CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 4,985
- 4,083
- Thread starter
- #21
Shaka Mashinani View attachment 1943462
Msafara wote wa ma v8 kuhutubia watu kumiShaka Mashinani View attachment 1943462
Ooh yes! Alitakiwa Shaka afanye haya;
1. Amwite mkandarasi na msimamizi wa mradi
2. Aombe program of work, je hela zimekuja, kitu gani kinakwamisha, na hatua achukue hapohapo
Ahahahaa hapa ndipo unasema tumkumbuke Legendary late Pombe, tunajua nini kingefuata baada ya kusuasua...Shaka nilitegemea unakuta mradi unasua sua maamuzi yanachukuliwa. Lakini kufoka haitosaidia. Unaondoka hapo wanarudi kule kule.
Mlituambia kuwa wapinzani ndio wanawakwamisha kuleta maendeleo na mkafanya figisu kwenye uchaguzi mkawa wenyewe, sasa malalamiko ya nini tena?|Nawasalimu kwa jina la JMT,
|Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amefanya ziara ya kuhamasisha uhai wa Chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025, kupokea taarifa za mashina na kuhamasisha wananchi kushiriki zoezi la sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 katika Mkoa wa Mtwara|
|Shaka ameonekana kutoridhishwa na kasi ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2020-2025,Pamoja na serikali kutoa 157.8BL kwaajili ya Ukarabati wa bandari ya Mtwara kwaajili ya kutoa ajira mpya kwa Watanzani mradi bado unasuasua hali iliyopelekea Shaka kutoa Kalipio kali kwa Uongozi wa Mkoa wa Mtwara|
|Shaka amewaonya vikali watendaji wa Serikali wanaotaka kukwamisha maendeleo ya Watanzania na kwakufanya hivyo Wanamkwamisha Rais Samia Suluhu Hassan katika juhudi zake za kuharakisha na kurahisisha maendeleo ya Wanamtwara na Watanzania kwa ujumla wake |
Shaka yeye anawakilisha chama tawala CCM maamuzi ya kufukuza ni ya Kiserikali zaidi hapo Shaka ni kuwataka au kupendekeza hatua zaidi kwa wenye dhamana za uteuzi kutengua na kufukuza, au mimi ndio sielewi mambo ya kiutawala?Shaka fukuza hao wezi,
Acha kucheka na kima,
Fukuza majizi,
Kamata majizi,
____________________________________
Hawa ndio aina ya viongozi CCm inapaswa kuwatunza. Wamekulia chamani na sio Mamluki kama wengine. Wamewekwa pembeni kidogo wameanza mipasho na kujifanya wakosoaji.
Kwa mwenendo wa Shaka naamini chama kinaandaa viongozi makini wa Sasa na baadae. Aendelee kuchapa kazi. Na hasa aweke msisitizo kwenye hiyo bandari ya kimkakati inayoweza kuhudumia Tz,Malawi,Zambia na Kaskazini ya Msumbiji.
💪👊👋👍😍|Nawasalimu kwa jina la JMT,
|Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amefanya ziara ya kuhamasisha uhai wa Chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025, kupokea taarifa za mashina na kuhamasisha wananchi kushiriki zoezi la sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 katika Mkoa wa Mtwara|
|Shaka ameonekana kutoridhishwa na kasi ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2020-2025,Pamoja na serikali kutoa 157.8BL kwaajili ya Ukarabati wa bandari ya Mtwara kwaajili ya kutoa ajira mpya kwa Watanzani mradi bado unasuasua hali iliyopelekea Shaka kutoa Kalipio kali kwa Uongozi wa Mkoa wa Mtwara|
|Shaka amewaonya vikali watendaji wa Serikali wanaotaka kukwamisha maendeleo ya Watanzania na kwakufanya hivyo Wanamkwamisha Rais Samia Suluhu Hassan katika juhudi zake za kuharakisha na kurahisisha maendeleo ya Wanamtwara na Watanzania kwa ujumla wake |
Mwamba haswaaa 💪😍Huyu Mwamba nyota yake inang'aa sana,
Naona CCM imesajili kipaji kipya,
Huyu Shaka ni noma,
View attachment 1943301
Huyu naye si alipataga kashfa ya ugasho ....Hawa ndio aina ya viongozi CCm inapaswa kuwatunza. Wamekulia chamani na sio Mamluki kama wengine. Wamewekwa pembeni kidogo wameanza mipasho na kujifanya wakosoaji.
Kwa mwenendo wa Shaka naamini chama kinaandaa viongozi makini wa Sasa na baadae. Aendelee kuchapa kazi. Na hasa aweke msisitizo kwenye hiyo bandari ya kimkakati inayoweza kuhudumia Tz,Malawi,Zambia na Kaskazini ya Msumbiji.
Huyu naye si alipataga kashfa ya ugasho ....
Mkiwashwaga minduku hamchagui wakuwafirimba eti ...Mbona hata wewe ulipata kwa gaidi,
Katibu mwenezi wa CCM chama ambacho ilani yake inafanyiwa kazi nchi nzima kwa sasa. Kwa maneno mengine huyo ni bosi kivuli wa serikali yote iliyo madarakani kwa sasa.Nami nasubiri majibu hapa, anakagua miradi ya serikali kama nani.
Kwenye muundo wa serikali, yeye ni nani? Wadhifa wake?Katibu mwenezi wa CCM chama ambacho ilani yake inafanyiwa kazi nchi nzima kwa sasa. Kwa maneno mengine huyo ni bosi kivuli wa serikali yote iliyo madarakani kwa sasa.