SautiYaMnyonge
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 439
- 742
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amefanya ziara ya kuhamasisha uhai wa Chama, kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025, kupokea taarifa za mashina na kuhamasisha wananchi kushiriki zoezi la sensa ya watu na makazi 2022.
Akiwa wilaya ya Mtwara Mjini mkoani Mtwara Shaka ametembelea Mitengo-Kilima Hewa shina namba 5, Mtawanya shina namba 4 na Naliendele shina namba 5.
Aidha alikamilisha kwa kufanya kikao kazi na wazee wa Mtwara Mjini katika ukumbi wa mikutano wa CCM wilayani hapo.
#ChamaImara
#KaziIendelee
Akiwa wilaya ya Mtwara Mjini mkoani Mtwara Shaka ametembelea Mitengo-Kilima Hewa shina namba 5, Mtawanya shina namba 4 na Naliendele shina namba 5.
Aidha alikamilisha kwa kufanya kikao kazi na wazee wa Mtwara Mjini katika ukumbi wa mikutano wa CCM wilayani hapo.
#ChamaImara
#KaziIendelee