Shamba Kigamboni Puna

MwanaMagongo

Member
Aug 15, 2011
74
43
Shamba la mipapai ekari 2, miundo mbinu ya umwagiliaji kisima cha mita 90, tank la maji ,Dripu za umwagiliaji, pump, kibanda cha watumishi/stoo. liko barabarani kabisa ,bei Tsh 16,000,000
 

Attachments

  • IMG-20180315-WA0078-scale-2.jpg
    IMG-20180315-WA0078-scale-2.jpg
    7 KB · Views: 78
  • VID-20180315-WA0082.mp4
    1.7 MB · Views: 19
Bado lipo ?
niliisha uza, ila kando yake nina 1.5 acre ina green house na mpunga, kisima kwa 9m na mbele mita 600 kuelekea baharini nina ekari 4, zina nyumba ,mabanda 2 ya ufugaji, kisima na tank la maji bei mil 40 na beach kabisa acre 6(hazijalimwa) kwa mil 78
 
Eka 11 ndo zakutoa hongera?jirani yetu kina Chaurembo wana ekari 300 hapo hapo jirani
Pokea hongera yangu boss,wewe unadharau ekari 11 Kigamboni,mm familia yangu haina hizo ekari mahali popote duniani.
Kwanini nisikupe hongera mkuu!!?))
 
Back
Top Bottom