Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,542
- 2,171
Yes yule Mother Josephine Musweti ni jembe SanaNi jambo jema
Ile nafasi moja ya Wapinzani tuwape Chadema zamu hii
😂😂😂Mwijaku na BabaLevo fursa ipo mezani
Natangaza kugombea hii nafasi kupitia chama changu pendwa cha CCM-tanzania
daahKatibu wa CCM wilaya ya hai aunda kamati ya siasa ya muda ya CCM wilaya kimakosa na kusababisha taharuki ndani ya CCM jimbo la Hai
Huko Hai Kilimanjaro, Katibu wa CCM wilaya ametengeneza kituko cha mwaka ndani ya chama Tawala ccm kwa kuunda Kamati ya muda ya siasa ya ccm wilaya inayotokana na Makatibu wa matawi wa ccm ili kujadili wagombea wa ccm waliochukua fomu kugombea nafasi mbali mbali ndani ya chama. Swali la...www.jamiiforums.com
Ndio maana ya demokrasianatabiri watajitokeza zaidi ya wana ccm 100