Shamba ekari 30 linauzwa kwa bei ya kutupa,wami dakawa

Mijicho

JF-Expert Member
Jan 20, 2009
280
212
Habari

ukubwa:hekari 30,linauzwa lote kwa pamoja na sio vipande
eneo:wami dakawa,karibu kabisa na ranch ya mzee mwinyi
faida:lipo pembeni ya mto wami,na linafaa kwa mpunga,na pia mboga mboga kwa msimu wa kiangazi kwa kumwagilia
umbali kutoka barabarabi ya lami:around 7 kms
mazingira ya barabara:unafika mpaka shambani na gari
rutuba ya shamba:halihitaji mbolea na halijalimwa misimu miwili
bei:10,500,000million(350,000 kwa heka) maelewano yapo
mawasiliano:0719256666

Serious buyers only

PM or call me kwa swali lolote
 
Back
Top Bottom