CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 4,985
- 4,083
- Thread starter
- #41
πππ FactJamaa kanyooka sana,
Awafukuze tu hata kama ni waziri atoke,
Unavunjaje watu miguu?
πππ FactJamaa kanyooka sana,
Awafukuze tu hata kama ni waziri atoke,
Unavunjaje watu miguu?
Aaaaminπ€²Amen πππ
ππππ Fact
....kazi Iendelee mkuu wanguπMkuu nakusalimu kwa jina la JMT,
SHAKA ANAJIMBANUA TUMWOMBEE
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Hilo sio jambo lakupigia porojo zakulalamika kwenye majukwaa wakati sheria na taratibu ziko wazi na wanaofanya hayo wanajulikana na yeye ni kiongozi wa chama chenye serikali yenye hicho chombo.Wakati Tfs wanaingia kwenye mfumo wakijeshi mambo kama hayo tuliyatarijia sasa ilikua ni jukumu la serikali kupitia wizara husika kufunza hao watumishi watende kuendana na sheria za nchi nasio vinginevyo.ila sasa ukiona wanajichukulia sheria mkononi unatakiwa ujue kuna shida mahali na ata wewe iko siku yaweza kukukuta.Wewe endelea kusifia hadi zamu yako yakuvunjwa itakapofika.Ngoja wale pinga pinga wakitoka msalani na kuikuta habari hii... lazima watakuja na mawazo tofauti ya kupingana na Shaka. Na la kushangaza zaidi watawatetea wakala wa misitu ilimradi tu waende njia tofauti na ile ya CCM na Serikali yake.
ππππ Tuendelee kuchapa kazi kwa bidii
π€£π€£Ngoja wale pinga pinga wakitoka msalani na kuikuta habari hii... lazima watakuja na mawazo tofauti ya kupingana na Shaka. Na la kushangaza zaidi watawatetea wakala wa misitu ilimradi tu waende njia tofauti na ile ya CCM na Serikali yake.
Komredi Shaka HAKUOKOTWA JALALANI.....Hawa ndio wanasiasa tunaowataka...sie yule mpuuz* anayepost video na kukatika viuno Instagram akijifanya Mwalimu.
Natamtabiria makubwa sana katika siasa za Tz Katibu Mwenezi. Namuona vile kama ana mwanzo wa akina Sita, Msekwa, Mangula au Jakaya ndani ya CCM.
Haturudi nyuma.....Tuendelee kuwatetea wananchi wetu,
Nikweli Shaka ni kiongozi mzuri na nimwadilifu sana ,
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Swadakta mkuu....πWatu hawashtuki tu Serikali ya Rais Samia niya "UTU" sana, Lazima waache mambo ya kuwabambika watanzania kesi na kuwavunja miguu halikubaliki kabisa,
Shaka amekuwa kiongozi mwenye utu sana nafsini mwake kwenye hili tunamuunga mkono 100%,Tusikubali watu wamchonganishe Rais na wananchi wake,
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAITFS tunawakumbusha.....
Moja ya MAJUKUMU ya AFISA WANYAMAPORI ni:-
Kufuatilia utekelezaji wa miongozo mbalimbali ya uhifadhi wa wanyamapori.
Hapo juu haliko KUVUNJA RAIA MIGUU......
Hapo juu haliko KUUA RAIA WALIPA KODI NA MISHAHARA YENU.......
Kongole kwake komredi El Comandante Shaka Hamdu Shakaπππ
#SiempreJMT
#NchiKwanza
Swadakta mkuu....π
Kwenye uwanja wa kumbeba kuragombea ubungeAmeyasema akiwa wapi?
πAmekusoma vema mkuu,
Tuendelee kumwombea Rais wetu
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
πππ Fact aiseNgoja wale pinga pinga wakitoka msalani na kuikuta habari hii... lazima watakuja na mawazo tofauti ya kupingana na Shaka. Na la kushangaza zaidi watawatetea wakala wa misitu ilimradi tu waende njia tofauti na ile ya CCM na Serikali yake.