Tunaitaka Chadema kubadilika na kuanza kufanya siasa za hoja, zenye kutoa kipaumbele maendeleo ya wananchi na Taifa badala ya siasa hizi za kuhimiza ghasia, vurugu na kueneza uongo na chuki nchini.

Kadhalika Mnyika aache upotoshaji na kumlisha maneno Rais Samia ambayo hakuyasema au kuingilia mwenendo wa kesi ya Mbowe mahakamani kama anavyotumia nguvu kubwa kutaka kuaminisha umma.

Rais Samia katika maelezo yake alisema hakuna mahali nchini Demokrasia imeminywa na ndio maana vikao vya kikatiba vya vyama mbalimbali vya siasa nchini vinaendelea. alisisitiza siasa zenye mrengo wa vurugu na ghasia hazina nafasi na wala hazitavumiliwa kwani hiyo sio demokrasia.

Kuhusu sakata la kesi ya mwenyekiti wa chama hicho inayoendelea mahakama ya kisutu hakuna pahala katika maelezo yake Rais Samia wakati wote wa mahojiano aliingilia uhuru wa mahakama kama Mnyika alivyopotosha zaidi alitaka watu kuwa watulivu waipe nafasi mahakama kutekeleza wajibu wake.

CDM waache vioja vya kudai demokrasia imeminywa na hawaruhusiwi kufanya mikutano wala vikao wakati wameendesha operesheni haki, chadema kidigitali na vikao mbalimbali vya ndani bila bugudha yoyote. Lakini cha ajabu (leo) Mnyika ameendelea kuingilia uhuru wa mahakama jambo ambalo linaoonyesha jinsi alivyo na papara na jazba na kudhihirisha juu ya uchanga wake kisiasa.

Muhimu wakafahamu ikiwa maandalizi yao ya mikutano au vikao na operesheni zozote za kisiasa yatakuwa na viashiria au dhamira ya kupanga, kuratibu, kuasisi au kutekeleza vurugu na ghasia nchini vyombo vya dola havitakaa kimya sio kwao tu bali kwa yeyote yule.

Bahati mbaya ni kwamba hawana desturi ya kufanya mikutano, vikao au operesheni zao za kisiasa kwa amani na kwa kufuata taratibu na sheria hivyo wabadilike ili kuepuka kusigana na vyombo vya dola. Wao kukiuka taratibu na sheria ili kupata matukio ya kukabiliana na vyombo vya dola kwao umekuwa mradi wa kutafuta fedha kwa wafadhili wao nje ya nchi ndio maana hawataki kubadilika.

Rais Samia ameapa kuilinda na kuitetea Katiba ya Tanzania, ikiwemo kuhakikisha ustawi wa amani na utulivu nchini. Hivyo haitatokea hata mara moja akakubali watu wachache kwa maslahi yao wakavuruga nchi.

Jambo jingine watanzania wanapaswa kujua Chadema sio chama kikuu cha upinzani wakati huu kwani kina mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa hivyo hawana sifa hiyo.

Tunashangazwa na dhamira ya Chadema kutaka kuonana na Rais Samia wao kama wao ilihali wao sio chama pekee cha upinzani nchini. Rais Samia alitoa msimamo wa kuonana na vyama vyote vya upinzani kwa umoja ambapo atatoa tarehe na muda wakukutana nao.

Hili la Chadema kutaka kukutana na Rais Samia wakiwa pekee yao ni muendelezo wa siasa za ubinafsi na ubaguzi ambao umekuwa utamaduni wao jambo ambalo Serikali ya CCM inayongozwa na Rais Samia haitazipa nafasi.

Nitoe rai kwa watanzania na wadau wote wa maendeleo ndani na Nje ya Nchi kuiunga mkono serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan ili kwa pamoja tuifikishe Tanzania katika maendeleo endelevu.

End

Daah chama kina gundu mwenezi ni chapati ya maji,yani anatafunwa kama mwanamke
 
Tunaitaka Chadema kubadilika na kuanza kufanya siasa za hoja, zenye kutoa kipaumbele maendeleo ya wananchi na Taifa badala ya siasa hizi za kuhimiza ghasia, vurugu na kueneza uongo na chuki nchini.

Kadhalika Mnyika aache upotoshaji na kumlisha maneno Rais Samia ambayo hakuyasema au kuingilia mwenendo wa kesi ya Mbowe mahakamani kama anavyotumia nguvu kubwa kutaka kuaminisha umma.

Rais Samia katika maelezo yake alisema hakuna mahali nchini Demokrasia imeminywa na ndio maana vikao vya kikatiba vya vyama mbalimbali vya siasa nchini vinaendelea. alisisitiza siasa zenye mrengo wa vurugu na ghasia hazina nafasi na wala hazitavumiliwa kwani hiyo sio demokrasia.

Kuhusu sakata la kesi ya mwenyekiti wa chama hicho inayoendelea mahakama ya kisutu hakuna pahala katika maelezo yake Rais Samia wakati wote wa mahojiano aliingilia uhuru wa mahakama kama Mnyika alivyopotosha zaidi alitaka watu kuwa watulivu waipe nafasi mahakama kutekeleza wajibu wake.

CDM waache vioja vya kudai demokrasia imeminywa na hawaruhusiwi kufanya mikutano wala vikao wakati wameendesha operesheni haki, chadema kidigitali na vikao mbalimbali vya ndani bila bugudha yoyote. Lakini cha ajabu (leo) Mnyika ameendelea kuingilia uhuru wa mahakama jambo ambalo linaoonyesha jinsi alivyo na papara na jazba na kudhihirisha juu ya uchanga wake kisiasa.

Muhimu wakafahamu ikiwa maandalizi yao ya mikutano au vikao na operesheni zozote za kisiasa yatakuwa na viashiria au dhamira ya kupanga, kuratibu, kuasisi au kutekeleza vurugu na ghasia nchini vyombo vya dola havitakaa kimya sio kwao tu bali kwa yeyote yule.

Bahati mbaya ni kwamba hawana desturi ya kufanya mikutano, vikao au operesheni zao za kisiasa kwa amani na kwa kufuata taratibu na sheria hivyo wabadilike ili kuepuka kusigana na vyombo vya dola. Wao kukiuka taratibu na sheria ili kupata matukio ya kukabiliana na vyombo vya dola kwao umekuwa mradi wa kutafuta fedha kwa wafadhili wao nje ya nchi ndio maana hawataki kubadilika.

Rais Samia ameapa kuilinda na kuitetea Katiba ya Tanzania, ikiwemo kuhakikisha ustawi wa amani na utulivu nchini. Hivyo haitatokea hata mara moja akakubali watu wachache kwa maslahi yao wakavuruga nchi.

Jambo jingine watanzania wanapaswa kujua Chadema sio chama kikuu cha upinzani wakati huu kwani kina mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa hivyo hawana sifa hiyo.

Tunashangazwa na dhamira ya Chadema kutaka kuonana na Rais Samia wao kama wao ilihali wao sio chama pekee cha upinzani nchini. Rais Samia alitoa msimamo wa kuonana na vyama vyote vya upinzani kwa umoja ambapo atatoa tarehe na muda wakukutana nao.

Hili la Chadema kutaka kukutana na Rais Samia wakiwa pekee yao ni muendelezo wa siasa za ubinafsi na ubaguzi ambao umekuwa utamaduni wao jambo ambalo Serikali ya CCM inayongozwa na Rais Samia haitazipa nafasi.

Nitoe rai kwa watanzania na wadau wote wa maendeleo ndani na Nje ya Nchi kuiunga mkono serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan ili kwa pamoja tuifikishe Tanzania katika maendeleo endelevu.

End

Huyu jamaa wa kuitwa Shaka huwa Nina mashaka na marinda ya ubongo wake kabisa😂😂😂😂😂😂
 
Safi shaka mfunde huyo Mnyika, akome kabisa kumfokea mama yetu. Na waache kubagua wapinzani wenzao. Yaani hawajashika Dola ila kuna vyama vyenzao wanavi dharau je siku wakiwa madarakani sijui kama watawasalimia.
ni mama ako wewe na nani?
 
Tunaitaka Chadema kubadilika na kuanza kufanya siasa za hoja, zenye kutoa kipaumbele maendeleo ya wananchi na Taifa badala ya siasa hizi za kuhimiza ghasia, vurugu na kueneza uongo na chuki nchini.

Kadhalika Mnyika aache upotoshaji na kumlisha maneno Rais Samia ambayo hakuyasema au kuingilia mwenendo wa kesi ya Mbowe mahakamani kama anavyotumia nguvu kubwa kutaka kuaminisha umma.

Rais Samia katika maelezo yake alisema hakuna mahali nchini Demokrasia imeminywa na ndio maana vikao vya kikatiba vya vyama mbalimbali vya siasa nchini vinaendelea. alisisitiza siasa zenye mrengo wa vurugu na ghasia hazina nafasi na wala hazitavumiliwa kwani hiyo sio demokrasia.

Kuhusu sakata la kesi ya mwenyekiti wa chama hicho inayoendelea mahakama ya kisutu hakuna pahala katika maelezo yake Rais Samia wakati wote wa mahojiano aliingilia uhuru wa mahakama kama Mnyika alivyopotosha zaidi alitaka watu kuwa watulivu waipe nafasi mahakama kutekeleza wajibu wake.

CDM waache vioja vya kudai demokrasia imeminywa na hawaruhusiwi kufanya mikutano wala vikao wakati wameendesha operesheni haki, chadema kidigitali na vikao mbalimbali vya ndani bila bugudha yoyote. Lakini cha ajabu (leo) Mnyika ameendelea kuingilia uhuru wa mahakama jambo ambalo linaoonyesha jinsi alivyo na papara na jazba na kudhihirisha juu ya uchanga wake kisiasa.

Muhimu wakafahamu ikiwa maandalizi yao ya mikutano au vikao na operesheni zozote za kisiasa yatakuwa na viashiria au dhamira ya kupanga, kuratibu, kuasisi au kutekeleza vurugu na ghasia nchini vyombo vya dola havitakaa kimya sio kwao tu bali kwa yeyote yule.

Bahati mbaya ni kwamba hawana desturi ya kufanya mikutano, vikao au operesheni zao za kisiasa kwa amani na kwa kufuata taratibu na sheria hivyo wabadilike ili kuepuka kusigana na vyombo vya dola. Wao kukiuka taratibu na sheria ili kupata matukio ya kukabiliana na vyombo vya dola kwao umekuwa mradi wa kutafuta fedha kwa wafadhili wao nje ya nchi ndio maana hawataki kubadilika.

Rais Samia ameapa kuilinda na kuitetea Katiba ya Tanzania, ikiwemo kuhakikisha ustawi wa amani na utulivu nchini. Hivyo haitatokea hata mara moja akakubali watu wachache kwa maslahi yao wakavuruga nchi.

Jambo jingine watanzania wanapaswa kujua Chadema sio chama kikuu cha upinzani wakati huu kwani kina mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa hivyo hawana sifa hiyo.

Tunashangazwa na dhamira ya Chadema kutaka kuonana na Rais Samia wao kama wao ilihali wao sio chama pekee cha upinzani nchini. Rais Samia alitoa msimamo wa kuonana na vyama vyote vya upinzani kwa umoja ambapo atatoa tarehe na muda wakukutana nao.

Hili la Chadema kutaka kukutana na Rais Samia wakiwa pekee yao ni muendelezo wa siasa za ubinafsi na ubaguzi ambao umekuwa utamaduni wao jambo ambalo Serikali ya CCM inayongozwa na Rais Samia haitazipa nafasi.

Nitoe rai kwa watanzania na wadau wote wa maendeleo ndani na Nje ya Nchi kuiunga mkono serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan ili kwa pamoja tuifikishe Tanzania katika maendeleo endelevu.

End

Komredi Shaka H.Shaka yuko sahihi kabisa 👊👍

#KaziIendelee
 
Rais Samia katika maelezo yake alisema hakuna mahali nchini Demokrasia imeminywa na ndio maana vikao vya kikatiba vya vyama mbalimbali vya siasa nchini vinaendelea.
Siasa unayokupa uwezo wa kuandikika kwa ajili ya watu kusoma tuu bila kuwa na miongozo sahihi ya kukufanya uandkike!!!!!!
Katiba na sheria ya vyama vya siasa vinaruhusu mikutano ya hadhara na maandamano pia. - Yeye anasema hapana, nawe unaandika kuna uhuru kamili wa kufanya shjghuli za kisiasa ncnini :rolleyes: :rolleyes: :rolleyes: Pathetic !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
hawa vijana wa ccm sijui akili zao wanazifungia makabatini au ni uwezo mdogo wa kufikiri walionao!
Mnyika ameingilia nini ktk hili? Maskini wa Mungu huyu kijana hajui hata mahakama inaingiliwaje ktk shauri ambalo lipo kwao!
Kati ya Mnyika na Mama SSH nani aliingilia shauri lililo mahakamani? Hovyo sana!
 
Tunaitaka Chadema kubadilika na kuanza kufanya siasa za hoja, zenye kutoa kipaumbele maendeleo ya wananchi na Taifa badala ya siasa hizi za kuhimiza ghasia, vurugu na kueneza uongo na chuki nchini.

Kadhalika Mnyika aache upotoshaji na kumlisha maneno Rais Samia ambayo hakuyasema au kuingilia mwenendo wa kesi ya Mbowe mahakamani kama anavyotumia nguvu kubwa kutaka kuaminisha umma.

Rais Samia katika maelezo yake alisema hakuna mahali nchini Demokrasia imeminywa na ndio maana vikao vya kikatiba vya vyama mbalimbali vya siasa nchini vinaendelea. alisisitiza siasa zenye mrengo wa vurugu na ghasia hazina nafasi na wala hazitavumiliwa kwani hiyo sio demokrasia.

Kuhusu sakata la kesi ya mwenyekiti wa chama hicho inayoendelea mahakama ya kisutu hakuna pahala katika maelezo yake Rais Samia wakati wote wa mahojiano aliingilia uhuru wa mahakama kama Mnyika alivyopotosha zaidi alitaka watu kuwa watulivu waipe nafasi mahakama kutekeleza wajibu wake.

CDM waache vioja vya kudai demokrasia imeminywa na hawaruhusiwi kufanya mikutano wala vikao wakati wameendesha operesheni haki, chadema kidigitali na vikao mbalimbali vya ndani bila bugudha yoyote. Lakini cha ajabu (leo) Mnyika ameendelea kuingilia uhuru wa mahakama jambo ambalo linaoonyesha jinsi alivyo na papara na jazba na kudhihirisha juu ya uchanga wake kisiasa.

Muhimu wakafahamu ikiwa maandalizi yao ya mikutano au vikao na operesheni zozote za kisiasa yatakuwa na viashiria au dhamira ya kupanga, kuratibu, kuasisi au kutekeleza vurugu na ghasia nchini vyombo vya dola havitakaa kimya sio kwao tu bali kwa yeyote yule.

Bahati mbaya ni kwamba hawana desturi ya kufanya mikutano, vikao au operesheni zao za kisiasa kwa amani na kwa kufuata taratibu na sheria hivyo wabadilike ili kuepuka kusigana na vyombo vya dola. Wao kukiuka taratibu na sheria ili kupata matukio ya kukabiliana na vyombo vya dola kwao umekuwa mradi wa kutafuta fedha kwa wafadhili wao nje ya nchi ndio maana hawataki kubadilika.

Rais Samia ameapa kuilinda na kuitetea Katiba ya Tanzania, ikiwemo kuhakikisha ustawi wa amani na utulivu nchini. Hivyo haitatokea hata mara moja akakubali watu wachache kwa maslahi yao wakavuruga nchi.

Jambo jingine watanzania wanapaswa kujua Chadema sio chama kikuu cha upinzani wakati huu kwani kina mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa hivyo hawana sifa hiyo.

Tunashangazwa na dhamira ya Chadema kutaka kuonana na Rais Samia wao kama wao ilihali wao sio chama pekee cha upinzani nchini. Rais Samia alitoa msimamo wa kuonana na vyama vyote vya upinzani kwa umoja ambapo atatoa tarehe na muda wakukutana nao.

Hili la Chadema kutaka kukutana na Rais Samia wakiwa pekee yao ni muendelezo wa siasa za ubinafsi na ubaguzi ambao umekuwa utamaduni wao jambo ambalo Serikali ya CCM inayongozwa na Rais Samia haitazipa nafasi.

Nitoe rai kwa watanzania na wadau wote wa maendeleo ndani na Nje ya Nchi kuiunga mkono serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan ili kwa pamoja tuifikishe Tanzania katika maendeleo endelevu.

End

Siasa unayokupa uwezo wa kuandikika kwa ajili ya watu kusoma tuu bila kuwa na miongozo sahihi ya kukufanya uandkike!!!!!! Nina hakika kuna shida ya shule kidogo hapo.
Katiba na sheria ya vyama vya siasa vinaruhusu mikutano ya hadhara na maandamano pia. - Yeye anasema hapana, nawe unaandika kuna uhuru kamili wa kufanya shughuli za kisiasa ncnini :rolleyes: :rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes: Pathetic !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hili la Chadema kutaka kukutana na Rais Samia wakiwa pekee yao ni muendelezo wa siasa za ubinafsi na ubaguzi ambao umekuwa utamaduni wao jambo ambalo Serikali ya CCM inayongozwa na Rais Samia haitazipa nafasi.
Ccm itambue kuwa CDM inafahamu kuwa makundi mengine ya vyama wameunda wao kwa ajili ya kuvuruga upinzani.
Kuna magenge yanajiita vyama lakini hayana hadhi ya kuitwa vyama na yamejengwa na yanalelewa na ccm
 
Chadema sio chama cha siasa ni Genge la wahuni mchanganyiko wa magaidi.
Msajili alipaswa afutilie mbali hili Genge la kihalifu ambalo nia na dhamira yake ni kuvuruga amani ya nchi yetu.
Chadema ni Genge la kihalifu lililo jificha chini ya mwamvuli wa chama cha kisiasa.
vyombo vyetu vya dola vinapaswa vitazame genge hili kwa jicho la tatu.
Umeamkaje leo salama lakini?
Tarehe za clinic ni lini au ndo umefika Gairo kuelekea huko.
 
Hili la Chadema kutaka kukutana na Rais Samia wakiwa pekee yao ni muendelezo wa siasa za ubinafsi na ubaguzi ambao umekuwa utamaduni wao jambo ambalo Serikali ya CCM inayongozwa na Rais Samia haitazipa nafasi


Machagadema

Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
 
Pamoja na madhaifu na shida zote za Polepole nafasi yake ya Katibu wa itikadi na uenezi kulinganisha na aliyeshika nafasi hiyo sasa hakika ni mbingu na ardhi, Polepole hashikiki, kwanza alikuwa mtu wa tafiti hata kama ni propaganda lkn alijaribu kui twist ilingane na mazingira halisi, Shaka alihitaji sana muongozo wa Polepole.

Shida ninayoiona kwa Polepole ni ile tu kwamba anashindwa kuficha hisia zake kuhusu uongozi wa sasa kutokana na mapenzi yake na uongozi uliopita jambo ambalo linanionyesha anguko lake muda mfupi sana ujao.
Huyu Shaka anadhani uenezi ni kuwafokea wanao tofautiana mitazamo na Samia
 
Yule aliyesema Mbowe alikimbilia Kenya kukwepa mkono wa Sheria dhidi ya Mashtaka ya Ugaidi alipohojiwa na BBC Swahili nae apewe onyo kwa kuingilia uhuru wa Mahakama
Mbona amerudi!
 
Kwani zile kesi za mafisadi na wahujumu uchumi alizifutaje!??? Kumbukumbu mnazo kweli, au!???
Kama zilifutwa kwa kukiuka katiba basi katiba iendelee kukiukwa. Nadhani CDM wanesema kesi iendelee maana raisi akiingilia anavunja katiba. Kwa hiyo kuvunja katiba kunategemea, ikiwa ni kuisadia CDM katiba ivunjwe, lakioni kwa yasiyohusu CDM katiba ilindwe.
 
John Mnyika alionyesha utovu wa nidhamu wa kiwango cha juu sana.
nilijiuliza swali hivi kama huyu ndio katibu mkuu wa Chadema anaharisha hivi je hao wana chama wengine wa kawaida itakuwaje?!
Jambo hili lina dhihirisha utovu wa nidhamu uliojengeka ktk chama hiki na ni ushahidi tosha kuwa Chadema hakuna uingozi bali kuna kundi la wahuni.
Chadema sio Chama cha siasa bali ni kikundi cha wahuni walio jificha ktk chama cha siasa.
nadhani muda sio mrefu chama hiki kitafutwa rasmi.
 
John Mnyika alionyesha utovu wa nidhamu wa kiwango cha juu sana.
nilijiuliza swali hivi kama huyu ndio katibu mkuu wa Chadema anaharisha hivi je hao wana chama wengine wa kawaida itakuwaje?!
Jambo hili lina dhihirisha utovu wa nidhamu uliojengeka ktk chama hiki na ni ushahidi tosha kuwa Chadema hakuna uingozi bali kuna kundi la wahuni.
Chadema sio Chama cha siasa bali ni kikundi cha wahuni walio jificha ktk chama cha siasa.
nadhani muda sio mrefu chama hiki kitafutwa rasmi.
Hivi Tanzania kuna wagonjwa wa akili wengi sana au wajinga ndo wengi?

Tangu lini mtu kusema ukweli kumrekebisha mkubwa aliesema uongo inatafsirika ni utovu wa nidhamu au matusi kwa aliesema uongo!?
 
Angalia clip ya tarehe tarehe 5/8/2021 Jinsi katibu Mkuu John Mnyika alivyo kuwa anazungumza na waandishi wa habari akiwa ktk viwanja vya Mahakama ya Kisutu alisema;
Mbowe sio gaidi na akatumia fursa hiyo kuwahamasisha wafuasi wa chadema popote pale walipo kuja kwa wingi Mahakamani siku iliyo fuata kwa mabango na vipeperushi.
kweli, siku iliyo fuata yaani trh 6/8 kila mmoja alishuhudia wafuasi wa chadema wakiwa wameandamana Mahakamani huku wakiwa wamebeba mabango yaliyo kuwa yanasomeka;
"Mbowe sio gaidi" "Mbowe aachiwe huru sio gaidi" n.k n.k
kitendo hicho ambacho kiliratibiwa na viongozi wa chadema, Mnyika na wakili wao Kibatala, hakika kilikuwa sio tu kitendo cha kuingilia uhuru wa Mahakama bali pia ilikuwa ni kuishinikiza Mahakama.
Ushahidi wa mabango hayo yapo.
Vitendo vilivyo kuwa vina fanywa na viongozi wa chadema na wafuasi wao ni dhahiri shahiri kuwa hawakuiheshimu Mahakama kama chombo cha kutoa haki.
sasa wanaanza kutafuta sababu zisizo na kichwa wala miguuu hilo halikubaliki kamwe.
Kibatala acha visingizo na hoja zisizo za msingi.
Kitendo cha Wakili kibatali kulalamikia kuwa eti kuna taasisi imeeingilia uhuru wa Mahakama ni kutapatapa!!
Kibatala kaona maji marefu sasa anaanza ohhh ehhhh, hapana, kama ni kuingilia Mahakama basi Viongozi wa Chadema sio tu kuwa wameingilia bali wameishinikiza Mahakama.
 
Back
Top Bottom