Shakira Mdogo wa kiume

ZionTZ

JF-Expert Member
Oct 6, 2009
1,283
538
Nani aliesema shakira ndo bingwa wa kusakata mauno in ze weldi?? tazama vitu anavyofanya dogo huyu, Ray C kafunikwa kabisaa hivi akikua itakuaje?? shakira cha mtoto hahahahahahhah

 
Last edited by a moderator:
Haka katoto kameniduwaza kwa kweli. Sina hamu. Kweli Mungu anagawa vipaji. Yaani anavokatika tena kwa kufuta mapigo. Duh! Akikua huyu utakuwa moto.
 
na pampasi zake lakini haelewi kitu. du si mchezo.ulaya hawahangaiki kumpeleka shule.
 
uh hii noma,afu kulikua na dogo mmoja hapo msasani club kwenye ngwasuma kila jumapili nae alikua anaondoka sebene ile mbaya
 
Back
Top Bottom