Shamba la heka 16 linauzwa lipo kigamboni

Akiri

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
1,445
211
Shamba la hekari 16 linauzwa​

  • lipo wilaya ya Tameke Dar es Salaam
  • Amani gomvu ni mwendo wa 32km toka feri ya magogoni
  • shamba lipo tambalale
  • gari linafika mpaka shambani
  • umeme upo umbali wa 1.km maji bado unaweza chimba kisima
  • eneo linafaa kwa matumizi ya elimu . dini. viwanda , makazi ama kuedelea kuwa shamba ktk ubora na
  • kila heka inauzwa 4m ,
kwa muhitaji ya shamba hili na mengine mengi tuwasiliane 0755 099 291 & 0657 145555
au ni pm au thomasnelson564@yahoo.com . info@havilla.net
 
mchoro wa shamba hili upo tayari , watu wa upimaji pale Temeke manispaa wanao , hivyo inarahisisha sana upimaji wa eneo, bei inazungumzika wakuu,
 
Eneo gomvu kwa bei hiyo???? Kalaghabaoh......kweli nimeamini ule usemi wa kwamba " information is power"

Less informed dudes are most likely to fall into your trap! All the best superman Akiri=akili kichwani.
 
Eneo gomvu kwa bei hiyo???? Kalaghabaoh......kweli nimeamini ule usemi wa kwamba " information is power"

Less informed dudes are most likely to fall into your trap! All the best superman Akiri=akili kichwani.
we una akili timamu ?
 
asante wakuu ! siku za shamba zinahesabika siku si nyingi litachukuliwa lkn mlango bado wazi karibu sana tuwasiliane
 
Hili shamba limerudishwa tena sokoni mnunuzi ameshindwa kulipia kama alivyoahidi , shamba bado linauzwa wadau karibuni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom