Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,542
- 2,166
Ni dhahiri kabisa CCM ndio Chama kinachoongoza kwa kupendwa na kuaminiwa zaidi na Watanzania walio wengi.
Ushahidi wa wazi ni idadi hii kubwa ya Wananchi wanaotaka kukiongoza chama hiki pendwa zaidi kusini mwa jangwa la Sahara.
#KARIBU CCM CHAMA CHA WAJANJA WAADILIFU