Plot4Sale Shamba Ekari 25 masasi Mtwara Linauzwa mil 7

Kahtan Ahmed

JF-Expert Member
Aug 24, 2011
755
468
Habari wana Jf ninashamba langu mwenyewe binafsi sio dalali ninaliuza.
Mahali lilipo shamba ni mkoa wa mtwara, wilaya ya masasi katika vijiji vya mikangaula.
Ukubwa wa eneo ni ekari 25.
Bei ni million 7.
Umiliki wa shamba ni la kwangu mwenyewe nimeuziwa mbele ya mwenyekiti wa serikali za mitaa pamoja na mashahidi ambao ni wazee wa kijiji hicho.
Pembeni mwa shamba hilo kuna mto wa msimu umepita hapo.
shamba kwa kiufupi halijawahi kulimwa ila niliwahi kulisafisha sio pori.
ni shamba zuri kwa kilimo cha ufuta, karanga na nafaka nyingine ila maneo mengi wamepanda mikorosho maeneo hayo.
ikiwa unahitaji kujua taarifa zaidi wasiliana na mm kwa namba 0712 212 220
 
Ni umbali gani kutoka Dar na pia kutoka Mtwara mjini hadi shamba lilipo? Barabara inapitika kipindi cha mvua au mchanga?
yani ilivyo masasi na mtwara mjini ni kama mikoa miwili tofauti kwa hiyo naweza kusema kua ni safari ndefu kutoka masasi mpaka mtwara mana kutoka masasi mpaka lindi ni karibu kuliko mtwara mpaka masasi
 
wengi mnanipigia kutaka kukatiwa kipande jamani mm nauza lote kwa pamoja sikati
 
weka maelezo ya kutosha shamba lipoje? ni msitu au plain au lina mikorosho n.k.
alafu Mikangaula ipo wilaya ya Nanyumbu sio Masasi.
Nipo masasi weka datails vizuri nije nilione shamba.
 
weka maelezo ya kutosha shamba lipoje? ni msitu au plain au lina mikorosho n.k.
alafu Mikangaula ipo wilaya ya Nanyumbu sio Masasi.
Nipo masasi weka datails vizuri nije nilione shamba.
mkuu nina kiwanja nauza kpo jida kanisa la sabato kama unahtaji tuchonge biashara bei 8mln ni mita 30 kwa 15
 
mbona bei ghali mkuu.
30 kwa 15 kwa bei hiyo upo juu sana
mkuu eneo nililo kutajia si unalijua?kiwanja kpo karibu na kansa la sabato au nalino guest house kama umevutiwa nieleze nkupe mawasiliano pia eneo lenyewe pamejengwa nyumba ila haikuisha so nauza jumla
 
mkuu eneo nililo kutajia si unalijua?kiwanja kpo karibu na kansa la sabato au nalino guest house kama umevutiwa nieleze nkupe mawasiliano pia eneo lenyewe pamejengwa nyumba ila haikuisha so nauza jumla
Napajua coz mm mwenyewe nipo Jida.
Ila kwa sasa target yang ni kupata shamba kwanza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom