MwanaMagongo
Member
- Aug 15, 2011
- 74
- 43
niliisha uza, ila kando yake nina 1.5 acre ina green house na mpunga, kisima kwa 9m na mbele mita 600 kuelekea baharini nina ekari 4, zina nyumba ,mabanda 2 ya ufugaji, kisima na tank la maji bei mil 40 na beach kabisa acre 6(hazijalimwa) kwa mil 78Bado lipo ?
hapana, ni biashara ya familiaWewe ni DALALI au?
Hongera kuwa na familia yenye mahekari mengi kiasi hicho!!
Pokea hongera yangu boss,wewe unadharau ekari 11 Kigamboni,mm familia yangu haina hizo ekari mahali popote duniani.Eka 11 ndo zakutoa hongera?jirani yetu kina Chaurembo wana ekari 300 hapo hapo jirani