Shaka: Tumeahidi ajira milioni 8 kwenye Ilani ya CCM, tumetoa Tshs 157.8 Bilioni kwa ajili ya ukarabati wa bandari ya Mtwara

|Nawasalimu kwa jina la JMT,

|Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amefanya ziara ya kuhamasisha uhai wa Chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025, kupokea taarifa za mashina na kuhamasisha wananchi kushiriki zoezi la sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 katika Mkoa wa Mtwara|

|Shaka ameonekana kutoridhishwa na kasi ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2020-2025,Pamoja na serikali kutoa 157.8BL kwaajili ya Ukarabati wa bandari ya Mtwara kwaajili ya kutoa ajira mpya kwa Watanzani mradi bado unasuasua hali iliyopelekea Shaka kutoa Kalipio kali kwa Uongozi wa Mkoa wa Mtwara|

|Shaka amewaonya vikali watendaji wa Serikali wanaotaka kukwamisha maendeleo ya Watanzania na kwakufanya hivyo Wanamkwamisha Rais Samia Suluhu Hassan katika juhudi zake za kuharakisha na kurahisisha maendeleo ya Wanamtwara na Watanzania kwa ujumla wake |

Tutashangaa sana kama hela zimetoka na zimetumika bila kufanya kazi. Na waliotumia wanapeta tu.
Hayo ndio yanayotuumiza. Tuwe watu wa vitendo na tuamue sasa kuijenga nchi yetu.
 
Huyu jamaa nauhakika atairudisha CCM kwa watu zaidi,

Shaka amekuwa too humble down the earth,

View attachment 1943168
Kwani nani aliipoteza CCM kwa wananchi? CCM bila Polisi na tume ya uchaguzi+wakurugenzi hatuna uwezo hata wa kushinda majimbo matano.

Tukishauri tunaitwa CHADEMA. Badala kutoa ajira kwa Manesi, Madaktari na Waalimu sisi tunahangaika na kesi ya Mbowe, eti gaidi?
Tunawawekea wananchi matozo ya ajabu halafu uchaguzi ukikaribia tunategemea wizi wa kura kwa mitutu ya bunduki na magari ya washawasha.
 
Jibu Mswali haya kwa Ukamilifu,

1.Rais Mnyenyekevu Africa -SAMIA

2.Rais mpole Africa -SAMIA. √

3. Rais mchamungu Africa -SAMIA √

4. Rais rafiki wa wananchi wake Africa -SAMIA √

5. Rais Chaguo la Watanzani 2025-2030 -SAMIA √

|Nawasalimu kwa jina la JMT,

|Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amefanya ziara ya kuhamasisha uhai wa Chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025, kupokea taarifa za mashina na kuhamasisha wananchi kushiriki zoezi la sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 katika Mkoa wa Mtwara|

|Shaka ameonekana kutoridhishwa na kasi ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2020-2025,Pamoja na serikali kutoa 157.8BL kwaajili ya Ukarabati wa bandari ya Mtwara kwaajili ya kutoa ajira mpya kwa Watanzani mradi bado unasuasua hali iliyopelekea Shaka kutoa Kalipio kali kwa Uongozi wa Mkoa wa Mtwara|

|Shaka amewaonya vikali watendaji wa Serikali wanaotaka kukwamisha maendeleo ya Watanzania na kwakufanya hivyo Wanamkwamisha Rais Samia Suluhu Hassan katika juhudi zake za kuharakisha na kurahisisha maendeleo ya Wanamtwara na Watanzania kwa ujumla wake |
 
Nimekwambia serikali kivuli, Umesahau Kinana na Mama Migiro vyeo vya awamu ile ya nne?. CCM ndio mmiliki wa ilani inayotumiwa na serikali kuu.
Ondokana na uchama kwanza, hana mamlaka yoyote kwenye serikali ya JMT. Kama ana-issues na watu wenye kadi za chama walioko serikalini, awaite chamani na ku-deal nao kichama. Muundo wa dola hauna Katibu mwenezi wala KM CCM.

Zaidi, chama kilichokuwa madarakani miaka 60, kinachopiga maTrilioni ya shilingi za waTZ, kimeshindwa kuujenga hata mji mmoja ukakamilika, yaani chukulia mfano, wangeamua kuwa kila mwaka tunakamilisha sekta moja ya mkoa wa Dar, kwa hiyo miaka 60, unadhani tatizo la usafiri Dar lingekuwepo? Mafuriko jangwani yangekuwepo kila mwaka? Tatizo la maji safi na salama lingekuwepo? Makazi holela na ardhi isiyopimwa ingekuwepo? Yaani Dar tu peke yake, ikiwa ndio kamkoa kadogo kabisa kuliko vyote na kenye population kubwa zaidi na mapato ya juu kabisa TZ, imewashinda, ni maendeleo yapi mnaweza kuyasema kuwa yanabeba taswira ya utawala wa chama chenu kwa miaka 60? Wizi uliofanywa na wanachama ukijumlisha, ni zaidi ya bajeti ya nchi kwa miaka 10 taslimu.

Akili chafu za kilafi za kichama ndio umasikini wa ngozi nyeusi. Kwa akili za weupe, leo tuna maeneo kama Upanga, Masaki, Mbezi beach, Mikocheni, Posta, Kariakoo ambayo yamepangiliwa toka enzi za "Black n white", akili za mkoloni mweupe zimetupa barabara ya kwanza mpaka ya 13 Tanga kwa mpangilio maalumu.
 
Ondokana na uchama kwanza, hana mamlaka yoyote kwenye serikali ya JMT. Kama ana-issues na watu wenye kadi za chama walioko serikalini, awaite chamani na ku-deal nao kichama. Muundo wa dola hauna Katibu mwenezi wala KM CCM.

Zaidi, chama kilichokuwa madarakani miaka 60, kinachopiga maTrilioni ya shilingi za waTZ, kimeshindwa kuujenga hata mji mmoja ukakamilika, yaani chukulia mfano, wangeamua kuwa kila mwaka tunakamilisha sekta moja ya mkoa wa Dar, kwa hiyo miaka 60, unadhani tatizo la usafiri Dar lingekuwepo? Mafuriko jangwani yangekuwepo kila mwaka? Tatizo la maji safi na salama lingekuwepo? Makazi holela na ardhi isiyopimwa ingekuwepo? Yaani Dar tu peke yake, ikiwa ndio kamkoa kadogo kabisa kuliko vyote na kenye population kubwa zaidi na mapato ya juu kabisa TZ, imewashinda, ni maendeleo yapi mnaweza kuyasema kuwa yanabeba taswira ya utawala wa chama chenu kwa miaka 60? Wizi uliofanywa na wanachama ukijumlisha, ni zaidi ya bajeti ya nchi kwa miaka 10 taslimu.

Akili chafu za kilafi za kichama ndio umasikini wa ngozi nyeusi. Kwa akili za weupe, leo tuna maeneo kama Upanga, Masaki, Mbezi beach, Mikocheni, Posta, Kariakoo ambayo yamepangiliwa toka enzi za "Black n white", akili za mkoloni mweupe zimetupa barabara ya kwanza mpaka ya 13 Tanga kwa mpangilio maalumu.
Akili chafu ya kwako mkuu inaishia kulalamika kuanzia January mpaka December. Haina jipya hata moja.

Mngekuwa mnafikiria tofauti na CCM wenye akili wangeshaona kitambo sana. Mbowe alipewa pesa na Sabodo milioni 600 ajenge chama akazipeleka kujenga hoteli yake!. Hapo bado yupo upinzani anakuwa na akili za kifisadi namna hii akipewa nchi itakuwaje?.

Unalalama kama umekunywa pombe iliyokwisha ku-expire kitambo sana. Unasahau kuna ndege nyingi tu zinaruka eneo lote hili la afrika mashariki na kati mpaka India.

Unasahau kuwa viwanja ya ndege vinajengwa karibu kila mkoa, unasahau barabara zinajengwa kila mkoa na nchi inazidi kufunguka. Huo umeme unaotumia kunijibu mimi unasahau ni kazi ya CCM! Pole sana kijana.
 
Katibu mwenezi wa CCM chama ambacho ilani yake inafanyiwa kazi nchi nzima kwa sasa. Kwa maneno mengine huyo ni bosi kivuli wa serikali yote iliyo madarakani kwa sasa.

..katibu mwenezi atakuwaje bosi kivuli wa serikali wakati raisi[mkuu wa serikali] ni mwenyekiti wa chama?

..ccm ilikuwa inafurukuta mbele ya serikali wakati ule mwenyekiti wa chama ni Mwalimu Nyerere na Raisi ni Mzee Ali Hassan Mwinyi.

..baada ya kuunganisha kofia mbili--actually mimi naona tatu-- mwenyekiti, raisi, na amiri jeshi mkuu, chama kimevunjwa nguvu ya kuisimamia serikali.

..mwenyekiti ambaye pia ni amiri jeshi mkuu anaweza kutumia vyombo kuwashughulikia wanachama wanaoleta "chokochoko."

..Hussein Bashe na Msukuma waliwahi kutekwa na kuwekwa kizuizini wakati wa vikao vya chama kwasababu mitizamo yao haikuwapendeza wakubwa ktk chama.

..Kwa msingi huo matamko ya Shaka hayana nguvu yoyote. Kwa mazingira ya Tz CCM ni jukwaa tu la watu kugawana vyeo mbalimbali.
 
Katibu mwenezi wa CCM chama ambacho ilani yake inafanyiwa kazi nchi nzima kwa sasa. Kwa maneno mengine huyo ni bosi kivuli wa serikali yote iliyo madarakani kwa sasa.

Haiko sawa kabisa.

Link ya chama na serikali ni waziri au baraza la mawaziri. Pia maRC na maDC. Hao ndio wateule wa kisiasa wenye dhamana na nyenzo za kuhakikisha kuwa ajenda/ilani ya chama tawala inazingatiwa kwa ufanisi katika utekelezaji wa shughuli za serikali.

Watendaji wa chama tawala hawana dhamana (mandate) ya kuagiza au kuhoji watendaji wa serikali moja kwa moja kuhusu shughuli za serikali. Hawana undani wa shughuli hizo. Wanatakiwa kuwahoji mawaziri, maRC na maDC katika VIKAO VYA CHAMA kuhusu mapungufu wanayoyaona kwenye maeneo yao.

Muhimu zaidi, ieleweke kuwa watendaji wa serikali HAWATEKELEZI ilani ya chama chochote cha siasa. BALI wanatekeleza sera, mipango na miradi iliyoidhinishwa na Bunge na Halmashauri katika ngazi ya serikali kuu na serikali za mitaa. Chama tawala hakiwakilishi muafaka (consensus) wa kitaifa kuhusu maendeleo ya nchi bali ni Bunge na mabaraza ya uwakilishi kama halmashauri. Serikali ni mtekelezaji wa consensus hiyo. Hata ilani za vyama vingine nazo huchangia katika muafaka huo kupitia Bunge/halmashauri.

Wafanyakazi wa serikali wanatakiwa kuwa neutral kwa vyama vya siasa wakati wote. Muhimu kwao ni maazimio ya Bunge, sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa rasmi kwa kadiri zilivyotafsiriwa na kuainishwa katika maeneo yao ya kazi, period.

Chama tawala kupitia mawaziri wake kinatakiwa kuandaa mapendekezo ya sera, mipango na miradi, kuiwasilisha Bungeni na kuitetea katika mijadala husika. Inatarajiwa watakuwa wamefanya mawasiliano ndani ya chama chao kuhusu vipengele vya ilani vya kuzingatiwa katika mapendekezo hayo. It’s a matter selling your agenda to obtain the necessary legislative mandate. Yale yatakayokubaliwa na kuidhinishwa na Bunge ndiyo hupelekwa serikalini kwa utekelezaji. Yatakayokataliwa huwekwa kapuni au kurudishwa kwa marekebisho au kuahirishwa.

Tatizo kubwa la Tanzania ni kubomolewa kwa misingi ya mgawanyo wa madaraka, mamlaka ya taasisi muhimu za maamuzi na utendaji na ubinafsishaji wa mamlaka yote kwa Rais na chama tawala. Ndio kinachopelekea huu upuuzi wa watendaji wa chama tawala kufokea watendaji wa serikali, vyombo vya dola na makandarasi kuhusu kazi na miradi ya serikali ilhali hawana madaraka wala uwezo huo kitaasisi na kiufundi (technical).

Tuna kazi kubwa sana ya kufanya marekebisho ya kikatiba kuweka sawa mambo haya. Kazi hiyo isipofanyika, Tanzania itakamilisha safari yake ya kuwa BANANA REPUBLIC exactly kama ilivyo Equatorial Guinea.
 
Haiko sawa kabisa.

Link ya chama na serikali ni waziri au baraza la mawaziri. Pia maRC na maDC. Hao ndio wateule wa kisiasa wenye dhamana na nyenzo za kuhakikisha kuwa ajenda/ilani ya chama tawala inazingatiwa kwa ufanisi katika utekelezaji wa shughuli za serikali.

Watendaji wa chama tawala hawana dhamana (mandate) ya kuagiza au kuhoji watendaji wa serikali moja kwa moja kuhusu shughuli za serikali. Hawana undani wa shughuli hizo. Wanatakiwa kuwahoji mawaziri, maRC na maDC katika VIKAO VYA CHAMA kuhusu mapungufu wanayoyaona kwenye maeneo yao.

Muhimu zaidi, ieleweke kuwa watendaji wa serikali HAWATEKELEZI ilani ya chama chochote cha siasa. BALI wanatekeleza sera, mipango na miradi iliyoidhinishwa na Bunge na Halmashauri katika ngazi ya serikali kuu na serikali za mitaa. Chama tawala hakiwakilishi muafaka (consensus) wa kitaifa kuhusu maendeleo ya nchi bali ni Bunge na mabaraza ya uwakilishi kama halmashauri. Serikali ni mtekelezaji wa consensus hiyo. Hata ilani za vyama vingine nazo huchangia katika muafaka huo kupitia Bunge/halmashauri.

Wafanyakazi wa serikali wanatakiwa kuwa neutral kwa vyama vya siasa wakati wote. Muhimu kwao ni maazimio ya Bunge, sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa rasmi kwa kadiri zilivyotafsiriwa na kuainishwa katika maeneo yao ya kazi, period.

Chama tawala kupitia mawaziri wake kinatakiwa kuandaa mapendekezo ya sera, mipango na miradi, kuiwasilisha Bungeni na kuitetea katika mijadala husika. Inatarajiwa watakuwa wamefanya mawasiliano ndani ya chama chao kuhusu vipengele vya ilani vya kuzingatiwa katika mapendekezo hayo. It’s a matter selling your agenda to obtain the necessary legislative mandate. Yale yatakayokubaliwa na kuidhinishwa na Bunge ndiyo hupelekwa serikalini kwa utekelezaji. Yatakayokataliwa huwekwa kapuni au kurudishwa kwa marekebisho au kuahirishwa.

Tatizo kubwa la Tanzania ni kubomolewa kwa misingi ya mgawanyo wa madaraka, mamlaka ya taasisi muhimu za maamuzi na utendaji na ubinafsishaji wa mamlaka yote kwa Rais na chama tawala. Ndio kinachopelekea huu upuuzi wa watendaji wa chama tawala kufokea watendaji wa serikali, vyombo vya dola na makandarasi kuhusu kazi na miradi ya serikali ilhali hawana madaraka wala uwezo huo kitaasisi na kiufundi (technical).

Tuna kazi kubwa sana ya kufanya marekebisho ya kikatiba kuweka sawa mambo haya. Kazi hiyo isipofanyika, Tanzania itakamilisha safari yake ya kuwa BANANA REPUBLIC exactly kama ilivyo Equatorial Guinea.
Mkuu wewe ni mgeni wa Tanzania yetu hii?. Unaandika kama vile kipindi kile Mama Migiro na Mzee Kinana wanazunguka nchi nzima kuisema serikali wewe haukuwa unaelewa nini kinaendelea hapa TZ.

Mpaka utakapofanyika huo mgawanyo wa madaraka haya yote uliyoyaandika yatakuwa hayana maana yoyote.
 
Akili chafu ya kwako mkuu inaishia kulalamika kuanzia January mpaka December. Haina jipya hata moja.

Mngekuwa mnafikiria tofauti na CCM wenye akili wangeshaona kitambo sana. Mbowe alipewa pesa na Sabodo milioni 600 ajenge chama akazipeleka kujenga hoteli yake!. Hapo bado yupo upinzani anakuwa na akili za kifisadi namna hii akipewa nchi itakuwaje?.

Unalalama kama umekunywa pombe iliyokwisha ku-expire kitambo sana. Unasahau kuna ndege nyingi tu zinaruka eneo lote hili la afrika mashariki na kati mpaka India.

Unasahau kuwa viwanja ya ndege vinajengwa karibu kila mkoa, unasahau barabara zinajengwa kila mkoa na nchi inazidi kufunguka. Huo umeme unaotumia kunijibu mimi unasahau ni kazi ya CCM! Pole sana kijana.
Ok
 
Mkuu wewe ni mgeni wa Tanzania yetu hii?. Unaandika kama vile kipindi kile Mama Migiro na Mzee Kinana wanazunguka nchi nzima kuisema serikali wewe haukuwa unaelewa nini kinaendelea hapa TZ.

Mpaka utakapofanyika huo mgawanyo wa madaraka haya yote uliyoyaandika yatakuwa hayana maana yoyote.
Sina ugeni wowote na nchi hii. Bahati mbaya hatufahamiani hapa. Naelewa kila kitu unachosema na usichosema kuhusu nchi hii. It simply is a rotten system hurtling down to the dogs. Hakuna cha kuchangamkia hapa. Ndio message yangu hata kama utaona haina maana.
 
Mkuu wewe ni mgeni wa Tanzania yetu hii?. Unaandika kama vile kipindi kile Mama Migiro na Mzee Kinana wanazunguka nchi nzima kuisema serikali wewe haukuwa unaelewa nini kinaendelea hapa TZ.

Mpaka utakapofanyika huo mgawanyo wa madaraka haya yote uliyoyaandika yatakuwa hayana maana yoyote.

Uko sahihi,
 
Siipendi CCM ila huyu Shaka yuko vizuri,si kama yule mpuuzi PoleSlow.
 
Tanzania yaongoza kwa bei ndogo ya mafuta ya taa, disel na Petrol Africa Mashariki Kenya bei juu |Hongera Rais Samia,
________________________________
Wakati baadhi ya Watanzani wasiofuatilia mambo wamekuwa wakiilalamikia Serikali ya awamu ya Sita inayoongoza na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba imepandisha bei ya Mafuta ya taa, dizeli na Petroli jambo ambalo ni sawa na wao kukosa fadhili juu ya juhudi kubwa na nzuri anazozifanya rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea unafuu wa Maisha wananchi wake kwani Mama anajua nishati ya mafuta ndio karibu kila kitu kwa maisha ya mnyonge wa chini,

Wakati wenzetu wa Rwanda, Burundi, Congo, Uganda, Kenya wakiimezea mate bei ya mafuta ya Tanzania Sisi Watanzani tunashindwa kuthamini na kutambua mchango wa Rais wetu katika kudhibiti bei ya nishati ya Mafuta nchini,Hii si sawa kabisa,

Jarida maarufu Africa la "STAR " limeitaja Tanzania kuwa ni nchi ya chini kabisa kwa bei ya mafuta ya taa, dizeli na Petroli ukilinganisha na bei za nchi nyingine za EAC hivi majuzi,

Kwamsiofahamu,Bei ya Petroli Kenya ni Ksh 134.72 sawa na Tshs 2,831,Wakati Uganda ni Ksh 131 sawa na Tshs 2,751,Rwanda ni Ksh 121.08 sawa na Tshs 2,540, Wakati Tanzania bei ya Petroli ni Ksh 115.26 sawa na Tshs 2,421 kwenye Pump,

Wakati huohuo bei ya dizeli nchini Kenya ni Ksh 117.28 sawa Tshs 2,463,Uganda ni Ksh 115.60 sawa na Tshs 2,428 huku Rwanda bei ya dizeli ikifikia Ksh 110 karibu Sawa na Tshs 2.310 Wakati Tanzania bei ya dizeli imefikia Ksh 106.90 sawa na Tshs 2,245 tu,Tuendelee kumwombea rais wetu kipenzi cha wengi Mama Samia Suluhu Hassan,

______________________________

Kenyans are paying up to Sh19 more for a litre of petrol compared to their East African neighbours of Tanzania, Uganda and Rwanda as heavy taxation takes a toll on consumers.

Motorists and transporters are paying more than double what their counterparts in Addis Ababa are paying, where a litre of petrol and diesel are retailing at an equivalent of Sh51.28 and Sh44.66, respectively.

In Uganda, which imports part of its fuel through the Port of Mombasa, a litre of super petrol is retailing at Sh131 which is lower compared to Kenya's Sh134.72.


A litre of diesel in the neighbouring country is slightly higher, by Sh2, retailing at Sh117.28 compared to Sh115.60, despite the products going through Kenya into the landlocked country.

In Dar es Salaam, a litre of super petrol is retailing at Sh115.26, which is Sh19.46 less than that of Nairobi.

Diesel is going for Sh106.90 while kerosene is retailing at Sh103.34, compared to Nairobi's pump price of Sh110.82.

A litre of petrol and diesel in Kigali(Rwanda) is Sh121.08 and Sh110, respectively, despite being a land-locked country importing through Tanzania and Kenya.

On Tuesday, fuel prices in Kenya hit a historic high after prices of petrol, diesel and kerosene increasing by Sh7.58, Sh7.94 and Sh12.97, respectively.

“The prices are inclusive of the eight per cent Value Added Tax in line with the Finance Act 2018, the Tax Act 2018, the Tax Laws(Amendment) Act 2020 and the revised rates for excise duty adjustment for inflation,” EPRA director general Daniel Kiptoo said.

The increase came despite lower global crude prices in August which averaged $70.75 a barrel, down from $75.17 in July, and a drop in the landed cost of fuel at the Port of Mombasa.

Consumers in the country pay at least nine different taxes on fuel products which constitute the biggest share of final pump prices.


They include excise duty which takes the lion's share of Sh21.95 of every litre of petrol followed by the Road Maintenance Levy (Sh18).

VAT has been adjusted upwards to Sh9.98 while the Petroleum Development levy is charged at Sh5.40.

Other levies included in the fuel pricing are Petroleum Regulatory Levy, Railway Development Levy, Anti-adulteration Levy, Merchant Shipping Levy and the Import Declaration Fee.

The high fuel prices are expected to increase the cost of living in the country, where inflation has been rising since April, hitting an 18-month high of 6.57 in August.

Manufacturers and transporters have since warned of a jump in the cost of goods and services as they move to pass the high operational costs, occasioned by the fuel price jump, to the consumers.

Agricultural products are also expected to become costlier as diesel is a key input in production, mainly in large scale farming where machinery is used.

A number of other taxes introduced by the Finance Act 2021 are also expected to impact the cost of production in the country, affecting the prices of finished goods in the retail market.

The Consumers Federation of Kenya (COFEK) has since called on the President to request parliament to review the Finance Act.

“We need to ease the cost of living especially by dropping added taxes on cooking gas, fuel and essentials foodstuffs,” Secretary-General Stephen Mutoro said.
 
Jibu Mswali haya kwa Ukamilifu,

1.Rais Mnyenyekevu Africa -SAMIA

2.Rais mpole Africa -SAMIA. √

3. Rais mchamungu Africa -SAMIA √

4. Rais rafiki wa wananchi wake Africa -SAMIA √

5. Rais Chaguo la Watanzani 2025-2030 -SAMIA √
Mitego ya Rais Samia ya Royal Tour yanasa TZS 158.4bl | Hoteli nne kubwa za kitali hadhi ya Kempinski kujengwa Serengeti, Ngorongoro,Manyara & Tarangire,

________________________________

Wawekezaji toka Bulgaria matokeo ya Royal Tour kuwekeza US$ 72M karibu sawa na Tsha 158.4BL kwa kujenga Hotel nne kubwa za nyota tano ( Five Stars Hotel ) katika mbunga za Serengeti, Ngorongoro, Manyara & Tarangire,

Utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi kifupi cha miezi sita umeonesha matokea makubwa katika kila kona ya nchi, madhalani uwekezaji tayari umekua kwa 400% toka uwekezaji wa US$ 510M hadi US$ 2.98BL sawa na Tshs 7trilioni pesa ambayo itamfikila kila Mtanzania popote alipo katika njia moja au nyingine,

#Mliokuwa mnalalamikia gharama ya Royal Tour mnasemaje kuhusu hizi bilioni 158.4 za fasta !??


.........Kazi iendelee.........
 
Back
Top Bottom