Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya kijinga sana. Eti wa-print Fomu moja tu. Sasa kama Mgombea Ni Mmoja ndani ya Chama unatoa Fomu ya nini? Hivi maana ya Fomu Ni nini? Au hatuelewi maana ya Fomu? Hivi Hawa watu walisomea Ujinga?Ndani Ya Chama Uhuru Unatakiwa
Watu Waombe Form, Siyo Eti Maneno Ya Ally Kessy Tutamlazimisha
Hao wananchi sindio wanachama wa CCM?yaani hawa ccm wanadhani mtu akishakuwa mgombea kupitia chama chao basi ndo raisi. Waache waendelee kujisahau hivyohivyo siku wananchi wakiamua watafurushwa kama mbwa.
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Ni kweli Rais Samia na Mwinyi ni watulivu.Lakini maoni aliyotoa katibu ni ya chama kimoja na ni ya kizamani.Angesema hivi "Natamani kuona watanzania wakiwachagua tena......"2025View attachment 2322973
Katibu wa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amesema hakuna shaka Rais Samia Suluhu Hassan ataendelea kuwavusha watanzania hadi 2030 kutoka na uwezo mkubwa uliounesha katika uongozi na utendaji uliotukuka. Akizungumza katika kongamano maalum la kumpongeza Rais Samia huko Unguja leo hii, Shaka amesema Rais Samia pamoja na Rais Dkt. Hussein Mwinyi ni viongozi shupavu walioonesha ari kubwa ya kuwatumikia watanzania.
Shaka amesisitiza kutokana na kazi nzuri ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025, inatoa uhalali kwao kuendelea kuiongoza nchi yetu panapo kudra za mwenyezi Mungu mpaka 2030. Ikiwa pia ni utii wa katiba ya CCM, kanuni na utamaduni tuliojiwekea.
Aidha, Shaka amesema wale wenye ndoto ya Urais 2025 kwa bara na visiwani wasahau kwakuwa CCM inamila, katiba, desturi, utaratibu na miongozo mbalimbali zinazotawala muda wa Rais kudhaminiwa na Chama cha Mapinduzi.
===
Huyo hajawahi kukwama.Zee la msoga linakenua tu sasa hivi, mapesa bwerereee chini ya Bibi Hangaya.
From where I stand I see people scared of their own shadesNakubaliana na wewe comredi, Iwepo fomu moja tu ya Urais,
Kazi anazofanya Rais Samia hatuhitaji aletewe bugudha kabisa,
Wamwache Mama achape kazi,
Naunga mkono hoja2025 fomu ya Uchaguzi iprintiwe moja tu, Kila Rais wa CCM alihudumu miaka 10, tunataka amani na utulivu kwenye Taifa,
Mbona kwa Mwendazake hamkuomba fomu ziwe zaidi ya moja?Ndani Ya Chama Uhuru Unatakiwa
Watu Waombe Form, Siyo Eti Maneno Ya Ally Kessy Tutamlazimisha
Upinzania gani wa kuishinda CCM tanzani mapesa yamejaa ?Wanauhakika atapita?watanzania watachagua upinzani na wakifanya michezo yao michafu mwaka huo lazima kiwake kama Ukraine na urusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nisahihi kabisa, 2025 hata Wapinzani waje tuungane2025 hatutaki mtu zaidi ya Rais Samia Suluhu Hassan,
Kazi anazofanya huyu Mama hapa Upinzani kuweka mtu ni kujipotezea gharama bure kabisa,
Huoni kama huo ni mkutano wa ndani?Ok mikutano ya vyama vya siasa imefunguliwa rasmi?,kuna mtu alitufanya watanzania kuwa mazuzu ILA mimi SIO zuzu
Kwani bado hamjaona kazi za kutukuka za Mama?Unajua huyu jamaa kafirisika kichwani kwa yeye ndo anatuchagulia rais au ni sisi watanzania
itapendeza zaidi jambo ni vema pia kuwekaAsali anazotulambisha sie upinzani tutagoma kuweka mgombea nafasi ya urais. Mama atapita bila kupingwa
Wewe ndio msemaji wa hao watu?Watu wanalia hali ngumu wewe unatuletea ujinga mtashangaa hatutaki upuuzi wa nyuma