wa mavuno
 
Aise kwanza nikupe pole kama ulivyosema kwa matatizo yaliyokufikisha kutaka kufanya maamuzi haya..

Ninaumia kwakuwa naijua korosho, nipo katika sector ya korosho na mimi ni mkulima wa korosho. Hiyo bei unayouza ndugu yangu kwa wasiojua wanaweza sema ni kubwa mno lakini ushauri wangu kwako ni utafute namna nyingine yeyote kutatua tatizo lako katika namna ambayo itakufanya ubaki na shamba lako..

Hiyo 17 million ni pesa ambayo utakuja ipata katika msimu mmoja tu..

Fikiria mara 800 kabla ya kufanya maamuzi hayo.
Pole sana...
 
Aise kwanza nikupe pole kama ulivyosema kwa matatizo yaliyokufikisha kutaka kufanya maamuzi haya...

ahsante kaka nimejarib kupata hii pesa kwa kila njia nimeshindwa samani nayoiona ni hili shamba.Hata mimi sipend kufanya hiv lakini kwa shida niliyonayo n muhimu sana
 
vizur kabisa tena tunda lenye ubora
Hamna kitu kama hicho, Dodoma, Singida mti wa mkorosho unaota vizuri tu na kustawi sema hauto korosho, ama ukitoa chache sanaaa, unalima heka 10 mikoa hio mwenzako analima heka moja pwani, lindi anavuna mara 100 yako..... Investments yeyote lazima iwe reasonably.... Huwezi kuwa mvuvi wa pweza ukaenda kuvua ziwa Tanganyika
 
Aise kwanza nikupe pole kama ulivyosema kwa matatizo yaliyokufikisha kutaka kufanya maamuzi haya..

Ninaumia kwakuwa naijua korosho, nipo katika sector ya korosho na mimi ni mkulima wa korosho. Hiyo bei unayouza ndugu yangu kwa wasiojua wanaweza sema ni kubwa mno lakini ushauri wangu kwako ni utafute namna nyingine yeyote kutatua tatizo lako katika namna ambayo itakufanya ubaki na shamba lako..

Hiyo 17 million ni pesa ambayo utakuja ipata katika msimu mmoja tu..

Fikiria mara 800 kabla ya kufanya maamuzi hayo.
Pole sana...
Sio kwa Manyoni.... Hii nakataaa ingekua pwano, lindi, mtwara hata mwenyewe asingeliuza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom