ZittoooooooooooooooooooooooooooooZitto tayari amewapongeza ccm kwa "ushindi halali kabisa huko Muhwmbwe""
ZittoooooooooooooooooooooooooooooZitto tayari amewapongeza ccm kwa "ushindi halali kabisa huko Muhwmbwe""
Atwambie kama amesha hama mombasaChama Cha Mapinduzi kimesema Kiongozi wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe ameanza kutapatapa na kutafuta mchawi baada ya kuona Jahazi la Chama chake likienda mrama kufuatia matokeo ya awali katika majimbo ya Muhambwe na Buhigwe, ambapo CCM imeongoza kwenye Vituo vilivyokwishatangaza matokeo kwa zaidi ya asilimi 90.
Mwenezi Shaka amesema uzushi wa Zitto ni kuelekea kufilisika kisiasa na kwamba hautakinusuru chama chake, kwani Wananchi wamemkataa Mgombea wa Chama hicho na pia hakikuwa na mtandao wa kisiasa unaoweza kukipa kura za ushindi.
Shaka ameongeza kuwa propaganda za kale anazofanya Zitto haziwezi kubadili matokeo ya wapiga kura ya jimbo la Muhambwe na Buhingwe.
Katibu huyo wa Itikadi na Uenezi wa CCM amesema hayo jioni hii kufuatia madai ya uzushi yaliyosambazwa na Kiongozi Mkuu wa Chama Cha Act Wazalendo Zitto Zubeir Kabwe katika mitandao ya kijamii.
Shaka alieleza kuwa ikiwa Zitto alishindwa kupata ushindi jimbo la Kigoma mjini mwaka 2015 anaweza vipi kuwashawishi wananchi wa Buhigwe na Muhambwe kukiamini Chama chake.
Aidha, Shaka amemtaka Zitto kukomaa kisiasa na kuonyesha kupevuka, kwani kudai kuna kura feki na kwamba amevamiwa na mapanga ni propaganda nyepesi na haziwezi kukisaidia chama chake ikiwa kimeshindwa kujiandaa mapema kunadi sera, kupata Mgombea anayekubalika na kuwa na mikakati ya kampeni na ushindi.
“Chama chake kimeshindwa kuingiza timu uwanjani iliyojiandaa vizuri... sisi tumejiandaa muda mrefu na wagombea wetu wanakubalika bila shaka yoyote” alisema Shaka.
Aidha amesema wanajiandaa mara baada kutangazwa rasmi matokeo hayo na Tume ya Uchaguzi kuwasindikiza Wabunge wao kutoka Buhigwe na Muhambwe kwenda kuapa Bungeni kama itakavyoelekezwa na mamlaka zinazohusika.
MWISHO.View attachment 1787713
Ccm hawawezi kuweka idadi kamili ya wapiga kura ya halali.Tuchukulie Zito anapiga propaganda, sasa tuwekeeni idadi ya wapiga kura ili tuone mnavyokubalika na wananchi wa huko. Idadi ya wapiga ndio italeta uhalali wa kukubalika baina ya ndugu waliokuwa wanashindana.
Zitto laana ya kuisaliti cdm haiwezi kumuacha salama.Zito wa ajabu, anakusanya na kupiga kampeni na watoto kisha anaji-mwambafai eti ndio watakao mpatia ushindi.
View attachment 1787720
Zitto akiwacha kulipigania tumbo lake inawezekana akawa kiongozi mzuri sana ila sema na muda ndiyo unamtupa mkono.Idadi ya wapiga kura inaweza kuwa sawa na kura alizopata mgombea wa ATC.
PointKama wapiga kura ni laki 1, natarajia kuona wangalau wapiga kura 50,000 kujitokeza kupiga kura. Kama wapiga kura hawajafika hata 10,000 hapo utasemaje unakubalika?
Ya awamu ya 5 tofauti na ya awamu ya 6Mambo tayari CCM ni ileile.
Majizi haoCCM hamna jimbo ambalo wanashinda kihalali!!
Zitto hakuwa na hesabu za kushinda uchaguzi ,bali alikuwa ni kama rubber stamp tu maana payroll yake inasoma kutoka mitaa ya lumumba
Bwashee subiri matokeo yatatangazwa na wasimamizi wa uchaguziTuchukulie Zito anapiga propaganda, sasa tuwekeeni idadi ya wapiga kura ili tuone mnavyokubalika na wananchi wa huko. Idadi ya wapiga ndio italeta uhalali wa kukubalika baina ya ndugu waliokuwa wanashindana.
Kama tume wameshindwa kuweka matokeo ya ule uchaguzi mkuu ndio wataweka sasa? Ama bado tume inatumia mifumo ya kizee ya kuweka kwenye daftari la quire 3?Ukitaka idadi ya wapiga kulaa. Kawaulize tume ya uchaguzi au nenda kwenye vituo vyakupigia kura utasikia matangazo yote hadi kula zilizo haribikaaa utaaambiwaaa.
Ccm hawawezi kuweka idadi kamili ya wapiga kura ya halali.
Lazima wachakachue
Simulisema matokeo halali mnayo na mkatutapeli wanainchi eti mnaenda kushitaki tume kwenye mahakama za kimataifaaa. Au ilikua KIIKI zenu kama kawaida yenuuuKama tume wameshindwa kuweka matokeo ya ule uchaguzi mkuu ndio wataweka sasa? Ama bado tume inatumia mifumo ya kizee ya kuweka kwenye daftari la quire 3?
Exactly huo ndiyo mpango wao na Zitto siyo mjinga maana anavuta mpunga mrefuWamekaa na Zito wakubaliane idadi ya kuweka. Halafu wakitoka hapo watamsifia Zito kuwa ana siasa za kistaarabu.
Simulisema matokeo halali mnayo na mkatutapeli wanainchi eti mnaenda kushitaki tume kwenye mahakama za kimataifaaa. Au ilikua KIIKI zenu kama kawaida yenuuu
Na yule tapeli wenu aliyegaragazwa na kutimkia ugaibuni kukwepa aibuu ya kugaragazwaaaNilisema mimi na nani?
Na yule tapeli wenu aliyegaragazwa na kutimkia ugaibuni kukwepa aibuu ya kugaragazwaaa